Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,189
- 1,217
5.UUME KUTOSIMAMA(ERECTILE DYSFUNCTION)
Huku ni kushidwa kuMantain erection,hii inatokana na uhaba wa damu kwenye mishipa ya uume maana Ili usimame unahitaji kiasi kikubwa cha damu..hii inaweza kuwa dalili Ya awali ya ugonjwa wa Moyo(cardiac/vascular disease).ILI Kutibu hili Janzo ni nini alaf achana na vitu kama smoking,obesity,cholesterol(lehemu) ambavyo ni chanzo cha magonjwa Ya moyo...unaweza kutumia dawa kama VIAGRA,LEVITRA NA CIALIS
4.TESTERONE DEFICIENCY SYNDROME
Testerone ni Hormone ambayo kazi Yake ni Control ya Secondary charactaristics za Ukuaji kwa wanaume Uhaba wake unaweza kuaffect kiwango kwenye mechi,ukuaji wa mifupa(unanyanyua chuma Hujai),nguvu(energy level),Nguvu(strength) na mood hii Na Ya tano viinambata..daktari atakushauri cha kufanya
3.PEYRONIE'S DISEASE
Ugonjwa huu unasababisha Uume kuwa mwembaba sana na husababisha na deforming of scar tissue kwenye kichwa au Juu ya uume na usababisha maumivu wakati wa mechi uume ukisimama..unaondoka baada Ya 1-2 Years lakini inabaki vile vile nyembamba surgery zipo lakini side effects ni nyingi.
2.PROLONGED ERECTIONS(UUME KUGOMA KUSINYAA)
Hii inatokea baada Ya matumizi Ya vidonge vya kuongeza nguvu kama viagra directly injected kwenye uume,hapa mhusika inabidi apunguzwe damu masaa 8 baada Ya hili kutokea ili kuzuia permanent damage Ya uume kabisa,poa matumizi Ya cocaine yanaweza kuwa chanzo.
1.EJACULATORY DSYFUNCTION(KUWAHI KUMWAGA)
Hili ndo common kwa wengi especially wanaume below 40yrs hii mara Nyingi inategemeana na Ile ya Tano,matibabu ni Mengi unaweza kutumia antidepressants na anaesthetics kupunguza sensation Ya Uume.
Huku ni kushidwa kuMantain erection,hii inatokana na uhaba wa damu kwenye mishipa ya uume maana Ili usimame unahitaji kiasi kikubwa cha damu..hii inaweza kuwa dalili Ya awali ya ugonjwa wa Moyo(cardiac/vascular disease).ILI Kutibu hili Janzo ni nini alaf achana na vitu kama smoking,obesity,cholesterol(lehemu) ambavyo ni chanzo cha magonjwa Ya moyo...unaweza kutumia dawa kama VIAGRA,LEVITRA NA CIALIS
4.TESTERONE DEFICIENCY SYNDROME
Testerone ni Hormone ambayo kazi Yake ni Control ya Secondary charactaristics za Ukuaji kwa wanaume Uhaba wake unaweza kuaffect kiwango kwenye mechi,ukuaji wa mifupa(unanyanyua chuma Hujai),nguvu(energy level),Nguvu(strength) na mood hii Na Ya tano viinambata..daktari atakushauri cha kufanya
3.PEYRONIE'S DISEASE
Ugonjwa huu unasababisha Uume kuwa mwembaba sana na husababisha na deforming of scar tissue kwenye kichwa au Juu ya uume na usababisha maumivu wakati wa mechi uume ukisimama..unaondoka baada Ya 1-2 Years lakini inabaki vile vile nyembamba surgery zipo lakini side effects ni nyingi.
2.PROLONGED ERECTIONS(UUME KUGOMA KUSINYAA)
Hii inatokea baada Ya matumizi Ya vidonge vya kuongeza nguvu kama viagra directly injected kwenye uume,hapa mhusika inabidi apunguzwe damu masaa 8 baada Ya hili kutokea ili kuzuia permanent damage Ya uume kabisa,poa matumizi Ya cocaine yanaweza kuwa chanzo.
1.EJACULATORY DSYFUNCTION(KUWAHI KUMWAGA)
Hili ndo common kwa wengi especially wanaume below 40yrs hii mara Nyingi inategemeana na Ile ya Tano,matibabu ni Mengi unaweza kutumia antidepressants na anaesthetics kupunguza sensation Ya Uume.