Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

toplemon,
Pole tupo wengi kumbe wenye mzio na nyuki.nduguyo hapa nikiumwa hata na mmoja ni I.C.U Nina vimba Kuanzia kichwa nakua Kama sanamu la MICHELLIN
 
Umeshawahi kufa ?

Kama bado, unajuaje nyuki wawili wanaweza kukuua ?
 
Pindi wanapokung'ata haraka sana paka Asali. jitahidi pia kunywa asali na vitunguu swaumu.
 
Salaam Tz

Allargy zimekua maarufu sana miaka ya karibuni hadi sasa, wachache ktk watu wamesalimika na allergy kabisa ila wengi ktk watu wanazo allergy za aina tofauti tofauti

Mtu anaweza kusema hana lkn ni kwa sababu ya mazingira fkan anayoishi ila akijiexpose kweny mazingira mengine tofaut ghafla inaamka

Zipo allergy nyingi na mf; harufu, baridi, vumbi, vinywaji flan, moshi, vyakula n.k

Kwa bahati mbaya hakuna dawa za hospitali za kutibu allergy/mzio ila zipo za kupunguza kiasi, sifaham kwa dawa za asili (labda tuskie kutoka kwako ukishuhudia)

Nimeleta uzi huu tupeane cases/visa mbalimbali/uzoefu tulivyoshuhudia vinavyotuhusu au vinavyohusu ndugu/jamaa zetu wa karibu na namna gani walivyodeal navyo kujinasua kweny hali hizo kwa wakati huo hususan kwa njia zisizo za hispitali

N.B, Kama wewe ni mganga wa kienyeji basi tuliza wenge/usichangie

f953f960bcde598ce501a958caa8d1bc.jpg
a46e4701e41fb5e8323c528308236253.jpg
7c9f512463fbd4e807c5d2c07c7a9130.jpg
 
Siti ya mbele.

Nina Vitiligo though wanasema siyo allergy hivyo wataalamu wameshindwa kuhundua inasababishwa na nini,
Maana niliambiwa nisile nyama nyekundu, mtaalamu mwingine akaniambia nisiote jua, mwingine huu ni ugongwa wa kurithi n.k

Kwa sasa situmii tena dawa, nipo nipo tuu
 
Nikila nyama nyekundu, napata mafua
Nikianua nguo kwenye kamba kukunja, napata mafua
Nikitoa nguo iliyokaa zaidi ya wiki 2 kabatini na kuivaa, napata mafua
Nikiogea hizi sabuni za kunukia, napata mafua
Nikilala kwenye Ac mafua, ila feni sipati mafua.

Najiuliza sana
 
Nikivaa mkufu fake,au hereni feki au ata mkononi.kwa muda nawashwa natoka vipele baadae inageuka vidonda...na ninavyopenda urembo nateseka
 
Nikitumia vyakula vyenye mchanganyiko wa nyanya au maziwa pamoja na ngano napatwa na allerg ya mafua, hata kama mafuta yaliyopikiwa mandazi au chapati yakipikiwa katika mboga nakuwa napatwa na allerg kutokana na mazingira inakuwa vigumu kuepuka kwa mfano ma hotelini.

Ninaombeni ushauri nifanyaje nipone au nipate nafuu.
Hilo tatizo mm pia nnalo nilichoamua ni kutumia dawa asili kwasabab wanasema ni tabu kutibika hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kukua kwangu nimezijua dawa za aina mbali mbali kila siku ntakua naelezea dawa nzozijua nkipata muda leo tuanze na sawa ya allergy mara nyingi mzio au allergy unawapata watoto wadogo kwa baadhi ya vyakula kama samaki nyama na mara nyingine hata maziwa ya wanyama

UWENGE/Uwenga
hii ni aina ya majani yanayopatikana sana sehemu za baridi yanatambaa na mara ny yanapenda sana seh za kando kando ya mto yana sifa moja hayana harufu kali hadi yachemshwe

Matumizi

ichemshe hadi ibadilike rangi chemsha nyingi ibaki litre 5 tenga litre mojakwa ajili ya kunywa iliyobaki mpake baada ya kumwogesha au mwogeshe seh zenye vipele bila kutumia sabuni za dawa (medicated soap) mnyweshe mtoto robo glasi asubuhi mchana na jioni kwa muda wa siku 3 mtu mzima tenga litre moja na nusu kunywa nusu tu ya glasi baada ya siku 3 hilo tatizo halitajirudia tena kwenye maisha yake /yako yote
kama hii dawa ni ngumu kuipata ulipo ni pm au ulizia kwa mtu yyete wa Lushoto au Bumbuli akutumie View attachment 978167View attachment 978168


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom