Match fixing in Tanzania is real

Mkuu the real Burning Spear sio mjinga kama wewe una dhalilisha jina lake
Kwani kuna The burning spear mwingine tofauti na Mimi.?

Hoja hupingwa Kwa hoja Acha mhemuko, Binafsi Bado naamini matokeo ya mpira wa bongo yamejaa maswali mengi.

Kuna referee alishadiclare ukibahatika kuchezesha mechi tano zinazohusu Simba au yanga Kwa msimu mmoja basi wewe ni tajiri.
 
Huwezi kufananisha simba/yanga na hizo takataka mfano timu inamsajili Alikiba inategemea nini ...kugongwa tu
 
Hilo nalo linahitaji ubishi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…