Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

Jaribu kuchunguza kinywani tatizo hilo linasababishwa na kuota kinyama juu ya ulimi kinaotea kwenye ulimi juu.

Ukikiona hicho nitafute nitakuelekeza dawa kitapona utumie huenda ikasaidia.
Hili tatizo nilikuwa nayo nilikuwa bila kufanya hivyo kujitayarisha kwanza siwezi ila nakumbuka nilimeza cetirizine kwa muda wa miezi miwili na madawa mengine pia ikaja ikapotea nilienda hospital ipo magomeni mwembe chai panaitwa ekenywa ndio tatizo hilo liliisha ila la pua kuziba niliambiwa ni allerg na kweli nikiacha hivyo baadhi ya vyakula kama nyanya na maziwa kwa muda mrefu nakuwa katika hali nzuri.
 
Hili tatizo nilikuwa nayo nilikuwa bila kufanya hivyo kujitayarisha kwanza siwezi ila nakumbuka nilimeza cetirizine kwa muda wa miezi miwili na madawa mengine pia ikaja ikapotea nilienda hospital ipo magomeni mwembe chai panaitwa ekenywa ndio tatizo hilo liliisha ila la pua kuziba niliambiwa ni allerg na kweli nikiacha hivyo baadhi ya vyakula kama nyanya na maziwa kwa muda mrefu nakuwa katika hali nzuri
Mimi lilinisumbua sana miaka miwili iliyopita nilitumia dawa za kienyeji likaisha.
 
Push up huwa na piga sana, ila napata unafuu wa kupumua vizuri kwa dakika kama 20 hiv, ila baada ya hapo yana rudi tena.
 
Hili tatizo la aleji ya mafua halijapatiwa ufumbuzi tu ? Maana tupo wengi tushamaliza hospitali kibao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kuna dawa nilitumia alhamdu lillah nashukuru imenisaidia ila pia + mazoezi mfano huwa nakimbia km kama 3 hivi.
1564340731277.jpeg
 
Mazingira unayoishi labda.Uwenda pana unyevunyevu sana na maua.Au hakuna hewa ya kutosha.
Push up huwa na piga sana, ila napata unafuu wa kupumua vizur kwa dakika kama 20 hiv, ila baada ya hapo yana rudi tena.
 
Nikitumia vyakula vyenye mchanganyiko wa nyanya au maziwa pamoja na ngano napatwa na allerg ya mafua, hata kama mafuta yaliyopikiwa mandazi au chapati yakipikiwa katika mboga nakuwa napatwa na allerg kutokana na mazingira inakuwa vigumu kuepuka kwa mfano ma hotelini.

Ninaombeni ushauri nifanyaje nipone au nipate nafuu.
Pole sana kwa tatizo ulilonalo..Kwa kwaida Allergy si ugonjwa bali ni "overreaction ya Immune system yako. Kwa kwaida Immune utusaidia kupigana/kujikinga na magonjwa yanayosababishwa na Bacteria/Virus Sasa basi kuna watu ambao Immune sysm yao hiko very high kiasi ambacho ina react hata kwa vitu vidogo kama Vumbi, Harufu na nk.

Matibabu: Kwa kawaida hakuna dawa ya kutibu Allergy bali kuna dawa za kutuliza maumivu/dalili unazokuwa nazo.Matibabu pekee ni kuepuka mazingira yanayosababisha wewe kuwa na Allergy.

Lakini pia inawezekana kabisa ukapona na hii ni kutokana na au Immune yako ikatambua kuwa hii ni vumbi sio Bacteria/virus au Immune system yako ikaacha ku overreact kwa vitu vidogo vidogo.

Kwa kawaida kuwa Allergy ni kuonyesha kuwa Immune yako inakukinga vilivyo yaani haruhusu hata vumbi kuingia ndani ya mwilino wako.
 
Ndugu wana JF

Shukrani kwenu kwa michango yenu yenye kujenga na kuelimisha. Nina tatizo la allergy ya sulphur; wiki iliyopita nilikuwa nje ya mji wangu na sikuweza kupata chakula nachopendelea zaidi ya kuchemshiwa mayai manne ya kienyeji. Bahati mbaya sana baada ya kula, nilianza kuwashwa kwenye vidole vya mkono mpaka nilipokumbuka mayai yana sulphur. Isitoshe hiyo sehemu nilyoenda kulikuwa na miti ya milonge; baada ya kuelezwa faida zake nami nikaenda kuchemsha majani yake; muwasho ukaongezeka zaidi.

Katika kupekuapekua nikagundua na hayo majani nayo yana sulphur nyingi.

Jambo lililonifanye kuomba msaada ni baada ya kuelezwa kuwa dawa za kutibu Allergy ya Sulphur zina madhara makubwa sana ya kongosho na figo; hivyo naombeni msaada wenu dawa mbadala ya kutibu allergy ya sulphur endapo itajirudia tena. Kwangu hili ni tatizo kubwa sana kwani nimegundua hata nyama ninazopenda kuliko vyakula vyote zina sulphur; mboga za majani ambazo ndio mlo wangu mkubwa badala ya wanga nazo zina sulphur.

Naombeni ushauri ndugu zangu; sitaki tena dawa za hospitali kwa tatizo la allergy.
 
Hakuna tiba mbadala ila nenda kwa dokta ili akuandikia dawa za kuzuia kuwashwa na mabaranga.
 
Duuh labda kwa kuwa nyama ni protein naweza sema sulphur ipo but sio free sulphur as ilivyo kwenye madawa...!! Pole sana mkuu ila hakuna dawa zaidi ya Kuachaa kutumia vitu vinavyokuoa allergy hiyoo au ukinywaa Bhasi kunywa na Citrizen au dawa yoyote inayotreat allergy. POLE SANA MKUU
 
Mkuu, Jaribu hivi, Kabla ya kula chakula kinachokuletea mzio, kunywa maji ya kutosha kwanza. Ukimaliza kula, Wewe endelea kunywa maji tu. Nilifanya hivyo nikayaona matokea mazuri. Mimi ilikuwa upande wa kitimoto, nikila kitimoto hata kidogo, napata mzio. Baada ya kuanza kunywa maji kabla na baada ya kula, mpaka leo niko vizuri sana.
 
Mkuu, Jaribu hivi, Kabla ya kula chakula kinachokuletea mzio, kunywa maji ya kutosha kwanza.
Ukimaliza kula, Wewe endelea kunywa maji tu. Nilifanya hivyo nikayaona matokea mazuri. Mimi ilikuwa upande wa kitimoto, nikila kitimoto hata kidogo, napata mzio. Baada ya kuanza kunywa maji kabla na baada ya kula, mpaka leo niko vizuri sana.
Nitazingatia
 
Habari wanaJamiiForums,

Tangu 2018 nimekuwa nasumbuliwa na tatizo la allergies kwa baadhi ya manukato (perfumes).

Yaani kuna baadhi ya perfumes nikizinusa tu, basi lazima mafua yanisumbue sana sana wakati kipindi cha nyuma nilikuwa sina tatizo nazo (nilikuwa nazitumia bila shida).

Swali ni kwamba, kwa nini hali imekuwa tofauti na mwanzo? Hii allergy hutokeaje?

Naombeni msaada, pia wa tiba hali yangu irudi kama mwanzo.
 
Sikuwah kuwa na allergy yoyote ila tangu mwaka 2018 nimepata allergy ya harufu, kuna baadh ya manukato yamekuwa hatari kwangu wakati mwanzo nilikuw natumia.

Juz pia ndo nlijishangaa... Hakuna mwenye roho ngumu kutapika kam mm ila juz kuna kinywaj flan nlikunywa, duh nlihis kufa kwa kutapika.
 
Kwenye ngozi yako kuna first defence line, ambayo inahusisha histamines, histamines huwaachiwa mwili ukihisi hatari. Kila unapokutana na hizo perfumes mwili wako una sense hatari na kuachia chemicals hizo. Kuzipunguza makali unaweza kununua anti histamines kwenye maduka ya dawa.
 
Allergy inatokea pale kinga ya mwili inapohisi kitu kutoka nje ya mwili wako au kilichoingia ndani kuwa ni hatari(mpinzani)..hivyo kwenye kureact ndo kunasababisha matokeo ambayo ndo wengi wanayajua kama allergy..mfano kutoka vipele,ngozi kuwasha..n.k

Na kinga ya mwili huzoea (secondary memory),so kila hiyo external factor itakapotokea lazima upate allergic rnx
 
Asante mkuu Darmian kwa ufafanuzi.. ila inakuwaje mwili umeanza kureact siku za hivi karibuni? Pengine mwili umepunguza au kuongeza kinga zozote zile kwa unavyofahamu wewe? Samahani mkuu.
 
Back
Top Bottom