mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
- Thread starter
-
- #21
Kwenye bati isiyo na rangi sio issue, inaweza kutumika tu
Kwenye bati isiyo na rangi sio issue, inaweza kutumika t
Wewe wasemakwani ukitumia chokaa unazuiwa , ila jua imepitwa bati bila rangi Imeshapitwa hiyo
Maboya kivip?Ujenzi wa tofali nao ni wakizamani. Nyumba imara ni ujenzi wa kutumia maboyaView attachment 2294705View attachment 2294704
Nakubaliana na wewe
Bandika tanga stone
Na huo ndiyo ukweli.Old is gold .. Tutakuja kurudi huko
Sofa nazo zitapata mbadala hivi punde kwani nazo zimegeuka makazi ya panyaKwa upande wa furniture napo kochi zimepigwa BAO na sofa
Saf sana
Kama msingi umeliwa sana Fungus kwangua wote chapa upya kisha bandika hii hutojutiaHivi nawezaje kuzuia fungus wa kwenye ukuta? Nmepiga rangi ya mafuta inabanduka tu, km ukuta unaoza
Ni kazuri, kina room ngapi?kitu hicho[emoji1602][emoji1602]View attachment 2303070
Ndugai anayaita masufuria πππTuliiteje Sasa! ? Leta jina.
Usilogwe ππNi kazuri, kina room ngapi?
kwanini?Usilogwe ππ
Ceiling Board ni ngumu sana kuliko gypsum, bado nina imani na ceiling BoardOld is gold .. Tutakuja kurudi huko