Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Uulize nini kila kitu tumesoma hapa.
Huyo mwenyewe CAG alikua na mambo yake ndo mana akawekwa kando.
Magufuli hakutaka matumizi yake mabaya ya fedha za Umma yajulikane.
 
Awamu ya 5 ndio ilituzalishia machawa pro max,yaan awani kila atakae ongea lazima amtage rais,wewe ogopa mtu anapata ajali lakin anamshukuru rais [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jambo nililogundua ni kwamba wote wanamsujudu Magufuli ni wale jinga jinga na nimeona sana kwako uwezo mdogo wa kujenga hoja na ujinga ndio tatizo lako. Jitahidi utoke katika hali hii duni.
Wewe mjinga na ma+vi hizo shahawa zako bora baba yako angepiga punyeto kuliko kutuletea tabu kima wewe
 
Wewe mjinga na ma+vi hizo shahawa zako bora baba yako angepiga punyeto kuliko kutuletea tabu kima wewe
Unajiskia vp kuwa wewe katika hali kama hii, unavuta bangi au una matatizo gani ndugu, tusaidiane manake naona una shida pia katika akili yako, umelelewa vibaya sana inaonekana. Lakini pole kwa hayo nafikiri polepole hali itakuwa shwari kwako.
 
Unajiskia vp kuwa wewe katika hali kama hii, unavuta bangi au una matatizo gani ndugu, tusaidiane manake naona una shida pia katika akili yako, umelelewa vibaya sana inaonekana. Lakini pole kwa hayo nafikiri polepole hali itakuwa shwari kwako.
Wewe kichwani kwako kuna Ma+vi
Mpumbavu mjibu kwa upumbavu wake nakujibu kulingana na ujinga wako
 
Wewe kichwani kwako kuna Ma+vi
Mpumbavu mjibu kwa upumbavu wake nakujibu kulingana na ujinga wako
Rekebisha tabia tako hiyo naona upo hovyo kila wakati ni kurudia hovyo hata hapo huwezi kutoka ndio utaweza kuelewa mambo makubwa ya siasa na uchumi wewe?!
 
Mbona mnajichanganya maana wengine mnasema alilazimisha mashine zifanye kazi bila service ili umeme usikatike katike ila wengine mnasema hata kipindi cha Magufuli mgao ulikuwepo ila haukuwa ukitangazwa kwa uoga.
 
Na la NHIF chanzo ni awamu ya tano?
 
Tatizo lenu chadema mnadhani nchi inaongozwa kwa maneno na porojo.
 
We unaandika kwa kuendeshwa na chuki binafsi kwa Magufuli with very poor analysis.
We hata haujui chanzo cha kushuka uzalishaji wa sukari kwenye viwanda vyetu ni mashamba ya miwa kujaa maji kutokana na mvua za elnino za juzi. Hapo serikali ya awamu ya 5 inahusikaje?
 
Sasa kwanini mama asimrudishe ili mambo yakae sawa?
Kwani lazima amrudishe yeye? Kwani anseweza kutimiza wajibu wa CAG ni yeye pele yake? Ni cheo binafsi?

Swala ni kwamba alifukizwa na Magufuli baada ya Kuinua Ufisadi.
 
Matatizo ya Tanzania yameanzishwa na Nyerere

Nyerere alikuwa na iwezo wa kupima Tanzania nzima ili kuepusha ujenzi horera
 
Kwani lazima amrudishe yeye? Kwani anseweza kutimiza wajibu wa CAG ni yeye pele yake? Ni cheo binafsi?

Swala ni kwamba alifukizwa na Magufuli baada ya Kuinua Ufisadi.
Kwa hiyo kwa sasa hakuna ufisadi kabisa……😂😂😂😂😂! Hivi sukari imekwenda wapi? Ile inayoingizwa imekwenda wapi? Hivi ile ruzuku iliyowekwa kwenye mafuta ndio imesababisha mfumuko wa bei kwenye bidhaa na nauli kupandishwa mara mbili ndani ya miaka miwili? Hivi nyie CCM wakati wa Magufuli ni kiongozi gani wa sasa hakuwa kiongozi? Mbona hakuna aliyejiuzulu? Mbona mnakwepa kuwajibika? Kwanini msikubali mmeshindwa? Huyo Magufuli kwani alikuwa mwana chadema? Hivi thamani ya Dolla kwa sasa ni Tsh ngapi?
Kama mmeshindwa kutatua matatizo kwanini msikae pembeni? Mnataka mpaka huyo mwendazake alafufuliwe ndio aje kutatua matatizo hayo?

Basi achaneni na kila kitu tunaomba sukari tuu….ni nchi gani umeona watu wanapanga foleni kununua sukari?
 
Muongo Muongo Muongo, wewe ni chawa ukiyechanganyika na kunguni ndani yake. Huyo Magufuli tangu afe imepita miaka mingapi? Kama ni hivyo mbona unamsifia mtu ambaye aliwekwa na mtu ambaye unakaa kumsema, shy on you!!

Ee MUNGU wape akili hawa watu wanaojiita CHAWA maana DNA zao zikizalisha watoto, tutapata kizazi cha ajabu sana ziku za mbele.
 
Tatizo la uhaba wa sukari sio la kuanzia December mwaka jana kama unavyofikiri! Ni tatizo la kitambo kidogo na linatokana na kuyumba kwa sekta ya biashara na viwanda iliyotokana na uongozi mbovu miaka 7 iliyopita! Nani asiyejua jinsi biashara na wafanyabiashara walivyoharibiwa biashara zao na mitaji yao wakati wa Magufuli? Biasahara nying zilifungwa ikiwa ni pamoja na mipaka yetu. Uhusiano wetu na majirani zetu ndio Samia amepambana na sasa unaanza kurudi. Uongozi wa Mgful ulisababisha matatizo mengi na mengine bado tutayashuhudia miaka ijayo.
 
Ndio mkaomba trillion moja ww na January makamba ili mkaweke nne serena hotel kiufupi ww na hao wenzako nyote wezi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…