Matani

Matani

mentor eti we unatumbo kubwa hadi ukitaka kuoga unapaka sabun ukutan halafu ndo unasugulia hapo tumbo il lipate sabun....
 
We ni mfupi mpaka ukitembelea wanafunzi wa class one badala ya kusalimia wanasema mojaaaa..
Kaka yako anatabia mbaya ndo mana alipozaliza aligeuka nyuma.
 
Last edited by a moderator:
We ni mfupi mpaka ukitembelea wanafunzi wa class one badala ya kusalimia wanasema mojaaaa..
Kaka yako anatabia mbaya ndo mana alipozaliza aligeuka nyuma.
Kwenu mko wengi mpaka mkitoka nje watu wanadhani mmetoka church!!! hahaha....
Simu yako ndogo uki2ma meseji ndefu inaenda na simu.

N wewe ni **** mpaka unashikwaga mkono kwenye zebra crossing!
 
Mentor we ni mshamba had uligongwa na a parked car,,
demu wako n mnene had ukimpeleka kwa cnema house anasit nxt 2 everybody...
Mweuc had unaacha finger prints kweny mkaa....
Una bichwa kubwa had ukiwaza unaskia mwangwi...
 
Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe! Najikumbushia tu...(usinichukie...) Unataka matani.. Nyani ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende.. Fidel, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack... Mzee mwanakiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO.. Aspirin unamashavu kama mimba ya panya.. Na wewe Tukutuku uso kama shamba la matuta... Unataka unataka.. Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh.. Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuitisha tochi... PS: On a light touch...
mentor nasikia unatembea na filimbi...bichwa kubwa ukidondoka huwez kunyanyuka mwenyewe mpaka upge filimbi watu wakuokote..tehteh teh
 
mentor nasikia unatembea na filimbi...bichwa kubwa ukidondoka huwez kunyanyuka mwenyewe mpaka upge filimbi watu wakuokote..tehteh teh
1701, wewe simu yako ni nzee mpaka ina-game ya kushindana kuwasha moto kwa kutumia mawe!!
 
Last edited by a moderator:
Mentor we ni mshamba had uligongwa na a parked car,,
demu wako n mnene had ukimpeleka kwa cnema house anasit nxt 2 everybody...
Mweuc had unaacha finger prints kweny mkaa....
Una bichwa kubwa had ukiwaza unaskia mwangwi...
Domowazi, kwenu ni maskini mpaka mnakulaga ugali na stori za nyama!!!!
 
Last edited by a moderator:
mentor eti we unatumbo kubwa hadi ukitaka kuoga unapaka sabun ukutan halafu ndo unasugulia hapo tumbo il lipate sabun....

Unaugomvi na mzee wa TOT ?

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Mwanjelwa Mbeya.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom