Matembezi ya kuimarisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viashiria vya kuwagawa viongozi wa kitaifa

Matembezi ya kuimarisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viashiria vya kuwagawa viongozi wa kitaifa

Ukiielewa ccm jambo kama hili la kipuuzi halitokushangaza ccm wako kwaajiri ya kulinda utawala
 
Kweli tuna watawala wenye uwezo mdogo sana wakufikiri. Mambo hayalazomishwi, Muungano hauna faida yoyote ile kwa Tanganyika.
 
MATEMBEZI YA KUIMARISHA MUUNGANO, KUHAMASISHA UTALII WA NDANI NA KUPINGA VIASHIRIA VYA KUWAGAWA VIONGOZI WA KITAIFA

Kundi La JAMII MPYA TANZANIA likujumuisha wanachama wake zaidi ya 300 kutoka mikoa ya Tanzania Bara lafanya MATEMBEZI YA AMANI yenye jina la JAMII MPYA MUUNGANO TOUR kutoka Stesheni Posta kuelekea Bandarini tayari kuanza SAFARI kuelekea Zanzibar.

Matembezi hayo yalibeba Ujumbe wa kuimairisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viasharia vya kuwagawa viongozi wetu wa kitaifa.

Aidha Matembezi haya yamelenga kuonyesha ni kwa kiasi Gani JAMII MPYA TANZANIA inaridhishwa na kuunga mkono mkakati wa maksudi wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuboresha uendeshaji wa Bandari zetu ili kuleta Tija kwa Taifa kuliko ilivyo kuwa hapo awali.

View attachment 2666413View attachment 2666414
Muungano hauwezi kuimarishwa kwa kutembea au hata kwa kukaa au hata kwa kulialia hapa.

Muungano utaimarishwa na uongozi wa haki na uadilifu.

Muuze Loliondo na sasa muuze na bandari tuwachekee tu?

Tunaitaka Tanganyika
 
..matembezi ya kuimarisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

..mabango yana picha za Samia na Husseni viongozi toka Zanzibar.

..Hakuna bango la kiongozi toka Tanganyika.
 
SIKU ZOTE UKIONA MAANDAMANO YA KITAIFA UJUE KWELI NCHI IPO MATATTIZONI ILA AYA MAANDAMANO YA MIHEMUKO.KAANDAMANE MWENYEWE ANAYEKUSHAWISH UANDAMANE HAENDI HUU NI UJINGA NA MI DP WORLD SIO DP WORLD TUPA KULE AS LONG AS MICHONGO YANGU YA KIMAISHA INAENDA I DON'T CARE MOST OF PEOPLE WHO CLAIMS DP WORLD DP WHAT NI MIHEMUKO.TU
 
MATEMBEZI YA KUIMARISHA MUUNGANO, KUHAMASISHA UTALII WA NDANI NA KUPINGA VIASHIRIA VYA KUWAGAWA VIONGOZI WA KITAIFA

Kundi La JAMII MPYA TANZANIA likujumuisha wanachama wake zaidi ya 300 kutoka mikoa ya Tanzania Bara lafanya MATEMBEZI YA AMANI yenye jina la JAMII MPYA MUUNGANO TOUR kutoka Stesheni Posta kuelekea Bandarini tayari kuanza SAFARI kuelekea Zanzibar.

Matembezi hayo yalibeba Ujumbe wa kuimairisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viasharia vya kuwagawa viongozi wetu wa kitaifa.

Aidha Matembezi haya yamelenga kuonyesha ni kwa kiasi Gani JAMII MPYA TANZANIA inaridhishwa na kuunga mkono mkakati wa maksudi wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuboresha uendeshaji wa Bandari zetu ili kuleta Tija kwa Taifa kuliko ilivyo kuwa hapo awali.

View attachment 2666413View attachment 2666414
Hili limekwishabuma toka mwanzo.

Utaimarisha vipi muungano mbovu kama huu tulio nao sasa hivi?

Vijana, kama ni pesa mmepewa kufanya maandamano hayo, mzile, lakini kama mnashiriki katika kuinajisi nchi yetu, nanyi mtahesabika kuwa sehemu ya maadui wakubwa wa taifa hili.
 
MATEMBEZI YA KUIMARISHA MUUNGANO, KUHAMASISHA UTALII WA NDANI NA KUPINGA VIASHIRIA VYA KUWAGAWA VIONGOZI WA KITAIFA

Kundi La JAMII MPYA TANZANIA likujumuisha wanachama wake zaidi ya 300 kutoka mikoa ya Tanzania Bara lafanya MATEMBEZI YA AMANI yenye jina la JAMII MPYA MUUNGANO TOUR kutoka Stesheni Posta kuelekea Bandarini tayari kuanza SAFARI kuelekea Zanzibar.

Matembezi hayo yalibeba Ujumbe wa kuimairisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viasharia vya kuwagawa viongozi wetu wa kitaifa.

Aidha Matembezi haya yamelenga kuonyesha ni kwa kiasi Gani JAMII MPYA TANZANIA inaridhishwa na kuunga mkono mkakati wa maksudi wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuboresha uendeshaji wa Bandari zetu ili kuleta Tija kwa Taifa kuliko ilivyo kuwa hapo awali.

View attachment 2666413View attachment 2666414
Viongozi wa kitaifa wanajigawa wenyewe kwa tungo tata zao, waache kujitoa ufahamu
 
MATEMBEZI YA KUIMARISHA MUUNGANO, KUHAMASISHA UTALII WA NDANI NA KUPINGA VIASHIRIA VYA KUWAGAWA VIONGOZI WA KITAIFA

Kundi La JAMII MPYA TANZANIA likujumuisha wanachama wake zaidi ya 300 kutoka mikoa ya Tanzania Bara lafanya MATEMBEZI YA AMANI yenye jina la JAMII MPYA MUUNGANO TOUR kutoka Stesheni Posta kuelekea Bandarini tayari kuanza SAFARI kuelekea Zanzibar.

Matembezi hayo yalibeba Ujumbe wa kuimairisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viasharia vya kuwagawa viongozi wetu wa kitaifa.

Aidha Matembezi haya yamelenga kuonyesha ni kwa kiasi Gani JAMII MPYA TANZANIA inaridhishwa na kuunga mkono mkakati wa maksudi wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuboresha uendeshaji wa Bandari zetu ili kuleta Tija kwa Taifa kuliko ilivyo kuwa hapo awali.

View attachment 2666413View attachment 2666414
Mbona hawajawashirikisha Watanganyika?
 
chadema wajifunze nini maana ya mandamano kwa vitendo kwani wao huleta vurugu
 
MATEMBEZI YA KUIMARISHA MUUNGANO, KUHAMASISHA UTALII WA NDANI NA KUPINGA VIASHIRIA VYA KUWAGAWA VIONGOZI WA KITAIFA

Kundi La JAMII MPYA TANZANIA likujumuisha wanachama wake zaidi ya 300 kutoka mikoa ya Tanzania Bara lafanya MATEMBEZI YA AMANI yenye jina la JAMII MPYA MUUNGANO TOUR kutoka Stesheni Posta kuelekea Bandarini tayari kuanza SAFARI kuelekea Zanzibar.

Matembezi hayo yalibeba Ujumbe wa kuimairisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viasharia vya kuwagawa viongozi wetu wa kitaifa.

Aidha Matembezi haya yamelenga kuonyesha ni kwa kiasi Gani JAMII MPYA TANZANIA inaridhishwa na kuunga mkono mkakati wa maksudi wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuboresha uendeshaji wa Bandari zetu ili kuleta Tija kwa Taifa kuliko ilivyo kuwa hapo awali.

View attachment 2666413View attachment 2666414
Ujinga ni kipaji
 
Back
Top Bottom