Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Mnakejeli wanasimba kwa kuishabikia simba? Mpira bila mashabiki ni nini?Kwenye AFL ndio walikua timu ya kwanza kutoka wakapewa kombe la kujaza uwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnakejeli wanasimba kwa kuishabikia simba? Mpira bila mashabiki ni nini?Kwenye AFL ndio walikua timu ya kwanza kutoka wakapewa kombe la kujaza uwanja
Komaeni ipo siku mtatokaMnakejeli wanasimba kwa kuishabikia simba? Mpira bila mashabiki ni nini?
Concept ni nini? Mnataka mashabiki wasiwe sehemu ya mpira?Komaeni ipo siku mtatoka
Its raining 😞Naambiwa hapa tayari ni full house kwa ile mechi inayoanza saa 9 hongereni sana mashabiki wa simba na uongozi wa simba kwa kuwahamasisha wanasimba na hasa kwa ahmed ally
Tunawaomba match yeny ikiisha mbaki na match ya Yanga vs azam sababu mashabiki wa Yanga ni wa-zito kwenye kujaza uwanja
Leta picha kutuaminisha taarifa yako...maana Coastal union na simba wanafanana jeziNaambiwa hapa tayari ni full house kwa ile mechi inayoanza saa 9 hongereni sana mashabiki wa simba na uongozi wa simba kwa kuwahamasisha wanasimba na hasa kwa ahmed ally
Tunawaomba match yeny ikiisha mbaki na match ya Yanga vs azam sababu mashabiki wa Yanga ni wa-zito kwenye kujaza uwanja
Tofauti ni maandishi "SHROUD' aka SANDALeta picha kutuaminisha taarifa yako...maana Coastal union na simba wanafanana jezi
Simba watatumia.mchezo wa leo kama pre season - nafikiri mwalimu atakuja na changes kama 6 hadi 7 za wale walioanza na Yanga.Kweli nafasi ya tatu wamepania, na hakuna wa kuwatoa kwenye hiyo nafasi miaka kumi mfululu
Halafu hukawawii kusikia wapo ya nafasi ya nneNaambiwa hapa tayari ni full house kwa ile mechi inayoanza saa 9 hongereni sana mashabiki wa simba na uongozi wa simba kwa kuwahamasisha wanasimba na hasa kwa ahmed ally
Tunawaomba match yeny ikiisha mbaki na match ya Yanga vs azam sababu mashabiki wa Yanga ni wa-zito kwenye kujaza uwanja
Maongezi ya muda hayajawahi badilika..!!Muda utaongea...
Halafu hukawawii kusikia wapo nafasi ya nneKweli nafasi ya tatu wamepania, na hakuna wa kuwatoa kwenye hiyo nafasi miaka kumi mfululu
Kabisa mkuu, sijui kwanini isingekuwa Zanzibar.Hiyo match ya mshindi wa tatu kwa nini isingepelekwa Zanzibar uwanja wa Amaan
AaahaaaKweli nafasi ya tatu wamepania, na hakuna wa kuwatoa kwenye hiyo nafasi miaka kumi mfululu