Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

Hata usitumie tena ndom piga dry ndo tam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu usiwe unatumia condom na usiwe malaya
Mimi sio malaya ila kuna kutunukiwa na siku zote waswahili husema zawadi ni zawadi huwezi kataa zawadi utaitwa mjinga ndo maana naona nitumie kinga nahua natumia mchanganyiko mara NDUME, MSD, 3BOMBA nk hivyo nashindwa kujua nizipi zenye aleji sasa naomba ushauri kwa wale wanaojua mbaya na nzuri ili nijue zipi niache zipi nitumie
 
Mkuu hapo anza utafiti kwa kuanza na moja moja hadi ujue ipi unaallergy
 
Hivi bado kuna watu bado mnatumiaga kondomu tu ...!
Dah...! mie nilishasahau kabisa kwanza nilidhani hata zilishagafutwa kama ilivyopotea ile dawa tuliyokuwaga tunaweka kwenye maji ya kunywa "water guard"
 
Wewe ni Ke au Me
 
Yaani mpaka leo hii.. karne hii kuna watu wanatumia condom?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…