Wanasema kwa mujibu wao taratibu za kwenda nje ni mpaka washinde na kwa tatizo lake wanadai hawajashindwaSina uzoefu huo lkn nadhani hata huko hospitali alikoenda kutibiwa mkiuliza wanaweza kuwaelekeza taratibu za kwenda nje.
Aisee pole sana, endelea tu kufatilia utafanikiwa.Wanasema kwa mujibu wao taratibu za kwenda nje ni mpaka washinde na kwa tatizo lake wanadai hawajashindwa
Ndio maana nataka nijie mifumo ili niwasukume wafanye maana kuna madaktar much know sana wabish mno CCBRT na MUHIMBILI wote wale wale tu
Tembelea hii link yao kila kitu unamalizana nao huko huko free shipping , afu sahiz wana offer 10% kidogo bei ipo chini https://barnerbrand.com/products/le-marais-black-noir-manHata yy pia anasema ivyo anaona ukungu mweupe hv image haipo clear mm ninaamin nje ya nch tiba zipo na miwan za kuzuia mwanga wa jua .tv .simu.taa zipo
Embu naomba jina la io miwan
Maana madoctor wa apa vichwa ngumu nimewaambia km hamuwez basi mwandikien ripot apewe msaada akatibiwe nje hawatak wanasema eti mpaka washindwe sasa nikashangaa mtu mnamwandikia vidonge miaka kibao hapon afu mnakataa hamjashindwa
Naomba jina la io miwan na jins ya kuipata
Sio ya kawaida na ni gharama.na pia inaandikwa daktari,sio daktari tu..ni specialist..njoo pm nkutajieNdio ni kwel kwa mujibu wake ni km mvuke hv upo kwenye macho yke
Sasa naomba unisaidie io sindano inaitwaje na ulichomwa hospital gan ili tuweze kujaribu huko
Pm yako umefunga.so jumbe zinagomaNi wiki nyingine tena bado tupo tunapambana na maisha kila mmoja na nyanja zake na humu ndani pamekuwa na somo kubwa watu wanaelimishana na kupata mitazamo tofauti sasa basi naomba niende moja kwa moja kwenye mada
Nina kaka yangu mmoja ana matatizo ya macho low vision problen haoni vizuri na akipimwa miwani hapati na ukimpa karatasi asome hawezi mpaka asogee karibu
Kwa mujibu wa yeye mwenyewe matatizo hayo hakuzaliwa nayo aliyapata kipindi yupo form 2 shule fulan hapa Dar jina kapuni anasema kwamba alianza tabia ya kucheza gamea playstation games tena kipind hiko kuna TV zile zenye machogo tube tv na alikuwa anaishi hostel ambapo alikuwa analala kwenye double deck kitanda cha juu kilicho karibu na taa
Anadai kwamba hali io ilidumu kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu alikuwa mdogo ukichanganya na maswala ya familia basi akawa km kakata tamaa na alikuwa anaish ili mrad tu kuna matatizo yalikuwepo ndani ya familia japo sitaki kuweka wazi ila in short aliishi maisha ya bull shit hali hii ilidumu kwa muda mrefu game playstation ndio ilikuwa faraja yake na akirudi hostel kulala wenzie wanamfanyia makuaud wanamwashia taa huku wakijua dhahiri kuwa ana matatizo ya macho asipone
Saaa kakaa muda mrefu na aaaa anaanza kutafuta tiba ya huo ugonjwa kwa mujibu wa madaktari wanasema TV haiwez kumpa mtu low vision problem wamemwambia anaumwa Ugonjwa ambao kitaalamu unaitwa optic nerve path mara waseme macular dull na wamemwandikia vidonge lakini ni miaka miwili sasa anatumia vidonge na hakuna mabadiliko ameenda CCBRT, MUHIMBILI kote majibu ni hayo hayo
Sasa basi tunaomba ushauri wenu nn kifanyike maana kwa mujibu wake tatizo hilo limeaababishwa na TV na bulb
Natanguliza shukrani za dhati naamini kuna madaktari humu
Nilichogundua wengi wanasumbuliwa na tatizo la UV rays (blue light) ambapo tatizo hilo ili kuweza kulidhibiti ni kutumia vifaa ambayo ni Uv light protector ikiwemo:
1. UV light protector glasses kwa ajili ya kuangalia simu , laptop na TV
2. UV light screen protector kwa ajili ya simu.
Hizi glasses naamini wengi tayari wanazifahamu, na kwenye simu kuna hizi screen protector, jinsi zilivyo ni kama screen protector za kawaida ila zinakuwa na kagiza flani hivi.
View attachment 1634199View attachment 1634201
Hili ni tatizo langu kabisaNdugu yako ana tatizo linaitwa blurred vision..
Maybe ana changamoto za kiafya ambazo zinaweza ambatana na hili tatizo likawa kama dalili mojawapo
Nliwahi kuwa nalo yani hata namba za vocha sizioni
TV hadI nsogee karibu kiasi
Mtu akisimama hatua kumi siuoni uso
Ni kama aina Fulani ya mvuke kwenye uoni wa mtu.
Kuna sindano nliwahi kuchomwa inatibu magonjwa kama 70..blurred vision angalau ikaondoka kwa 90%
Hivi sasa fresh tu,nko poa kabisa.
Hospital gani mkuu ulienda??Ndugu yako ana tatizo linaitwa blurred vision..
Maybe ana changamoto za kiafya ambazo zinaweza ambatana na hili tatizo likawa kama dalili mojawapo
Nliwahi kuwa nalo yani hata namba za vocha sizioni
TV hadI nsogee karibu kiasi
Mtu akisimama hatua kumi siuoni uso
Ni kama aina Fulani ya mvuke kwenye uoni wa mtu.
Kuna sindano nliwahi kuchomwa inatibu magonjwa kama 70..blurred vision angalau ikaondoka kwa 90%
Hivi sasa fresh tu,nko poa kabisa.
MuhimbiliHospital gani mkuu ulienda??
Nimetembelea hii link naona miwani moja inauzwa eur 5900 au nitakuwa nimeelewa vibaya chief?Tembelea hii link yao kila kitu unamalizana nao huko huko free shipping , afu sahiz wana offer 10% kidogo bei ipo chini Le Marais Black Noir Man
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Heee! Ukiipeleka kwenye pesa ya kibongo ni km 243k na vichenchiNimetembelea hii link naona miwani moja inauzwa eur 5900 au nitakuwa nimeelewa vibaya chief?