mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Ni hulka ya binadamu kujaribu kufanya vitu vizuri, watanzia tulio wengi tunajipima na tunapimwa mafanikio kimaisha kupitia ujenzi, ukionekana pesa inapita mikoni mwako lakini huna nyumba inayoonekana ni nzuri utakosolewa sana na kupuuzwa kwa kiwango fulani, katika kuzunguka kwangu tanzania, nimejifunza baadhi ya material za ujenzi zinazopatikana kwa wingi mikoani zimepitwa na wakati.
Ukizitumia unaonekana wewe bado sana na hili limefanya ujenzi uwe very very complicated na unapoteza fedha nyingi kiasi kwamba hizo fedha ungezitumia kwingine huenda ungekuwa umetoboa, endelea kuorodhesha vifaa vilivyo pitwa n wakati ili hata sisi wa mikoani tusiendelee kuvitumia mimi nilivyoona vimepitwa ni hivyo,
1. Bati jeupe (huku niliko linaitwa bati la mama mjane)
2. Cement laini inayopigwa sakafuni
3. Chokaa inayopigwa ukutani
4. Maramaru zenye maua
5. Ceiling board
6. Mlango wa chuma
7. Wire za fensi ( wanaita senyenge na waya nyingine
8. Dirisha la mbao
Ukizitumia unaonekana wewe bado sana na hili limefanya ujenzi uwe very very complicated na unapoteza fedha nyingi kiasi kwamba hizo fedha ungezitumia kwingine huenda ungekuwa umetoboa, endelea kuorodhesha vifaa vilivyo pitwa n wakati ili hata sisi wa mikoani tusiendelee kuvitumia mimi nilivyoona vimepitwa ni hivyo,
1. Bati jeupe (huku niliko linaitwa bati la mama mjane)
2. Cement laini inayopigwa sakafuni
3. Chokaa inayopigwa ukutani
4. Maramaru zenye maua
5. Ceiling board
6. Mlango wa chuma
7. Wire za fensi ( wanaita senyenge na waya nyingine
8. Dirisha la mbao