Jana tarehe 19/9/2023 nilipitia kivuko cha Kigongo Ferry mpaka Busisi, na kwa kawaida unapopitia pale utaona kazi zinavyofanyika kwa ajili ya matengenezo la daraja linalounga Kigongo Feri na Busisi.
Kwa masikitiko yangu sikuona chochote kinachofanyika pale kama vile watu wamehama au wako likizo. Tumeaminishwa na Serikali kuwa muda siyo mrefu daraja litakamilika. Kulikoni?
Taarifa ya Ujenzi - Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) wafikia 85%
Kwa masikitiko yangu sikuona chochote kinachofanyika pale kama vile watu wamehama au wako likizo. Tumeaminishwa na Serikali kuwa muda siyo mrefu daraja litakamilika. Kulikoni?
Taarifa ya Ujenzi - Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) wafikia 85%