Matani

Nilipoona neno "matani" nikajua ni straight from green city.
 
Hapa kuna mawili ama ulikulia bandarini...maeneo ya masoko ya mazao, karibu na shughuli za "CREW" za Tanesco...au kule Mwaloni.
 

Hahahaaa ww ni noumerrr..BIG UP MCHONGOANO (SHUJAAZ)
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaa we Mentor una vituko kweli kweli muone kwanza unapiga hodi mpaka kwenye lift.
 
Last edited by a moderator:
Tehtehteh mi cmo

Ndo maana wewe ni mfupi hadi unaweza kutembea chini ya uvungu!

Hapa kuna mawili ama ulikulia bandarini...maeneo ya masoko ya mazao, karibu na shughuli za "CREW" za Tanesco...au kule Mwaloni.

TUJITEGEMEE, wewe ni mrefu mpaka siku nyingine malaika wakiboeka wanaanza kukusuka matuta.

Hahahaaa ww ni noumerrr..BIG UP MCHONGOANO (SHUJAAZ)


kwenu watakatifu mpaka ugali mnasongea msalaba

Ndio maana wewe hutoroka kazini ili uje kuteleza na soksi nyumbani!

 
Last edited by a moderator:
mentor una bichwa kubwaa mpaka watu walikubandika tangazo wakat upo stand wakizani ukuta
 
Mentor : Twende twende mwangalie umekonda mpaka unachomekea suti.
 
Last edited by a moderator:
Mentor kwenu pachafu hadi mende wamechangishana hela kuleta gari la taka
 
Uliitwa mentor sababu ulinunuliwa chupi mpya ukachomekea koti bila suruali.
 
mentor una bichwa kubwaa mpaka watu walikubandika tangazo wakat upo stand wakizani ukuta

Hehehe... mkuu wewe tusemeje sasa! Nasikia bibi yako ni mzee hadi alisahaugi pochi yake kwenye safina ya Nuhu.

Mentor nimechekaje aisee..........na mie namtafuta wa kumtania LOL

Heaven on Earth anza na mimi.

Muone kwanza, sura mbaya hadi ukinanii na kipofu bado anafunga macho.


Mentor : Twende twende mwangalie umekonda mpaka unachomekea suti.

Ablessed, unataka? We mshamba hadi huweka redio kwenye friji ndo usikie, 'cool music'


Mentor kwenu pachafu hadi mende wamechangishana hela kuleta gari la taka

diuretic, heri kwetu tu kuchafu yani wewe ni chafu mpaka nzi wakitua mwilini mwako wanakuwa wamevaa buti.

Uliitwa mentor sababu ulinunuliwa chupi mpya ukachomekea koti bila suruali.
taamu, hahaha!

Ndo maana una mikono mikubwa hadi vidole vyako vyote ni gumba!HEHE

Unataka..unataka!??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…