Mateka wa Israel walitaka kusalia Gaza lakini Hamas walikataa

Kama za lissu?

Acheni Propaganda za kijinga.
 
Kwani wale wadada wa Nigeria Baada ya kupatikana!!!! nao tuliona wanataka kurudi msituni walipokuwa kwa Watekaji wao kuna kitu kimejicha apo!!!!
 
Unateseka sana huu ndo ukwei ila main steam media zimekataa kuonyesha hali hii na huyo tayari ana mtoto na kabisa huko gaza
Mbona imakuwa ni rahisi kwa Mwafrika kulishwa Propaganda na kuziamini?
 
Huyo watakuwa walimkabidhi kabikra
 
Ni Moja kati ya mbinu za kivita.
Kumbuka hapo siyo kwamba wako kwenye semina au vikao vya utulivu.
Hiyo ni mbinu ya kumdhoofisha mwengine kifikra na mawazo.
 
Mbona imakuwa ni rahisi kwa Mwafrika kulishwa Propaganda na kuziamini?
Hahahaha sasa wewe unaumia nini hao wadada wakitamani kubaki Gaza dada zako?πŸ˜‚

Unang”ang”ania tu propaganda hii habari imetoka The Hebrew Channel 12 .

Asiwe punguani unatumia fikra zakoπŸ˜‚
 
Wewe muabudu shetani, acha uongo wako. Kwanza ona ex muslim wanavyokifanya kitabu cha shetani wenu kaalah

View: https://x.com/realMaalouf/status/1885773630639952021







Cigarette-starved prisoners smoking pages from the BIBLE filled with tea bags

Yahoo News UK







Smoking bans in four UK jails have seen inmates turn to bizarre creations to feed their addiction.
Prisoners who are desperate for nicotine have resorted to paying Β£10 for cigarettes made with tea bags stuffed into Bible paper.
The tea bags are mixed with nicotine patch glue and the Bible pages are used as paper to roll up the make-shift sticks.


Nicotine: Prisons across Britain are facing a smoking ban (Rex)

Inmates have been forced to take the drastic measures after the cigarette bans were introduced to HMPs Exeter, Channings Wood, Dartmoor and Eriestoke.ADVERTISEMENT

However, the the Ministry of Justice plans to extend the ban to prisons across the country.
The Bible cigarettes are reportedly even harder to get hold of than drugs, some of which have led to nearly 60 deaths in UK jails.
Letters, blotting paper and magazines are being soaked in former legal highs and smuggled inside, according to Steve Gillan, chairman of the Prison Officers Association.






 
Ahhahahahahahahahahahaha

Matapeli mna vituko snaaaaaa

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaha sasa wewe unaumia nini hao wadada wakitamani kubaki Gaza dada zako?πŸ˜‚

Unang”ang”ania tu propaganda hii habari imetoka The Hebrew Channel 12 .

Asiwe punguani unatumia fikra zakoπŸ˜‚
Itakuwa ni fake news.
 
Hamjaelewa! Yeye alikuwa na huruma ni mzalendo kweli kweli
 
Ukiacha kwa muda kunywa SUPU YA Kitimoto uwa akili zinzkupotea.

GOD BLESS ISRAEL
 
angeomba namba ya bahasha wake aliyekuwa anamkaza

Inanikumbusha yule mwanafunzi wa k- Nigeria aliyeomba kurudishwa porini kwa-boko Haram wake
 
Unateseka sana huu ndo ukwei ila main steam media zimekataa kuonyesha hali hii na huyo tayari ana mtoto na kabisa huko gaza
Hiii nimeipenda zaid watoto walembo kukaanao mwaka na miez 5 afu anaondoka bila Zawadi y zmtoto!!! kumpelekea
Netanyahu alietaka Walembo Wabaki GAZA!!! Netanyahu angenuna sana!!!!
 
Ahhahahahahahahahahahaha

Matapeli mna vituko snaaaaaa

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa wapiganaji wa Al-Qassam
Jina langu ni Keith Siegel; na mimi ninatoka Kfar Aza.
Nilifungwa huko Gaza kuanzia Oktoba 7, 2023, hadi [tarehe haipo]. Wapiganaji waliokuwa wakinilinda katika kipindi hiki walihakikisha kwamba mahitaji yangu yote yalitimizwa, kutia ndani chakula, vinywaji, dawa, vitamini, matibabu ya maono, kifaa cha kupima shinikizo la damu, na mahitaji mengine. Pia waliniletea daktari nilipokuwa nikijisikia vibaya kwa muda mrefu. Walinzi walijibu maombi yangu kuhusu chakula na maswala ya lishe. Pia walihakikisha wanatoa milo inayofaa kwa hali yangu ya afya (chakula cha mboga na kisicho na mafuta). Walinzi * walinitendea vyema. Ninaamini kuwa serikali ya Israel haikufanya kile kilichohitajika kufikia makubaliano ya kuwarudisha mateka na kumaliza vita, jambo ambalo lilisababisha hasara nyingi na madhara ya ziada kwa pande zote mbili. Natumai amani inakuja hivi karibuni.
Napenda kutoa shukrani zangu kwa wapiganaji walionitunza katika kipindi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…