Matani

Matani

Nasikia huko kwenu hakuna magari, siku gar likipita wanafunzi wanatoka nje kulishangaa wakirud wanatungiwa msamiat.
 
Du ebwana du maneno matupu yasiyovunja mifupa
 
acha kabisa, pesa zimenizidi mpaka nikaamua nikae chini kutafakari kuwa ntazitumiaje, siwezi kukuonyesha kwetu maana unaweza ukahamisha kijiji kizima ukifikri UN imeingia kutoa misaada, najua kwenu mnashida hadi nywele zinanyonyoka kwenda kutafuta chakula.
kwenda zako
unawaza utaenda kuomba wapi pesa!!!!!!!!!!!!!!!!!
umasikini umekujaa hadi mawazoni.............
 
hivi ile kesi yako iliyofunguliwa na hakimu mkazi kisutu kwa kosa la kuchafua hali ya hewa eneo la mahakama kwa ushuzi iliisha?
<br />
<br />

itaishia wapi wakati ulikata rufaa uking'ang'ania kuunusa na ukashinda!
 
Mwenye thread z to creative,
nimeipenda sana kwani imenikumbusha mbali nikacheka sana,
we ndio kinara wa utani humu,
cheki tunavyoendelea kuchangia
 
Haya twende twende,
lione linavyonitajiria majijo
...
 
duu hii kali
Elli acha kunivunja mbavu bana...so, wakuu wote wamo humu...
Kwanza nlikuwa na moja la malaria sugu wacha nimpe ndo nimuombe msamaha: Una kiuno kidogo mpaka ukijifunga belt ya kijani unakaa taxi za Ilala...

basi wacha niendelee na wewe:
Yaani wewe ni mjinga mpaka ulienda boarding sunday school!
 
Nasikia kwenu una ma cc ma ugly mpaka mzee kaandika kwenye geti mary one get two for free!
 
Back
Top Bottom