Matatizo ya macho low vision yaliyosababishwa na kuangalia TV

Matatizo ya macho low vision yaliyosababishwa na kuangalia TV

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,134
Reaction score
3,064
Ni wiki nyingine tena bado tupo tunapambana na maisha kila mmoja na nyanja zake na humu ndani pamekuwa na somo kubwa watu wanaelimishana na kupata mitazamo tofauti sasa basi naomba niende moja kwa moja kwenye mada

Nina kaka yangu mmoja ana matatizo ya macho low vision problen haoni vizuri na akipimwa miwani hapati na ukimpa karatasi asome hawezi mpaka asogee karibu

Kwa mujibu wa yeye mwenyewe matatizo hayo hakuzaliwa nayo aliyapata kipindi yupo form 2 shule fulan hapa Dar jina kapuni anasema kwamba alianza tabia ya kucheza gamea playstation games tena kipind hiko kuna TV zile zenye machogo tube tv na alikuwa anaishi hostel ambapo alikuwa analala kwenye double deck kitanda cha juu kilicho karibu na taa

Anadai kwamba hali io ilidumu kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu alikuwa mdogo ukichanganya na maswala ya familia basi akawa km kakata tamaa na alikuwa anaish ili mrad tu kuna matatizo yalikuwepo ndani ya familia japo sitaki kuweka wazi ila in short aliishi maisha ya bull shit hali hii ilidumu kwa muda mrefu game playstation ndio ilikuwa faraja yake na akirudi hostel kulala wenzie wanamfanyia makuaud wanamwashia taa huku wakijua dhahiri kuwa ana matatizo ya macho asipone

Saaa kakaa muda mrefu na aaaa anaanza kutafuta tiba ya huo ugonjwa kwa mujibu wa madaktari wanasema TV haiwez kumpa mtu low vision problem wamemwambia anaumwa Ugonjwa ambao kitaalamu unaitwa optic nerve path mara waseme macular dull na wamemwandikia vidonge lakini ni miaka miwili sasa anatumia vidonge na hakuna mabadiliko ameenda CCBRT, MUHIMBILI kote majibu ni hayo hayo

Sasa basi tunaomba ushauri wenu nn kifanyike maana kwa mujibu wake tatizo hilo limeaababishwa na TV na bulb

Natanguliza shukrani za dhati naamini kuna madaktari humu
 
Ni wiki nyingine tena bado tupo tunapambana na maisha kila mmoja na nyanja zake na humu ndani pamekuwa na somo kubwa watu wanaelimishana na kupata mitazamo tofaut sasa basi naomba niende moja kwa moja kwenye mada

Nina kaka yangu mmoja ana matatizo ya macho low vision problen haoni vzr na akipimwa miwani hapati na ukimpa karatasi asome hawezi mpaka asogee karibu

Kwa mujibu wa yeye mwenyewe matatizo hayo hakuzaliwa nayo aliyapata kipindi yupo form 2 shule fulan hapa Dar jina kapuni anasema kwamba alianza tabia ya kucheza gamea playstation games tena kipind hiko kuna TV zile zenye machogo tube tv na alikuwa anaishi hostel ambapo alikuwa analala kwenye double deck kitanda cha juu kilicho karibu na taa

Anadai kwamba hali io ilidumu kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu alikuwa mdogo ukichanganya na maswala ya familia basi akawa km kakata tamaa na alikuwa anaish ili mrad tu kuna matatizo yalikuwepo ndani ya familia japo sitaki kuweka wazi ila in short aliishi maisha ya bull shit hali hii ilidumu kwa muda mrefu game playstation ndio ilikuwa faraja yake na akirudi hostel kulala wenzie wanamfanyia makuaud wanamwashia taa huku wakijua dhahiri kuwa ana matatizo ya macho asipone

Saaa kakaa muda mrefu na aaaa anaanza kutafuta tiba ya huo ugonjwa kwa mujibu wa madaktari wanasema TV haiwez kumpa mtu low vision problem wamemwambia anaumwa Ugonjwa ambao kitaalamu unaitwa optic nerve path mara waseme macular dull na wamemwandikia vidonge lakini ni miaka miwili sasa anatumia vidonge na hakuna mabadiliko ameenda CCBRT, MUHIMBILI kote majibu ni hayo hayo

Sasa basi tunaomba ushauri wenu nn kifanyike maana kwa mujibu wake tatizo hilo limeaababishwa na TV na bulb

Natanguliza shukran za dhati naamin kuna madaktari humu
 
Mkuu me nakumbuka nilisoma sehemu moja kuwa mpaka sasa haijasibitishwa kuwa mwanga wa Tv una madhara kwa binadam.....
Ushauri wangu ale sana mboga za majani zitamsaidia.. ale kwa wingi atapona...
 
Sasa anasemaje tatizo limesababishwa na tv wakati madaktari wamesema tv haiwezi kusababisha low vision!!

Kama hela inaruhusu aende hospitali nyingine ajaribu pia.
 
Ndugu yako ana tatizo linaitwa blurred vision..
Maybe ana changamoto za kiafya ambazo zinaweza ambatana na hili tatizo likawa kama dalili mojawapo
Nliwahi kuwa nalo yani hata namba za vocha sizioni
TV hadI nsogee karibu kiasi
Mtu akisimama hatua kumi siuoni uso
Ni kama aina Fulani ya mvuke kwenye uoni wa mtu.
Kuna sindano nliwahi kuchomwa inatibu magonjwa kama 70..blurred vision angalau ikaondoka kwa 90%
Hivi sasa fresh tu,nko poa kabisa.
 
Mkuu me nakumbuka nilisoma sehemu moja kuwa mpaka sasa haijasibitishwa kuwa mwanga wa Tv una madhara kwa binadam.....
Ushauri wangu ale sana mboga za majani zitamsaidia.. ale kwa wingi atapona...
Ata madaktar pia wanasema ivyo sema sometime bajet zinakinzana
 
Kama kila miwani aliyokuwa akipima hapati inayomsaidia basi mwambie atafute hii.

Atakuja kunishukuru baadae, aagize kutoka Spain

Mm mwenyewe nipo nashida kama yake ila tofauti yake... mm na kichwa
pia kinanisumbua.

Nisipo vaa miwani nikatumia cm,computer, mwanga wa taa au hata mwanga wajua huwa napata shida sana kutazama naona kama mbele kuna ukungu mixer kichwa
kuuma.

14-22-33-lemarais_kids_black_side_700x.jpg


Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Sasa anasemaje tatizo limesababishwa na tv wakati madaktari wamesema tv haiwezi kusababisha low vision!!

Kama hela inaruhusu aende hospitali nyingine ajaribu pia.
Labda nje ya nchi bongp wote wanasema ni optic nerve path ila kwa stor za chinichin nasikia kuna watu washapataga tatizo km hili inabid likikuanza uache kuchek TV ulale kwenye giza totoro hata simu usitumie mchana usitoke nje sababu ya jua unapona tatizo lake huyu kakaa nayo mda mrefu ivo inakuwa ngumu kunahiraji nguvu ya ziada
 
Kama kila miwani aliyokuwa akipima hapati inayomsaidia basi mwambie atafute hii.

Atakuja kunishukuru baadae, aagize kutoka Spain

Mm mwenyewe nipo nashida kama yake ila tofauti yake... mm na kichwa
pia kinanisumbua.

Nisipo vaa miwani nikatumia cm,computer, mwanga wa taa au hata mwanga wajua huwa napata shida sana kutazama naona kama mbele kuna ukungu mixer kichwa
kuuma.

View attachment 1633044

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hata yy pia anasema ivyo anaona ukungu mweupe hv image haipo clear mm ninaamin nje ya nch tiba zipo na miwan za kuzuia mwanga wa jua .tv .simu.taa zipo

Embu naomba jina la io miwan
Maana madoctor wa apa vichwa ngumu nimewaambia km hamuwez basi mwandikien ripot apewe msaada akatibiwe nje hawatak wanasema eti mpaka washindwe sasa nikashangaa mtu mnamwandikia vidonge miaka kibao hapon afu mnakataa hamjashindwa

Naomba jina la io miwan na jins ya kuipata
 
thread kama hiz watu hua hawazioni ila za kula tunda kimasihara ukute sasa hivi uzi una page 200, anyway subiri wataalam waje mkuu.
Sasa kama sio wataalamu si watajaza pumba tu na mada kuvurugwa bila mtoa mada kupata msaada.
 
Ndugu yako ana tatizo linaitwa blurred vision..
Maybe ana changamoto za kiafya ambazo zinaweza ambatana na hili tatizo likawa kama dalili mojawapo
Nliwahi kuwa nalo yani hata namba za vocha sizioni
TV hadI nsogee karibu kiasi
Mtu akisimama hatua kumi siuoni uso
Ni kama aina Fulani ya mvuke kwenye uoni wa mtu.
Kuna sindano nliwahi kuchomwa inatibu magonjwa kama 70..blurred vision angalau ikaondoka kwa 90%
Hivi sasa fresh tu,nko poa kabisa.
Ndio ni kwel kwa mujibu wake ni km mvuke hv upo kwenye macho yke

Sasa naomba unisaidie io sindano inaitwaje na ulichomwa hospital gan ili tuweze kujaribu huko
 
Sasa kama sio wataalamu si watajaza pumba tu na mada kuvurugwa bila mtoa mada kupata msaada.
Usemalo ni kwel so sometime ni bora wapite kimya kimya ili wenye mawazo watoe solution tujaribu tiba nyingine au kupeana idea ni jins gan mtu anaweza kwenda tibiwa nje ha nch na taratibu zikoje

Ila dont underestimate them sometime wanaweza kuwa na mapana zaid kuna jamaa apo juu kasema anasikia harufu tunguli nimemwangalia tu lkn wazo lake sijalipuuza maana dunia ya sasa ina mambo mengi na wengine wanatumia ata uchawi kuharibu maisha ya wenzao
 
Sasa anasemaje tatizo limesababishwa na tv wakati madaktari wamesema tv haiwezi kusababisha low vision!!

Kama hela inaruhusu aende hospitali nyingine ajaribu pia.
Sio kila kitu madaktari wanajua sometime they are wrong mm nina bibi yngu walipanga kumpasua mgongo apo muhimbili tukasema NO kaenda USA wakamweka kwenye friji akapona
 
thread kama hiz watu hua hawazioni ila za kula tunda kimasihara ukute sasa hivi uzi una page 200, anyway subiri wataalam waje mkuu.
KTKM (kula tunda kimasihara) ni taaluma yenye wataalam wengi kuliko hiki kilichopostiwa humu mkuu
 
Sio kila kitu madaktari wanajua sometime they are wrong mm nina bibi yngu walipanga kumpasua mgongo apo muhimbili tukasema NO kaenda USA wakamweka kwenye friji akapona
Na ndio maana nikasema aende hospitali nyingine akajaribu hawa madactari wanaachana uwezo wa kutatua changamoto za wagonjwa.
 
Labda nje ya nchi bongp wote wanasema ni optic nerve path ila kwa stor za chinichin nasikia kuna watu washapataga tatizo km hili inabid likikuanza uache kuchek TV ulale kwenye giza totoro hata simu usitumie mchana usitoke nje sababu ya jua unapona tatizo lake huyu kakaa nayo mda mrefu ivo inakuwa ngumu kunahiraji nguvu ya ziada
Kama pesa ipo aende tu afya ni suala sensitive sana.
 
Tatizo utaratibu embu nipe njian za kwenda kutibiwa nje zipoje
Sina uzoefu huo lkn nadhani hata huko hospitali alikoenda kutibiwa mkiuliza wanaweza kuwaelekeza taratibu za kwenda nje.
 
Back
Top Bottom