Matani WANAUME V/S WANAWAKE

Matani WANAUME V/S WANAWAKE

Wanawake ni watu pekee wanaosingizia wanaume tuna Vibamia kumbe wao ndio wana Mabwawa!
 
Mwanamke ndio kiumbe pekee duniani. ambae ikitokea ananyeshewa na mvua anafunika nywele na rambo anaacha mwili uloe. Yani bora apate homa sio kuloa wigi.
 
Mnawachokoza hao viumbe , subiri muambiwe hampigi mechi hadi mnywe mchuzi wa pweza,

Mi nilisha apa kutotaniana na wanawake kabisa maana hao viumbe nguvu yao ipo mdomoni na wanaume nguvu yao ipo kwenye misuli , hivyo shauri yenu mkidhalilika mi simo
 
Mnawachokoza hao viumbe , subiri muambiwe hampigi mechi hadi mnywe mchuzi wa pweza,

Mi nilisha apa kutotaniana na wanawake kabisa maana hao viumbe nguvu yao ipo mdomoni na wanaume nguvu yao ipo kwenye misuli , hivyo shauri yenu mkidhalilika mi simo
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
wanaume wanatafuta utajiri kwa jasho hatanjia zisizo rasmi ila mwanamke anafaidi matunda ya utajiri huo.
Kwenye kufaidi matunda ya utajiri wanawake nao wanalazimika kutoa Ile njia isiyo rasmi pia.
 
Back
Top Bottom