Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

Mimi sio malaya ila kuna kutunukiwa na siku zote waswahili husema zawadi ni zawadi huwezi kataa zawadi utaitwa mjinga ndo maana naona nitumie kinga nahua natumia mchanganyiko mara NDUME, MSD, 3BOMBA nk hivyo nashindwa kujua nizipi zenye aleji sasa naomba ushauri kwa wale wanaojua mbaya na nzuri ili nijue zipi niache zipi nitumie
Uwe unazifua kwanza kuondoa yale mafuta ndo yanaleta shda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za asubuhi wakuu najua humu kuna wataalamu wa aina nyingi hivyo kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo ningeomba ushauri au tiba kabisa maana kila nikitumia kondom(kinga) wakati wa tendo la ndoa hua natokwa na vipele sehemu za siri hivyo naomba msaada nijue kwamba nikwanini nakama kuna kondom zenye madhara hayo je nitumie kondom gani ambazo ninzuri?
Unaalej n kondom

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm kuna demu wangu yaani condom zinamletea allegy hivo tena sio kwamba akivaa yy yaani nikivaa mm tu.sasa hataki hata kusikia yaani mtagombana kbsa seriously yaani nikumwagia nje tu wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm kuna demu wangu yaani condom zinamletea allegy hivo tena sio kwamba akivaa yy yaani nikivaa mm tu.sasa hataki hata kusikia yaani mtagombana kbsa seriously yaani nikumwagia nje tu wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tabia ya mademu kukataa kondomu kwa kisingizio cha allergy naona inazidi maana nimeshawaona kadhaa wa sampuli hiyo yaani ukilazimisha kuvaa bora asifanye na atafoc kukuvua cjui wana maana gani[emoji33] [emoji33]
 
Hii tabia ya mademu kukataa kondomu kwa kisingizio cha allergy naona inazidi maana nimeshawaona kadhaa wa sampuli hiyo yaani ukilazimisha kuvaa bora asifanye na atafoc kukuvua cjui wana maana gani[emoji33] [emoji33]


Gridi ya Taifa... Kilovoti 800,000 !

-Kaveli-
 
Hii tabia ya mademu kukataa kondomu kwa kisingizio cha allergy naona inazidi maana nimeshawaona kadhaa wa sampuli hiyo yaani ukilazimisha kuvaa bora asifanye na atafoc kukuvua cjui wana maana gani[emoji33] [emoji33]
Kwel mkuu hii tabia naona inazid kuota mizizi taratibu
 
Kwel mkuu hii tabia naona inazid kuota mizizi taratibu
Daaah! Na muda huo unakuta anazngua kwny last point kbs muda huo kidume unawaza kwa kutumia kichwa kidogo,kikubwa hakifanyi kazi kbs! Sema nn sahv bora kuwakazia tu unainuka unavaa huyooo!
 
Kwema wanajamvi,

Mimi ni muhanga wa vyakula vya ngano. Toka nimezaliwa mpaka sasa nina elekea kufika umri wa miaka 29-30 hivi sijawai kutia chakula cha ngano mdomoni sio; mkate, keki, andazi, chapati, biscuit, pizza, tambi, burger, beer.

Kwa kifupi chakula au kinywaji chochote chenye nutrients za ngano ndani kwangu imekua mtihani toka kuzaliwa. Natamani sana kula hivi vyakula, wazee wangu wamefanya kila liwezekanalo lakini wapi.

1. Hivi kuna tiba kweli ya hii kitu?
2. Una ushuhuda wa mtu aliekua na tatizo kama hili na leo hii ana kula ngano bila shida?

Wataalam wa mambo ya Allergies msaada tafadhali.
 
Mi nilijua ukila vinakuletea matatizo fulani ya kiafya kumbe hutaki kabisa kutia hivyo vyakula mdomoni. PAMBANA NA HALI YAKO TU
 
Back
Top Bottom