Matapeli ya Kenya yaiba sukari mpakani

Matapeli ya Kenya yaiba sukari mpakani

Duh pole, ila kwani unaishi maisha duni kiasi gani hadi chupi unaanika nje kwenye kamba. Wageni wanaokutembelea hutegemea na ulivyo, kama wanakuja wanaoiba chupi kwenye kamba ulioanika nje basi lazima unaishi maisha ya vitongojini kabisa huko Manzense. Unafaa utie bidii na kujihusisha na marafiki wenye hadhi kwenye level ya juu kidogo zaidi ya ulivyo sasa hivi, hapo utabadilika.

Anyway pole, hivi chupi zako zilikua za rangi ipi nikusaidie kusaka....hehehe
sehemu nayoishi mimi wala huwezi linganisha na yako .hata kama ningeishi pangoni sitakiwi kuibiwa chupi zangu.wewe ulitaka nianike wapi?
 
Hizo story za makaratasi mimi huwa sifuatilui
Nyie mnauchumi mkubwa
upumbavu mtupu!!
Wakenya wanakufa kama Nguruwe!!


SOMA STORY HII NI MWAKA HUU HUU

Click here to support Feed the Starving in Turkana Africa organized by Jonathan Otto
ce0e929dd1c204e0731ea46aaf6bdef0.jpg


Last week I had a friend send me a picture of man that died of starvation. He had an empty water bottle in his hand. I asked him where he got the picture and he said he took it with his phone and that it was along the route home for him back from work. It was literally taken on his phone. It horrified me that this poor man would have suffered so much and that he died, not because of a lack of food, because food is available in this world, and in this country, but it was for lack of love; love in action.

About 3 days later my wife and I booked a ticket to Kenya and I got on the a flight the following day. And I brought my right hand man, filmmaker Eithel Krauss who made the sacrifice to come out to use his gifts to capture what's happening here. My wife, Lori Otto has had the dream to change lives in Africa and this is the fulfillment of that vision. She is a volunteer, and helping to lead this volunteer mission. We have 5 people on the ground volunteering, and Lori is coordinating that effort and the needs of that operation.

Lori is also helping to spearhead the creation of a documentary film, as a producer as she will be coordinating the needs of that endevour. This film will feature the effects of the drought and famine in Africa.

We'll be here a week. I have been consulting with the locals here as to where the most effected regions and individuals are. We will be seeing the work of groups making a difference, as well as documenting the needs to communicate to the world how we can turn the tide in these affected regions. We believe that the use of professional documentary films is the avenue to give a powerful message to the world that will help to change the future for these people.

Over the past few days, to one of the 3 village communities I visited, I asked if they had any cases of people that you fear will die from hunger. They were kind enough to not point to themselves but start pointing to each other. They brought to me 18 women that were skin and bone. The 2 women stretched their arms out to me and said, through my translator, 'feel my arms and my hands. I'm not sick with a disease. I am dying because of starvation. Thank you for your support and the support of your friends, but please assist us more'.

One of these women showed me her belly and her back and I felt so sick in my stomach that I thought I was going to throw up. I've never had that happen like that before. I chose to hold her hands and look into her eyes, instead of turning away, and that sick feeling surfaced and outburst of tears... it was the feeling of crying when I was a young boy. The people are so tough that their response was confusion and bunch of people laughed. They're not used to expressing emotion, and I think that's largely because they have to conceal their emotions so often not to demoralize. (One group I asked when the last time was that they had a meal when they could eat as much as they like, and I expected an answer of some months, and they told me 10 years. Which is another reason why farming is the answer).

Now, for this picture. So, my intention was to make sure that no one is left to starve. So I asked is there anyone you know of that you fear will die very soon? They told us where to go and we drove up the dry river bed a mile or so and found this man within an inch of his life. The people said they fear he could die any day.

In fact the village community we were at an hour before this actually showed me the grave sites of those that had just died within a couple of weeks. One grandmother was holding a baby telling of the death of her daughter. I found out that the famine hit her so hard because she had a 1 week old baby, and was breast feeding, and there wasn't enough nutrition for the both of them. The babies name is Jeremiah. He is 3 weeks old now and being looked after by an old lady, his grandmother, that is in total despair. She cried when talking to me. Of the 5 times I've been here in Africa that was one of the
hyo video niliiona mzee anakula mfupa hadi machozi yalinitoka
 
Uchumi tunao mkubwa zaidi yenu, matatizo ya ukame hukumba nchi nyingi na sio kigezo cha kupima uchumi. Kaskazini ya nchi yetu ni jangwa tupu na wanategemea tunachozalisha kwenye eneo ndogo sana Kusini, lakini zaidi ya yote tunamudu.
Hahaha unachekesha wewe
Kaskazini!! Juzi Tu taarifa kutoka County zote kenya hali ni tete.
Ingia hapo ukachangie
 
sehemu nayoishi mimi wala huwezi linganisha na yako .hata kama ningeishi pangoni sitakiwi kuibiwa chupi zangu.wewe ulitaka nianike wapi?

Silinganishi na yangu, ila ukiishi kwenye vibanda kule vitongojini maisha yanakua ya kuibiwa ibiwa vitu vya ovyo kama chupi.
Ona huku
 
na juzi tu tumeiba pesa za rambirambi ya ajali ya Arusha.
despite your being jf expert made you Only accumulate Age, not Wisdom. Kwenye posts zako huwa hakuna ushirikiano mzuri kati ya vidole vinavyotype na Ubongo.
Hili limehusianaje na hiyo hoja yako?
 
despite your being jf expert made you Only accumulate Age, not Wisdom. Kwenye posts zako huwa hakuna ushirikiano mzuri kati ya vidole vinavyotype na Ubongo.
Hili limehusianaje na hiyo hoja yako?

Hahaha Huy Daudi Mchambuzi Hata ukoo hauna Imani kabisa na kichwa chake
 
Hali
hyo video niliiona mzee anakula mfupa hadi machozi yalinitoka
Hali nitete Ngumi kila kukicha
njaa kali kenya

The dawn attack in Nyeri. Man slashes wife & toddler over unga. - Kenya Talks

post Mon May 15, 2017 11:57 pm

A 24-year-old Nyeri man is in police custody after he allegedly slashed and injured his wife and toddler on Sunday in a row over the price of maize flour.

This came as millers in Rift Valley and western Kenya resolved to reduce flour prices, which have skyrocketed in the past two months beyond the reach of many households.

The dawn attack occurred in the couple's rented house in Ruring'u, Nyeri County.

Mr Wilson Kiguru Kamau is said to have attacked his family with a kitchen knife.

Reports say Mr Kamau accused Ms Mercy Njeri, 28, of spending too much money on maize flour.

STABBED MULTIPLE TIMES

She was stabbed multiple times in the face, neck and head, while the two-year-old boy suffered a deep cut on the forehead.

According to Ms Njeri, who works at a children's daycare centre, trouble started on Saturday night when her husband demanded rent money.
 
Silinganishi na yangu, ila ukiishi kwenye vibanda kule vitongojini maisha yanakua ya kuibiwa ibiwa vitu vya ovyo kama chupi.
Ona huku


Wewe jeuri hii unaitoa wapi wakati unaishi Huruma, Nairobi? Ukiendelea na upuuzi wako humu nitakuweka uchi muda si mrefu. Ebu angalia mitaa yako hapa chini.

 
despite your being jf expert made you Only accumulate Age, not Wisdom. Kwenye posts zako huwa hakuna ushirikiano mzuri kati ya vidole vinavyotype na Ubongo.
Hili limehusianaje na hiyo hoja yako?
Povu ya nini? Muache atoboe vile nyinyi majizi, mnaiba hata pesa za kuwasaidia waalithiwa wa mikasa!
Yaani mpaka pesa za those cute kids who died in the accident mnapora, mwaka jana kasheshe ilikuwa ni ule uwizj wa pesa za waathiriwa ya earthquake Bukoba.

Nyinyi si wezi wema. Hamna boundary kwa what to steal and not to steal.
 
Povu ya nini? Muache atoboe vile nyinyi majizi, mnaiba hata pesa za kuwasaidia waalithiwa wa mikasa!
Yaani mpaka pesa za those cute kids who died in the accident mnapora, mwaka jana kasheshe ilikuwa ni ule uwizj wa pesa za waathiriwa ya earthquake Bukoba.

Nyinyi si wezi wema. Hamna boundary kwa what to steal and not to steal.

Taarifa zakipuuzi hufuatiliwa na wapuuzi
akiulizwa ukweli hapa ataanza Kulialia!!
Alete ushahidi wa story zake za udaku.
Sisi tunasema ukweli Wakenya ni wezi
na mlipo nyie 10 basi 8wezi.
Mugabe alisema
Uhuru anajua anaongoza Wezi.
 
Kazi yenu kuibiwa tu, mtaisha jameni maana mnaliwa na kila mtu, Mkenya anawatafuna, Mchina, Msouth Afrika, Mzungu wote wamewapania... Hilo shamba lenu la bibi limebaki mahandaki matupu. Fanyeni hima muamuke maana wenyewe pia ni ovyo mumejaa na vyeti vya kughushi hivyo hata sera hamjui kuzitengeneza na kuzilinda.

Halafu mkiamua kufuata walioghushi vyeti, huwa mnafuata wale wa vyeo vya chini na kuacha akina Bashite eti mawaziri, wakuu wa mikoa na wabunge vigezo vyao ni darasa la saba, yaani darasa la saba ya Tanzania...hadi kicheko jameni, mtaliwa hadi mkome halafu mnaishi kimajungu majungu badala ya kuwa wajanja.
Kenya bonge la nchi hakuna shamba la bibi even though tunajua wakenya wanalia kila siku kwa corruption kenya nchi imeoza wakubwa wanapiga deal left and right halafu unasimama hapa na kutueleza kwamba tunaibiwa, kweli nyani haoni kundule unaona kibanzi kwenye jicho langu lakini boliti ya jichoni kwako huioni miafrika ndio tulivyo.
 
Povu ya nini? Muache atoboe vile nyinyi majizi, mnaiba hata pesa za kuwasaidia waalithiwa wa mikasa!
Yaani mpaka pesa za those cute kids who died in the accident mnapora, mwaka jana kasheshe ilikuwa ni ule uwizj wa pesa za waathiriwa ya earthquake Bukoba.

Nyinyi si wezi wema. Hamna boundary kwa what to steal and not to steal.

Aisei ile ya waathirika wa tetemeko la ardhi ndio nilijua hawa watu ni wezi wenye roho mbaya, ukichanganya na ulaji wa albino.....ovyo kabisa.
 
Kenya bonge la nchi hakuna shamba la bibi even though tunajua wakenya wanalia kila siku kwa corruption kenya nchi imeoza wakubwa wanapiga deal left and right halafu unasimama hapa na kutueleza kwamba tunaibiwa, kweli nyani haoni kundule unaona kibanzi kwenye jicho langu lakini boliti ya jichoni kwako huioni miafrika ndio tulivyo.

Ufisadi upo dunia yote, pia Kenya kuna ufisadi, lakini nyie mnaliwa na kila mtu, kuanzia kwa ninyi kutafunana wenyewe. Nchi yenu kubwa yenye raslimali nyingi lakini bado maskini wa kutupwa.
 
Taarifa zakipuuzi hufuatiliwa na wapuuzi
akiulizwa ukweli hapa ataanza Kulialia!!
Alete ushahidi wa story zake za udaku.
Sisi tunasema ukweli Wakenya ni wezi
na mlipo nyie 10 basi 8wezi.
Mugabe alisema
Uhuru anajua anaongoza Wezi.

Unapinga ya kwamba pesa za waathiriwa ya mkasa ye earthquake hamkuiba? Nikupe evidence. Ndio, wakenya ni wezi, hata baba Uhuru alikubali.....lakini sio to that extent.
 
Aisei ile ya waathirika wa tetemeko la ardhi ndio nilijua hawa watu ni wezi wenye roho mbaya, ukichanganya na ulaji wa albino.....ovyo kabisa.

Watu wamekufa, watoto wanebaki mayatima, watu wamekosa shelter jui ya makazi yao kuharkbiwa na earthquake........watu kama hawa ni wa kuporwa jameni? Tena anayefanya hivyo ni msomi tu anafanya kazi kwa ofisi ya serikali.
 
Back
Top Bottom