Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tayari umepata ujauzito?Mie nina allergy na wanasiasa wapumbavu,nikiwaona nasikia kichefuchefu[emoji5]
Mzuqa!
Hii ishu ya allergy sijui kwa kiswahili siyo ya kuchukulia mchezo mchezo for granted hasa kwenye chakula. Waswahili wengi hatujali hasa mtu akikuambia ana allergy ya chakula flan tunadhani ana ringa ama anajifanya.
Kuna watu wana allergy ya bidhaa zote za maziwa dairy products yani akila tu anaweza kufa. Mwengine ana allergy na nyama na kadhalika. Bongo mtu akikuambia ana allergy na dagaa atasemwa sana eti anaringa.
Jana mmama flan kazini karibu afe baada ya kula cheese kwa bahati mbaya. Kila siku asubuhi kabla aanze kazi upitia jikoni na kuuliza chakula gani na atengewe. Kwake ni marufuku bidhaa yoyote au chakula chochote cha maziwa. Kwa bahati mbaya alikula cheese alianguka na kutetemeka karibu afe.
Mtu yeyote akikuambia ana allergy ya kitu flan usimdharau awe mtoto wako ndugu mwanafamilia n.k hii makitu very serious mtu anaweza kupoteza maisha hivihivi kizembe.
Pia kunawengine wana allergy na pets paka na mbwa etc.
Zamani kidogo nakumbuka dogo flan Arusha ana allergy na nyama tukawa tunamtaniaga sana jamaa hana bahati.
Mkuu tayari umepata ujauzito?
Sawa Mkuu, nashukuru kwa taarifaSina wala ujauzito.
Wengine wana allergy na flat screen kama Behaviourist[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Shukran GTAsante kwa andiko hili. Watu wengi huwa wanachukulia kirahisi mambo haya wakati yanaweza kugharimu uhai wa mtu
kwa kuongezea tu, Allergy ni MZIO kwa Kiswahili fasaha.
Asante
Mimi mwenyewe nnapenda sana hio kitoweo ila nikila tu siku hiohio naanza kupata vidonda mdomoni,Kuja jamaa alikauja home alisema ana aleji na dagaa nili maindi kwa sababu home ndo ilikuwa mboga pendwa .napenda dagaa kinoma
Mimi nina allergy ya sulfur,hamira na mayai. Nikila naumuka mdomo. Usiombe kuwa na mzio,ni shida.Me na allergy na Mayai yaan nikiyala tu lazima nitapike na kuugua kabisa hivi humu akuna mwny dawa anisaidiee
Hahaha hata mimi na iyo allergy lakini Huwezi kuwa na allergy na neema za Allah
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1126139
Jaribu kuchunguza kinywani tatizo hilo linasababishwa na kuota kinyama juu ya ulimi kinaotea kwenye ulimi juu.Hata mimi nina tatizo kama hilo tofauti ni kua ukiacha mafua pia nakua kama nina kikohozi kikavu kilichokwama kooni ambacho kabla sjaongea huhitaji kwnz kujitayarsha kwa kukohoa kidogo.. Na muda mwng pua moja linakaa limeziba wakati siumwi mafua, nmshaenda hosptl zaid ya tano kubwakubwa lakn hamna mafanikio. Wenye kujua tiba tusaidieni jaman.
Hapa Mimi yananisumbua wiki sasa yakikata ni siku Moja tu yanarudi tena.Hili tatizo la aleji ya mafua halijapatiwa ufumbuzi tu ? Maana tupo wengi tushamaliza hospitali kibao.
Sent using Jamii Forums mobile app