Mateso anayonipa jini mahaba

Mateso anayonipa jini mahaba

Babu babu babu nimekuita mara tatu wewe toa hizo sababu kwani unawahi wapi? Si uelezee sababu mboni unasema tena huwezi kuziweka hapa unataka ukaziweke wapi na umekuja hapa? Weka hapa hizo sababu moja baada ya nyingine
Wewe Baki na unachokiamini, kwahyo niachie kufanya kazi zangu nibaki hapa kukuaminisha? Wewe Baki na unachoamini, hicho hicho unachoamini NI sawa kutokana na mitazamo yako
 
Babu ndio uelezee hio kazi nyingine ni ipi au ni zipi mboni mnafichaficha? Elezea vizuri hizo kazi nyingine ni zipi dafadua moja kwa nyingine vizuri kwa utulivu kabisa
Sina mda tuishie hapo, nipo job, amini unachoamini mengne utayajua ukishakua utakutana na mambo mengi
 
Wewe Baki na unachokiamini, kwahyo niachie kufanya kazi zangu nibaki hapa kukuaminisha? Wewe Baki na unachoamini, hicho hicho unachoamini NI sawa kutokana na mitazamo yako
Umesema sababu moja ni kutembelea miti asubuhi watakuvaa, ukasema sababu ya pili ni kutembelea miti mikubwa na kuikojolea sawa Mimi nakuongezea ya tatu wakasema usikae kwenye kivuli cha jua kali maana ndio hapo nao hupenda kukaa, haya ongezea sababu zingine sasa
 
Sina mda tuishie hapo, nipo job, amini unachoamini mengne utayajua ukishakua utakutana na mambo mengi
Ukiwa unaendelea na job tuongezee na sababu zingine, kwanini majini hayapendi baadhi ya harufu na kwanini yanapenda baadhi ya harufu hapa nazungumzia manukato yaan kuna manukato ukijipakaa basi jiandae jamaa ni km unawakaribisha kwa kuwafungulia mlango? Nimesoma kwenye makala sio maelezo yangu binafsi ni kwa mujibu wa wanaosema hivyo
 
Kwema.

Naomba niende kwenye mada binafsi nasumbuliwa na jini mahaba kiukweli kama hujawahi kupitia adhabu ya haya madude unaweza kuonana kama vitu vya kufikirika

Mimi binafsi nina umri wa miaka 36 lakini kiuchumi niko kama dogo wa 20+ Yani Kila nachfanya narudishwa nyuma Hatua mia ukianzisha mahusino inatokea tu dharula unachukiwa mazima pia hata kudharauliwa Yani kama Kuna mada inazungumzwa na washikaji nikichangia mada nitatumia nguvu nyingi sana kusikilizia

Mambo ni mengi nimejarbu kuwapigia baadhi ya watumishi wananiombea lakini Hali inabaki pale pale kiukweli nimechoka na hii Hali sifanyi starehe lakini unakuta kwangu ni rahisi kukopesheka kuliko kuingiza naombeni msaada wadau nijinasue vipi kwenye huu mtego nimechoka.

Pia soma
- Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je ni namna gani ya kumtoa?
Kama kweli unataka ufunguliwe, dhamiria kwa moo wako wote kumpa Yesu maisha yako. Tafuta mahali penye utulivu piga magoti na umwombe Mungu sala hii a toba kwa kumaanisha kabisa: BWANA YESU NAJA KWAKO, MIMI NI MWENYE DHAMBI. NINAOMBA UNISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE NINAZOZIKUMBUKA NA AMBAZO SIZIKUMBUKI, NINAZOZIFAHAMU NA AMBAZO SIZIFAHAMU. TANGU SASA NINAMKATAA SHETANI NA KAZI ZAKE ZOTE. NINAMKUBALI YESU AWE BWANA WANGU NA MWOKOZI WANGU. KARIBU YESU MOYONI MWANGU SASA. ASANTE YESU KWA KUNIOKOA NA NINAOMBA UNIPE NGUVU KWA ROHO WAKO MTAKATIFU ZA KUSHINDA DHAMBI NA NGUVU ZOTE ZA GIZA. NINAOMBA KATIKA JINA LA YESU AMINA.

Kama umeiomba sala hii ya toba kwa dhati na kwa kumaanisha, ni hakika kuwa umeokoka. Sasa una nguvu ya kumkemea na kumpinga shetani pamoja pepo wote. Nakushauri tafuta kanisa la watu wa Mungu wanaoamini kuhusu kuokoka na kuishi maisha matakatifu. Haya makanisa yanapatikana sehemu zote. Napendekeza tafuta kanisa la TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD (TAG). Hili nina uhakika nalo zaidi maana mwenyewe nipo huko. Ukifika huko jitambulishe na waeleze maamuzi yako uliyoyafanya, waeleze matatizo uliyonayo na waombe msaada zaidi wa maombi. Utakuwa umeua ndege wengi (dhambi/magonjwa mbalimbali) kwa jiwe moja (YESU).
 
Mimi sio mganga WA kienyeji, siwezi kujua sababu lakini naongea kitu nilichokiona, nayeye ALIIPATA hayo mambo tokea akiwa primary school, minaona tuishie hapa maana naona upo kwa aJili ya kubishana ..
Mimi najua uhalisia wewe Baki na unachokiamini

Am out
Bora ulivyo m-crush 😁😁😁😁

Hamna mtu humo 🚮🚮
 
Bora ulivyo m-crush 😁😁😁😁

Hamna mtu humo 🚮🚮
Babu kizee soma hii acha ubishi huna maelezo ya kutosha kisha unabishabisha si ukae kimya usome tu

 
Bora ulivyo m-crush 😁😁😁😁

Hamna mtu humo 🚮🚮
Huna maelezo basi fungua usome upate maarifa maana huna maelezo yaliyoshiba

 
Bro hujawah kukutana na watu wa aina hiyo ndio maana, nishawahi kua na mwanamke anayo tena Yule jini mkali kabisa, usiombe yakukute au imkute dada yako, ogopa sana mzee nishakutana na watu wa aina hiyo sio poa kabisa
Mimi siwezi kusoma maana nishakutana nayo hayo mambo na nayajua siwezi kusoma maandishi wakati kitu nilikiishi na mwanamke nliekua nae karibia miaka mitatu, hizo notes soma wewe
Haha yeye analeta utoto wakuleta viji- theory vyake wakati Kuna wengine tunaishi katika uhalisia kamili wa hivyo vitu ---- Nimesha kueleza Mimi kiumbe kama Hicho ninacho na ninaishi nacho na Baada ya kuku kubaliana nacho kinavyo taka ndio maisha yangu yametulia now Nina lamba asali maisha matamu

Yeye anabishana bishana tu watu wengine Wana poor mindset 💯💯😁
 
Bora ulivyo m-crush 😁😁😁😁

Hamna mtu humo 🚮🚮
Km kweli unaweza kuongea na huyo jinn kiwete wako mtume kwangu si umesema unaongea nae haya piga nae story mwambie anifuate muda huu

Soma

 
Huna maelezo basi fungua usome upate maarifa maana huna maelezo yaliyoshiba

Nikupe maelezo wewe Yanini !? Wewe Ndiye mtoa mada 😁😁😁

Kaa Kwa kutulia
 
Km kweli unaweza kuongea na huyo jinn kiwete wako mtu kwangu si umesema unaongea nae haya piga nae story mwambie anifuate muda huu

Soma

Akufuate ili iweje sasa!? ,😁😁😁
 
Nikupe maelezo wewe Yanini !? Wewe Ndiye mtoa mada 😁😁😁

Kaa Kwa kutulia
Huna cha kuelezea umebaki kua mtazamaji mwanzo ulijifanya una cha kuelezea sasa hivi huna cha kuelezea which is which mbwembwe zote kwisha

Soma

 
Back
Top Bottom