Mateso anayonipa jini mahaba

Mateso anayonipa jini mahaba

Hiyo ishu kwa mwanamke inakua mbaya zaidi maana hata kushika mimba inakua mziki, kama wewe mwanaume Una la kike yanakua na wivu Sana hayataki uwe na mwanamke, na ukilazimisha kua nae ukifika eneo la tukio mzigo unaweza kugoma kusimama, nicheki inbox kuna mtu anaweza kuksaidia ila yupo Arusha hayupo dar
 
Hakuna huo upuuzi suala la kufanya mapenzi ni subconscious mind ubongo una kawaida ya kuendelea kufanya kazi ukiwa umelala ni km tape ya cassette iliyowekwa pause ukiwa umelala ukiwa kwenye deep sleep ubongo unakuchagulia tape ya kuplay kisha ubongo inabonyeza play ndio hapo km ulitunza memory ulipokua unasex
Bro hujawah kukutana na watu wa aina hiyo ndio maana, nishawahi kua na mwanamke anayo tena Yule jini mkali kabisa, usiombe yakukute au imkute dada yako, ogopa sana mzee nishakutana na watu wa aina hiyo sio poa kabisa
 
Bro hujawah kukutana na watu wa aina hiyo ndio maana, nishawahi kua na mwanamke anayo tena Yule jini mkali kabisa, usiombe yakukute au imkute dada yako, ogopa sana mzee nishakutana na watu wa aina hiyo sio poa kabisa
Na wewe soma hapa

 
Bro hujawah kukutana na watu wa aina hiyo ndio maana, nishawahi kua na mwanamke anayo tena Yule jini mkali kabisa, usiombe yakukute au imkute dada yako, ogopa sana mzee nishakutana na watu wa aina hiyo sio poa kabisa
Ukimaliza kusoma hio soma na hii

 
Kwema.

Naomba niende kwenye mada binafsi nasumbuliwa na jini mahaba kiukweli kama hujawahi kupitia adhabu ya haya madude unaweza kuonana kama vitu vya kufikirika

Mimi binafsi nina umri wa miaka 36 lakini kiuchumi niko kama dogo wa 20+ Yani Kila nachfanya narudishwa nyuma Hatua mia ukianzisha mahusino inatokea tu dharula unachukiwa mazima pia hata kudharauliwa Yani kama Kuna mada inazungumzwa na washikaji nikichangia mada nitatumia nguvu nyingi sana kusikilizia

Mambo ni mengi nimejarbu kuwapigia baadhi ya watumishi wananiombea lakini Hali inabaki pale pale kiukweli nimechoka na hii Hali sifanyi starehe lakini unakuta kwangu ni rahisi kukopesheka kuliko kuingiza naombeni msaada wadau nijinasue vipi kwenye huu mtego
Pole mkuu, njia rahisi ya kuvunja mikataba ya kiroho zoezi la pumzi, lala chali ukiwa mtulivu then anza kuvuta na kutoa pumz kwa haraka, lifanye daily zoezi mikataba yote mibaya itavunjika na utakua sawa.
 
Bro hujawah kukutana na watu wa aina hiyo ndio maana, nishawahi kua na mwanamke anayo tena Yule jini mkali kabisa, usiombe yakukute au imkute dada yako, ogopa sana mzee nishakutana na watu wa aina hiyo sio poa kabisa
Km ukiwa na dukuduku zaidi soma hapa kuongezea maarifa

 
Mimi siwezi kusoma maana nishakutana nayo hayo mambo na nayajua siwezi kusoma maandishi wakati kitu nilikiishi na mwanamke nliekua nae karibia miaka mitatu, hizo notes soma wewe
Sasa wewe ndio nilikua nakutaka haya tuelezee sababu kuu ya huyo mwanamke kuingiwa na huyo kiumbe?
 
Pole mkuu, njia rahisi ya kuvunja mikataba ya kiroho zoezi la pumzi, lala chali ukiwa mtulivu then anza kuvuta na kutoa pumz kwa haraka, lifanye daily zoezi mikataba yote mibaya itavunjika na utakua sawa.
Hii inafanyaje kazi
 
Sasa wewe ndio nilikua nakutaka haya tuelezee sababu kuu ya huyo mwanamke kuingiwa na huyo kiumbe?
Mimi sio mganga WA kienyeji, siwezi kujua sababu lakini naongea kitu nilichokiona, nayeye ALIIPATA hayo mambo tokea akiwa primary school, minaona tuishie hapa maana naona upo kwa aJili ya kubishana ..
Mimi najua uhalisia wewe Baki na unachokiamini

Am out
 
Mimi siwezi kusoma maana nishakutana nayo hayo mambo na nayajua siwezi kusoma maandishi wakati kitu nilikiishi na mwanamke nliekua nae karibia miaka mitatu, hizo notes soma wewe
Haya sawa wewe ushakumbana nayo sasa mwaga mchele elezea sababu kuu iliyofanya hicho kiumbe kitoke kwenye ulimwengu huo kuja kumuingia huyo mwanamke uliekua unaishi nae au na wewe ndio wale wale sababu kuu huijui?
 
Mimi sio mganga WA kienyeji, siwezi kujua sababu lakini naongea kitu nilichokiona, nayeye ALIIPATA hayo mambo tokea akiwa primary school, minaona tuishie hapa maana naona upo kwa aJili ya kubishana ..
Mimi najua uhalisia wewe Baki na unachokiamini

Am out
Sawa wewe sio mganga wa kienyeji ila sasa tuelezee kwa experience yako uliambiwa sababu kuu ya yeye kuingiliwa na huyo kiumbe ni nini? Unajua hapa tusiwe tunapigana porojo tunabishiana kitu ambacho mtu huna maelezo ya kutosha eleza sababu kuu huyu kiumbe alimuingia kwa sababu moja mbili tatu hizi ndio zilizogundulika kua ni sababu kuu, sasa unaposema tu juu juu unakua hueleweki unashabikia tu kitu bila kua na maelezo ya kutosha
 
Mimi sio mganga WA kienyeji, siwezi kujua sababu lakini naongea kitu nilichokiona, nayeye ALIIPATA hayo mambo tokea akiwa primary school, minaona tuishie hapa maana naona upo kwa aJili ya kubishana ..
Mimi najua uhalisia wewe Baki na unachokiamini

Am out
Haya kwa kukusaidia basi soma na hii ubongo ufunguke vizuri

 
Haya sawa wewe ushakumbana nayo sasa mwaga mchele elezea sababu kuu iliyofanya hicho kiumbe kitoke kwenye ulimwengu huo kuja kumuingia huyo mwanamke uliekua unaishi nae au na wewe ndio wale wale sababu kuu huijui?
Sababu zipo nyingi Sana, mengine ya kurushiwa, linaweza likakuvaa tuu ukiwa unapita hasa asubuhi Sana, Tabia ya kukojoa chin ya miti mikubwa.

Sababu NI nyingi Sana siwez kuziweka hapa, maana yanaweza kukukuta popote maana YAPO around hata hapo ulipo YAPO, hii elimu niliipata kutoka kwa mtu aliemsaidia huyo mwanamke mpaka akaja akashika mimba, maana hilo jini la hiyo mwanamke lilikua linamzuia asipate ujauzto linakula mayai.

Baada ya hiyo kazi aliyofanyiwa ndani ya miezi miwili Tu alishika mimba, mtu aliyekaa karibia miaka 10 bila kupata ujaiuzito

HAYA MAMBO YAPO SANA TENA WANAWAKE WENGI SANA WANA MAJINI MAHABA LAKINI KAMA SIO MAKALI SANA HAUWEZI KUJUA, KAMA HUJAONA MTU ANAHANGAIKA NA HII SHIDA HUWEZI KUAMINI, NAMIMI SIWEZI KUMLAUMU MTU ASIEAMINI
 
Mimi ninayaishi hayo maisha Acha ujinga wewe 😁😁

Unaniletea theory wakati Mimi nikitu ambacho Nina kiishi in physical, Wewe kweli Thomaso achana na hizo conspiracy
Ukimaliza soma na hii

 
Sawa wewe sio mganga wa kienyeji ila sasa tuelezee kwa experience yako uliambiwa sababu kuu ya yeye kuingiliwa na huyo kiumbe ni nini? Unajua hapa tusiwe tunapigana porojo tunabishiana kitu ambacho mtu huna maelezo ya kutosha eleza sababu kuu huyu kiumbe alimuingia kwa sababu moja mbili tatu hizi ndio zilizogundulika kua ni sababu kuu, sasa unaposema tu juu juu unakua hueleweki unashabikia tu kitu bila kua na maelezo ya kutosha
Aliekudanganya jini mahaba NI lazima amuingilie mwanamke NI Nani?? Jini mahaba anaweza akawa kwa mwanamke na asiwe anamuingilia ila anakua na kazi nyingine
 
Sababu NI nyingi Sana siwez kuziweka hapa
Babu babu babu nimekuita mara tatu wewe toa hizo sababu kwani unawahi wapi? Si uelezee sababu mboni unasema tena huwezi kuziweka hapa unataka ukaziweke wapi na umekuja hapa? Weka hapa hizo sababu moja baada ya nyingine
 
Aliekudanganya jini mahaba NI lazima amuingilie mwanamke NI Nani?? Jini mahaba anaweza akawa kwa mwanamke na asiwe anamuingilia ila anakua na kazi nyingine
Babu ndio uelezee hio kazi nyingine ni ipi au ni zipi mboni mnafichaficha? Elezea vizuri hizo kazi nyingine ni zipi dafadua moja kwa nyingine vizuri kwa utulivu kabisa
 
Back
Top Bottom