kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,423
- 3,414
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kifupi hatakiwi kula samaki aina ya COD na crab 🦀, maharage ya soya, sesame seeds zile mbegu za ufuta zinatengenezea ladu. Vingine wengine wataendelea. Ningekua yeye bora achana na sea products kabisa.pole kuna mwanamama mashuhuri sana kwakweli tafadhali dada Sky Eclat njoo mfafanulie huyu mtu.
Uko mkoa gani? kuna dawa naifaham, jina limenitoka labda unipm kesho niwasiliane na mama anipe jina, kama upo mbal na arusha au kilimanjaro anaweza akakutumia kwa basi UKAJARIBU.
Ni miziz flani hivi unachemsha na nyama alagu unakula from thea inaisha
a
Ushawahi kujaribu dawa yooyte ya mitishamba? Na unaweza kujaribu nimuulize kama ulishawah jaribu hiyo dawa miziz yake kama viaz kama sikosei, japo zipo nyingi.Nipo dodoma
uko mkoa gani?
kuna dawa naifaham
jina limenitoka labda unipm kesho niwasiliane na mama anipe jina
kama upo mbal na arusha au kilimanjaro anaweza akakutumia kwa basi UKAJARIBU
ni miziz flani hivi unachemsha na nyama alagu unakula from thea inaisha
Sijawahi,njoo inboxushawahi kujaribu dawa yooyte ya mitishamba?
na unaweza kujaribu nimuulize
kama ulishawah jaribu hiyo dawa miziz yake kama viaz kama sikosei
japo zipo nyingi
yupo njema haitaji mkuyatiUsisahau kumtumia na Mkuyati