Mateka wa Israel walitaka kusalia Gaza lakini Hamas walikataa

You worshiper of satan baal

View: https://youtu.be/0Fv_3j4-VaY?si=CVzdZKh3LAvCzl-D
 
Mahaba hayo.

Mabinti walikutana na vidume vya kweli, kwanini isiwe hivyo?
Kwamba huyo Muisrael alikua anawalomba mabinti wa kipalestina? Au sijaelewa?

Ni ngumu kuchangia maada hi cause ipo too short, haielezi why wengine walibaki while huyu Emy kafunguliwa, tunaweza kuyengeneza hypothesis nyingi. Kaka Ritz njoo na taarifa kamili, kwasasa umeacha maswali mengi mno
 
Mujahidina ngoja tuwe tuna-tag post zako kwa Trump sasa kwa sababu kuna siku utajifunga bomu ukidhani unawahi mabikra huko akhera kwenu...
 
Mujahidina ngoja tuwe tuna-tag post zako kwa Trump sasa kwa sababu kuna siku utajifunga bomu ukidhani unawahi mabikra huko akhera kwenu...
Mlokole kachafukwa pole ulipoumia Dini ya kislamu aitaji propaganda yenyewe itajitangaza
umeona Mama wa kisrael anawashukulu Hamas walimtunza vizuli tena Akiwa ndani ya Israel
toka iyo siku migaid ya Israel awataki tena wanaochiwa waojiwe Live

kazi yakudanganya na Ukweli uwa avikai Pamoja!! Magaid ya Israel Wauwaji wa Watoto vichanga!!! Wameona wafiche Ukweli ili Wabaki na Uwongo wao kuwa Hamas ni waovu!!!!

MATENDO TU YA HAMAS yameafanya ulimwengu utake kujua nini kuusu Dini ya UISLAM VIpi awa watu Wameuwawa 45000 lkn wao wakawatunza waisrael kias wameachiwa lkn
Wamenyimwa uko Israel wasiongee na MEDIA Akika mungu mkubwa. Ukweli na uwongo uwa vinajitenga avikai pamoja funzo kubwa tumeona kwa macho yetu!@
 
Ukizaliwa muongo utakuwa muongo na utakufa muongo.
Wapalestina wanaramani waondoke Gaza, alafu wayahudi watamani kubaki Gaza!
 
Kajifunze kuandika maneno ya kiswahili kwa ufasaha kwanza ndiyo urudi kutoa hoja.
 

Picha zinaongea zaidi ya maneno.

Your browser is not able to display this video.
 
Kajifunze kuandika maneno ya kiswahili kwa ufasaha kwanza ndiyo urudi kutoa hoja.
Itakusaidia nini mnunua Udongo ww mdanganyika Iman yko Yenyewe inategemea Msaada wa uwongo ili Ibaki kama ilivo!!!
 
Alionesha kuwa ana upendo kwa mwenzie na si mbinafsi. Wengine huwa wanataka waachiliwe wanawake au wazee/watoto kwanza kuonesha upendo na kujali. Hapo inaonesha hawa mayahudi wanapendana na kuheshimiana sana. Ni kuwa hana ubinafsi.
 
Picha zinaongea zaidi ya maneno.

View attachment 3224171
Tabasam la bint limetokea kwenye mbunye mojakwamoja!!!!! Uyu muisrael wa Bonyokwa! Looo inamuuma pole! We endelea kulima miogo na ulokole wako Unadhani ungesimama ww uyo Bint angekupenda!!!
kisa Unajiona naww muisrael w Bonyokwa!!! nyie walokole mwendelee tu kufunga muwaombee kuimba Taifa teule na kuinua juu kupepea Bendera ya Israel ndio kazi mliochagua wenyewe!!!!! HAMAS shemeji yenu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…