Matani

Muone kwanza nywele kama mkutano wa inzi
To Mentor
 
Last edited by a moderator:
Eti wewe ni mchafu mpaka ukitema mate yanakuwa mbolea!!!
Muone kwanza kikwapata kinatoa harufu mpaka mbu wanakufa. Twende twende unakwenda kama unarudi , ndio maana una migulu baja
 
dah @Mentor we ni munouma, ila angalia bana matani yanatakiwa yawe uongo sasa naona kuna mengine yafanana na ukweli hahahahahahhaha
nasikia meno yako yameungua kama umeng'ata mav*
 

Kwenda huko we mentor umekonda hadi unaweza kuchungulia kwa tundu l ufunguo na macho zote mbili
 
Last edited by a moderator:
hahahahahaha! Loh! Hadi medondosha pua!!

munkari eti nasikia kwenu mbagala mmuzoea kubanana kwenye daladala mpaka siku umekwenda kwenye jengo lenye lift ulipofungua walioko ndona wakakuambia imejaa eti ukawajibu ntasimama

cc kwa Mentor
 
Last edited by a moderator:
Muone Macho kama fundi saa kapoteza nati.

Ndiyo maana kwenu mko wengi mpaka chai mnakunywa na sprinkler!

Muone kwanza kikwapata kinatoa harufu mpaka mbu wanakufa. Twende twende unakwenda kama unarudi , ndio maana una migulu baja

NDo maana wewe umekonda hadi unavaa pedi na suspenders!

hahahahahaha! Loh! Hadi medondosha pua!!

Ahahahahahahahahaha...ndo maana una mapengo mengi mpaka ulimi wako unakaa kama uko jela!lol

dah @Mentor we ni munouma, ila angalia bana matani yanatakiwa yawe uongo sasa naona kuna mengine yafanana na ukweli hahahahahahhaha
nasikia meno yako yameungua kama umeng'ata mav*

Lol...ndo maana TV yenu ni nzee mpaka mnaizimaga kwa maji!

Kwenda huko we mentor umekonda hadi unaweza kuchungulia kwa tundu l ufunguo na macho zote mbili

Wewe umekonda mpaka hujitawaza na uzi badala ya tissue pepa!lol (una undugu na Munkari)
 
Last edited by a moderator:
Mentor muone kwanza ndevu kama nyaya za umeme , nywele kama fagio la chuma
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha nimeshindwa kujizuia kwa hili:
Paw una sura mbaya hadi ukilia machozi yanaenda juu...lol! ( Cc: King'asti)

Una sura mbaya mpaka mtoto akiwa analia wakimuwekea picha yako ananyamaza.
 
Last edited by a moderator:
Bora ganda la kibiriti....kiwembe kimelazwa lkn miguu haifiki chini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…