Walikuwa wameenda lunch🤣Jana tarehe 19/9/2023 nilipitia kivuko cha Kigongo Ferry mpaka Busisi, na kwa kawaida unapopitia pale utaona kazi zinavyofanyika kwa ajili ya matengenezo la daraja linalounga Kigongo Feri na Busisi.
Kwa masikitiko yangu sikuona chochote kinachofanyika pale kama vile watu wamehama au wako likizo. Tumeaminishwa na Serikali kuwa muda siyo mrefu daraja litakamilika. Kulikoni?
Ccm wapo kusini skuiziJana tarehe 19/9/2023 nilipitia kivuko cha Kigongo Ferry mpaka Busisi, na kwa kawaida unapopitia pale utaona kazi zinavyofanyika kwa ajili ya matengenezo la daraja linalounga Kigongo Feri na Busisi.
Kwa masikitiko yangu sikuona chochote kinachofanyika pale kama vile watu wamehama au wako likizo. Tumeaminishwa na Serikali kuwa muda siyo mrefu daraja litakamilika. Kulikoni?
Hili limama linafikiria kuuza nchi kwa kupambwa na machawa wake! sio maendeleo!Jana tarehe 19/9/2023 nilipitia kivuko cha Kigongo Ferry mpaka Busisi, na kwa kawaida unapopitia pale utaona kazi zinavyofanyika kwa ajili ya matengenezo la daraja linalounga Kigongo Feri na Busisi.
Kwa masikitiko yangu sikuona chochote kinachofanyika pale kama vile watu wamehama au wako likizo. Tumeaminishwa na Serikali kuwa muda siyo mrefu daraja litakamilika. Kulikoni?
Wanasubiria zege likaukeJana tarehe 19/9/2023 nilipitia kivuko cha Kigongo Ferry mpaka Busisi, na kwa kawaida unapopitia pale utaona kazi zinavyofanyika kwa ajili ya matengenezo la daraja linalounga Kigongo Feri na Busisi.
Kwa masikitiko yangu sikuona chochote kinachofanyika pale kama vile watu wamehama au wako likizo. Tumeaminishwa na Serikali kuwa muda siyo mrefu daraja litakamilika. Kulikoni?
Alafu sio matengenezo..shughuli inayofanyika pale ni ya UJENZI WA DARAJA ...matengenezo ni sawa na kusema una fanya ufundi kwa kitu ambacho kilipata hitilafuJana tarehe 19/9/2023 nilipitia kivuko cha Kigongo Ferry mpaka Busisi, na kwa kawaida unapopitia pale utaona kazi zinavyofanyika kwa ajili ya matengenezo la daraja linalounga Kigongo Feri na Busisi.
Kwa masikitiko yangu sikuona chochote kinachofanyika pale kama vile watu wamehama au wako likizo. Tumeaminishwa na Serikali kuwa muda siyo mrefu daraja litakamilika. Kulikoni?
Wanavuna😂Ccm wapo kusini skuizi
KabisaWanavuna😂
Kisini sisi matajiri,tangu wa makaa,gesi, korosho,nazi,hata samaki nchanga.😂Kabisa
Fisadi yeyote akiambiwa mwizi,hugeuka zaidi ya nyati mjeruhiwa.😂Una habari hiyo🤔Haters kwa michuki hii mnaweza kujikuta mtajifungua njiti haki ya nani mamamameeee!
Wanasubiri expansion joint zikauke kwanzaJana tarehe 19/9/2023 nilipitia kivuko cha Kigongo Ferry mpaka Busisi, na kwa kawaida unapopitia pale utaona kazi zinavyofanyika kwa ajili ya matengenezo la daraja linalounga Kigongo Feri na Busisi.
Kwa masikitiko yangu sikuona chochote kinachofanyika pale kama vile watu wamehama au wako likizo. Tumeaminishwa na Serikali kuwa muda siyo mrefu daraja litakamilika. Kulikoni?