Mate na vvu

Nahisi hiki kituko hakijawahi toka jf ianzee jamaa kaji-mix kama mchuzi wa royko

post using my macbook air using jamiiforums app

Vimetokea vingi sana zaidi ya hivi. Kuna jamaa alianzisha thread inasema "Ana makalio makubwa hadi anashindwa kutembea" Siku ya siku ID zake zikaunganishwa, Jamaa mzee mzima akaumbuka wala sio binti.
 
hahahah aisee...alianza otieno kujitekenya sasa umefuata wewe. nadhani wiki hii ni watu kujitekenya tu
 
hahaa mkuu unaogopa eeh ?arv mbona zipo za kutosha! ila kukutoa hofu ni kwamba vvu havina maisha kwenye mate labda kama anatatizo la kutokwa damu kwenye fidhi hivyo ile damu ikavijengea uzio dhidi ya mate hafu vikaingia kwenye jeraha lako. ila kwa maelezo yako hauko keenye hatari
 
Nyie mjidanganye tuu
Mate yana ukimwi sawa na shahawa, kama unabisha kamlee denda mwenye ukimwi baada ya miezi 3 kapime kama hujalia yalaa mamaaa wee!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…