Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani haujamuelewa, anamaanisha kuwa anapokuwa amewasha gari yake.... Ule mkono wa gear unakuwa katika eneo la parking kwenye dashboard zile taa za herufi, kwenye parking haiwaki inakuws kizaGari kutowaka husababishwa na hitilafu kwenye betri za gari, spark plugs, car starter au pampu ya mafuta.
Sasa kwa issue ya gari yako ambalo linawaka likiwa kwenye Neutral na sio kwenye Parking, basi hapo neutral safety switch inaweza kuwa na tatizo.
Afu pia humu JF zipo Threads nyingi zinazozungumzia kuhusu O/D. Ila kwa msaada kidogo pitia haya maelezo:Msaada: Maana na Matumizi sahihi ya OD (Overdrive)
Naamini pia Umeelewa nilicho kieleza apo...Nadhani haujamuelewa, anamaanisha kuwa anapokuwa amewasha gari yake.... Ule mkono wa gear unakuwa katika eneo la parking kwenye dashboard zile taa za herufi, kwenye parking haiwaki inakuws kiza
Ila akitoa kwenye parking na kuweka kwenye sehemu ya drive au neutral inawaka.... So inampa shida kujua kuwa ameshaiweka kwenye drive (D) ama la.
Kwakifupi akiweka gear kwenye parking, kwenye dashboard ile taa haionyeshi inakuwa imezima as if gari imezimwa but hapo hapo akiihamishia gear kwenda kwenye Neutral inawaka......
Nimekuelewa vema. Wewe unazungumzia matatizo yangari kutokuwaka kwa maana baada ya jupiga starter. Mwenzako Nazungumzia kile anachokiona katika dashboard yaani vile vitaa vinavyokupa taarifa kuwa sasa hivi ule mkono wa gear umekaa sehemu gani pale pembeni yako dereva.Namimi pia Umeelewa nilicho kieleza apo...
Soma vizuri usiishie sentensi ya kwanza we soma mpaka mwisho nimeweka na probably cause.Nimekuelewa vema. Wewe unazungumzia matatizo yangari kutokuwaka kwa maana baada ya jupiga starter. Mwenzako Nazungumzia kile anachokiona katika dashboard yaani vile vitaa vinavyokupa taarifa kuwa sasa hivi ule mkono wa gear umekaa sehemu gani pale pembeni yako dereva.
Sasa wewe umeongelea mswala ya plug sijui nozel..... Hizi zinahusiana nini na bulb kwenye dashboard.... Au nikueleweje kwa ulichoniuliza hapa kwenye hii comment yako ya leo?!