Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Switihati, naona umepanda Boeing 767, uko anga za mbali....
Haya bana...
Am very low IQ in decoding the codes....
Kindly elaborate more...🙂.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Switihati, naona umepanda Boeing 767, uko anga za mbali....
Haya bana...
Weekend kwa mpalange sio mbaya..Dah hawa malenga wapya wana shida sana🤣, kwa hii fasihi iliyo na wingi wa mafumbo na tafsida wengi watachanganya madesa
Anyway, uzi umejaa laana huu
Nimemwelewa kaongelea buza kwa mpalange ye alizani ni pa hovyo kumbe ni mahali tulivuMkuu mleta mada umemwelewa lakini????[emoji23][emoji23]
Bonyokwa shida ni maji tuBuza inasemwa vibaya kama Bonyokwa wakati kiuhalisia sio maeneo mabaya kama majority ya maeneo ya DSM.
Nilitembelea Bonyokwa palinivutia sana napenda kukaa maeneo ya milimani halafu naiona City Centre kama niko Malibu
Nadhani ni hivyo huwa nikipita mitaa Yao jamaa hawajavunja nyumba ila lami Kila Kona wanajitahidi sanaTemeke wana Meya anaejua kutafsiri maendeleo kwa vitendo.
Sioo kidogo🤣🤣Amekurupuka
Malibu ya kwa Biden au malibu ya simiyuBuza inasemwa vibaya kama Bonyokwa wakati kiuhalisia sio maeneo mabaya kama majority ya maeneo ya DSM.
Nilitembelea Bonyokwa palinivutia sana napenda kukaa maeneo ya milimani halafu naiona City Centre kama niko Malibu
Masudi kipanya on on the stage....Kwani wewe mkuu umeelewa nina maana gani zaidi ya mada yangu iliyowazi na ya kiswahili fasaha...
Duh..uzi wako unanuka nya.!Habari za Jioni wa JF....
Nimekuwa nikifatilia tetesi kadhaa kuhusu maeneo ya Jiji la Dar es Salaama yanayojulikana kama Buza kwa Mpalange.
Hii ilinipa shauku ya kwenda na kutembelea haya makaazi.... kuwa ni maeneo yaliyosahaulika kimaendeleo na kusababisha maoni tofauti kwa kila wananchi ...
Na leo ninaleta ushuhuda wangu, kwa kweli mimi nilikwenda Buza kwa Mpalange na nilipendezwa na mandhari yake, na wala sikukumbana na zile barabara mbovu zenye mabonde na tope za kumwaga..
Na hata sikuvaa gumboots kwa tahadhari sababu nilitaka kushuhudia mwenyewe na kwa kweli nimepapenda na nita kuwa mtembezi wa mara kwa mara katika harakati zangu za mazoezi ya viungo..
Nakaribisha maoni kwa watembezi wa jioni kama mimi.......karibuni
Umeelewa alichoandika mleta mada?Temeke Kuna mtandao mzuri sana wa lami za mitaa tofauti na Ilala
Wengi humu hamjui "codes" mleta mada kaongea kwa "codes " sio kiswahili koko chenuMkuu hongera kwa utalii wa ndani ila hiyo kwa Mpalange nafikiri imebadilika kuanzia mwaka jana au 2021, kabla ya hapo pale darajani ilikuwa ni shida.
vipi na jotoridi likoje??Habari za Jioni wa JF....
Nimekuwa nikifatilia tetesi kadhaa kuhusu maeneo ya Jiji la Dar es Salaama yanayojulikana kama Buza kwa Mpalange.
Hii ilinipa shauku ya kwenda na kutembelea haya makaazi.... kuwa ni maeneo yaliyosahaulika kimaendeleo na kusababisha maoni tofauti kwa kila wananchi ...
Na leo ninaleta ushuhuda wangu, kwa kweli mimi nilikwenda Buza kwa Mpalange na nilipendezwa na mandhari yake, na wala sikukumbana na zile barabara mbovu zenye mabonde na tope za kumwaga..
Na hata sikuvaa gumboots kwa tahadhari sababu nilitaka kushuhudia mwenyewe na kwa kweli nimepapenda na nita kuwa mtembezi wa mara kwa mara katika harakati zangu za mazoezi ya viungo..
Nakaribisha maoni kwa watembezi wa jioni kama mimi.......karibuni