Match ya mshindi wa tatu ngao ya jamii simba tayari kashajaza uwanja huko

Match ya mshindi wa tatu ngao ya jamii simba tayari kashajaza uwanja huko

Kwani kuna aliyeenda kuangalia mechi ya mshindi wa 3? Mbona mnajipa umuhimu msiokuwa nao?

Watu wamewahi kuangalia bonanza la bure kabla ya muda wa fainali ambayo ndiyo hasa iliyouza tiketi, kiufupi mechi ya mshindi wa 3 ni bonus kwa walionunua tiketi.

Kwako Mdakuzi
 
Mnajaza uwanja kwenda kushangilia nafasi ya tatu?
Makolozidad mnatia huruma sana 😂😂😂
 
Naambiwa hapa tayari ni full house kwa ile mechi inayoanza saa 9 hongereni sana mashabiki wa simba na uongozi wa simba kwa kuwahamasisha wanasimba na hasa kwa ahmed ally

Tunawaomba match yeny ikiisha mbaki na match ya Yanga vs azam sababu mashabiki wa Yanga ni wa-zito kwenye kujaza uwanja
Its raining 😞
Hata Azam na Uto hautakuwa na mashabiki
 
Naambiwa hapa tayari ni full house kwa ile mechi inayoanza saa 9 hongereni sana mashabiki wa simba na uongozi wa simba kwa kuwahamasisha wanasimba na hasa kwa ahmed ally

Tunawaomba match yeny ikiisha mbaki na match ya Yanga vs azam sababu mashabiki wa Yanga ni wa-zito kwenye kujaza uwanja
Leta picha kutuaminisha taarifa yako...maana Coastal union na simba wanafanana jezi
 
Mashabiki wa Simba wafanye watoke game yao ikiisha
 
1723368869068.jpg
 
Kweli nafasi ya tatu wamepania, na hakuna wa kuwatoa kwenye hiyo nafasi miaka kumi mfululu
Simba watatumia.mchezo wa leo kama pre season - nafikiri mwalimu atakuja na changes kama 6 hadi 7 za wale walioanza na Yanga.
 
Naambiwa hapa tayari ni full house kwa ile mechi inayoanza saa 9 hongereni sana mashabiki wa simba na uongozi wa simba kwa kuwahamasisha wanasimba na hasa kwa ahmed ally

Tunawaomba match yeny ikiisha mbaki na match ya Yanga vs azam sababu mashabiki wa Yanga ni wa-zito kwenye kujaza uwanja
Halafu hukawawii kusikia wapo ya nafasi ya nne
 
Back
Top Bottom