Umekata tamaa na nini tenaDaaaah! Wanaume tunapitia mengi sana.
Mimi nishakataga tamaa kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekata tamaa na nini tenaDaaaah! Wanaume tunapitia mengi sana.
Mimi nishakataga tamaa kabisa!
Nguvu za kiume mbona anazo, maana inasimama na anaweza kurudia tendo, ambaye hana nguvu ni yule hausimami,Bora wewe huna nguvu za kiume ila pesa unazo, wengine hawana vyote.
Ushauri oa, uwe unafanya sasa sana wenda ùtakaa sawa.
Kwa tatizo hilo sidhani kama kinga unaweza vaa so oa
Au anayepiga kimoja afu ndo basi haisimami tena, huyo ndo hana nguvu.Umekata tamaa na nini tena