Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Hata wangekuwa 100% ni wale wale tofauti ya uongozi ina influence kubwa sana how people behave.

Magufuli alikuwa hands on kwenye domestic challenges, well informed on what is going serikalini saa zingine kabla ya matukio ya upigaji kutokea na anataka maelezo na solution (options) mambo yakienda mrama.

Huyu mama toka sakata la umeme, sukari na report za CAG kama vile sio yake, yeye ni raisi wa Tanzania ya kufirika sio ile yenye ardhi na watu anaotakiwa kuwaongoza na kuwasimamia. Anachojua ni kusafiri, kuteua, kuhudhuria makongamano na kutoa pongezi za mafanikio ya michezo tu. Yale magumu ya nchi hana habari nayo zaidi ya kuwatafutia hela za kwenda kutumbua huko serikalini.
Hapo kwemye pongezi za michezo ndo amelimudu kwa 100 .kwa sababu halitumii hata akili
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mwanauchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Mtaendelea kumlaumu Magufuli mpaka lini, HUU NI UDUMAVU WA AKILI, Si mrekebishe sasa yale mnayoona alikosea. 😳
 
Mtaendelea kumlaumu Magufuli mpaka lini, HUU NI UDUMAVU WA AKILI, Si mrekebishe sasa yale mnayoona alikosea. 😳
Kuna mengi ya kujifunza; hatuwezi kurekebisha isipokuwa kufahamu kwanza chanzo cha matatizo na ubaya wa katiba tuliyonayo.
 
Watanzania sijui mnafikiri vipi. Unajua matatizo makubwa huanzia mbali sana. Kuna matatizo tunapata saa hii kwasababu ya vita ya Kagera, unajua hilo na huwa inakuwaje? Mmezoea sana kufikiri leo tu, mambo yanaanzia mbali sana. Kuna mambo Tanzania tunateseka hadi leo kwasababu ya siasa za Mwalimu za Ujamaa.
Hakuna lawama za utendaji (strategic) zenye madhara ya muda mrefu. Why kwa sababu unakuja na vision, mission na goals zako; na sidhani kama swala la kubadili uendeshaji wa shirika la umeme au kuongeza uzalishaji wa kilimo provided you have the funds ni la zaidi ya mwaka.

Ukiona ivyo tatizo bado sugu baada ya miaka mitatu maana yake waliopewa kurekebisha hawana uwezo.

Pia uwezi kumlaumu Nyerere leo mtu ambae kang’atuka toka 1985. If anything Nyerere katika muda wake alifanikiwa kwa sababu hakufanya ujamaa tu wa kisera ila alifanya na propaganda za ujamaa kuwawekea watu fikra za ujamaa hilo ni jambo muhimu katika utekelezaji (hakuna strategy inayoweza fanikiwa kama hakuna shared values).

Nchi imeingia kwenye soko huria (partly) waliopokea kijiti waongea mambo ya soko huria kisera lakini hakuna jitihada za kubadili social thinking kufikiria kwa soko huria hasa huko serikalini. Matokeo yake nchi ina sera za free market, viongozi wengi wana akili/fikra za kijamaa (vurugu machi).

Hata wananchi wengi awapewi elimu ya fursa za uwekezaji zilizopo matokeo yake watu wanakimbilia kwenye vitu rahisi tu ambavyo ni kufanya biashara na serikali.

Mifano ni mingi sana; ni watanzania wangapi wanajua capital allowance ya mashine za kilimo 100% na tafsiri yake nini.

Au unakuta nchi aina sukari, Kagera sugar imeagiza mtambo; mashine imekwama bandarini miezi sita kisa kodi za ushuru na forodha; wakati muagizaji ni biashara ambayo unaweza mpa na kumdai.

Nyerere alifanya ujamaa kwa akili sahihi (sasa mafanikio au kufeli kwa ujamaa wake ni debate nyingine). Hawa waliopo sera zao na akili za viongozi wengi ni tofauti inakueleza hawana watu wenye uwezo wa kubadili fikra za watumishi wa umma kwenda sambamba na wanachotaka ku-achieve strategically.

Kila mtu abebe mzigo wake uwezi kulaumu failure zako kwa watangulizi wakati una absolute powers to do things as you wish. Capitalism inataka jamii yenye fikra za entrepreneurship and innovation ndio msingi wake.

The woman is just a failure
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mwanauchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Uhuru wa habari wa awamu ya nne ulikuwa kwa baadhi ya watu lakini wengine walisulubiwa kisirisiri !
Na wengine walidhalilishwa !!
Dr Ulimboka
Mwangosi !
To mention the few. !
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mwanauchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!

Huu ndio ukweli wenyewe, na kulipa madeni ya mikopo chefuchefu aliyokuwa anakopa kwa pupa Ili kusaka sifa za kisiasa.
 
Hizi ndio zile akili nyepesi nyepesi za watanzania kama nilivyoandika katika uzi wangu na sijui kama uliusoma au umerukia tu kukomenti.
Amesoma uzi vizuri na jinsi alivyokujibu yupo sahihi amejikita ktk matatizo ya sasa yanayotusumbua kwa mujibu wa uzi wako umekurupuka kuandika awamu ya tano ukiwajibika vyema ktk nafasi yako hakuna litakukuta baya , na swala la upinzani uchwala pia huwezi kuwa salama awamu ya tano jikite kulijenga taifa sio kuwa kiongozi wa mazoea

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli ndio alikuwa Bwana Mitambo wa pale?

Lakini January alitumia miaka miwili akizima umeme na kufanya matengenezo?

Akili finyu hizi. Pole.
I've decided to ignore you so that you can continue to collaborate with your less understanding colleagues.

Good night, my comrade.

Ova
 
I've decided to ignore you so that you can continue to collaborate with your less understanding colleagues.

Good night, my comrade.

Ova
Better. You can further opt to delete this rubish thread.
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!

Upo sahihi sana. Uchumi ukiuharibu leo, athari zake zinaweza kwenda hata zaidi ya miaka 20 mbele, japo sina uhakika na hilo suala la mitambo ya gas.

Madhara ya maamuzi mabaya ya awamu ya 5, kwenye baadhi ya sekta, kama madini, hauajaanza kuonekana kwa wazi ila yanakuja taratibu.

Mathalani, kulikuwa na makampuni zaidi ya 100 ya kigeni ya utafiti wa madini nchini. Baada ya ile shetia ya hovyo ya Kabudi, yote yameondoka. Hii ina maana yatakapoisha madini yanayochimbwa leo, hakutakuwa na kwingine kwa kwenda kuchimba, na hiyo italeta upungufu mkubwa kwenye pesa ya kigeni na pato la Taifa. Leo hii kiasi cha dhahabu kinachochimbwa Tanzania kwa mwaka kinazidi kupungua huku nchi nyingine wakiongeza uzalishaji. Biteko naye alikuwa anamlisha matangopori Samia kuwa mapato yanaongezeka, lakini hamwambii kuwa uzalishaji unapungua. Ongezeko la mapato lilikuwa linatokana na ongezeko la bei ya dhahabu, na siyo ongezeko la uzalishaji.

Kuweza ku-reverse trend kunahitajika uongozi wenye uwezo na maono makubwa, ambao kwa sasa haupo. Uliopo unazidi kuongeza matatizo kuliko kuyapunguza.
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Hizi akili za Madrasa!
 
Unakuwa kama ‘artificial intelligence’ (AI) uwezo wa kufanya tathmini unaishia kwenye programmed algorithms nje ya hapo uwezi reason given other factors.

Yaani karibu miaka minne baadae bado unalaumu marehemu

Ndugu na bado kinachoendelea sio bahati mbaya ni uwezo mdogo wa raisi na team yake; the worst is yet to come.

Hakuna nchi inaendeshwa kama Tanzania ikapiga hatua, uongozi ni science na ushahidi upo wazi it will never work kwa style ya uongozi wa huyo mama.
Hawa wanafiki kama mtoa mada ndiyo wakiulizwa kwanini Tanzania ni masikini ilihali ina rasimali lukuki;utasikia ni kwa sababu ya ukoloni wakati ata Asia walitawaliwa na Wakoloni wale wale!
Kwaiyo Magufuli kama scientist alikuwa hajui kuwa uki-over work machine inaweza kufa ila huyu chawa ndiyo anajua sana!
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Akili zako ziko kwenye kalio
 
Tatizo unajadili sana nje ya muktadha hadi unaharibu mtiririko wa mjadala wenyewe. Unajiundia hoja & maswali na kujijibu mwenyewe.

Kujadili kwa namna hii huwa siwezi, kwa maana ya kama kuanza mjadala mpya kwenye kila comments. So, nikuache uendelee na wengine.

Ova
Huna hoja,Jamaa anajadili issues nyie na jamaa yako kilaza mnajadili personalities.
 
Kuna mengi ya kujifunza; hatuwezi kurekebisha isipokuwa kufahamu kwanza chanzo cha matatizo na ubaya wa katiba tuliyonayo.
Kama tukitaka kujadili matatizo ya umeme nchi hii tuanziea awamu ya pili maana ndiyo walikuja akina IPTL ambao wametuacha hoi!
 
Back
Top Bottom