Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

Nimejaribu kusoma sehemu zote sijaona kasoro isipokuwa hapa nambari 7 nimejikuta napata mawazo tu, isijekuwa una ile kitu waamini waliodeep kwenye mambo ya kiroho wanaita "spiritual wife"...

Ambayo kuna watu wa kike na kiume imekuwa inawasumbua kwenye maisha yao ya kingono na wenzi wao kiasi kwamba wanajikuta wanaishi wenyewe tu bila mahusiano au ndoa...
Uko sahihi. Huenda kuna tatizo ktk ulimwengu wa roho. Fanya sala kumuomba Mwenyenzi Mungu
 
Duh kwanza broh naungana nawe katika kusikitika juu ya hili tatzo...ila kaka jarbu kwenda hospital mambo haya muda mwingne huwezi kusolve kimtaa mtaa
 
Mkuu hauna tatizo Ni swala la mda tu, wenzako tumekua hivo, mm nimejipiga mabao kwenye chumba Cha mtihani Hadi nikiwa chuo kikuu, tatizo Ni Kama haiwez kurudia tendo lkn Kama unarudia na unaenda kwa mda mfupi bado sio shida, mda ukifika utakaa sawa.

Unajua tatizo linalotupata Sana vijana waaminifu Ni kuwa tunakua na nyege sana, mm nilikua Hadi naenda kupunguza nyege chooni kwanza nikiwa na demu maana nilikua namwaga hata kabla ya mechi. Hii kitu itapotea tu, kikubwa niombee tu na usiumize kichwa iko sawa Sana.
 
Pole sana sana mkuu, nafeel hii hali yako.

Ni ngumu sana mtu kuimagine yale maumivu kihisia unayopitia, na kweli story za vijiweni hapa jf(kula tunda kimasihara n.k) nadhani zinakuumiza sana japo nyingi ni za uongo.

Huenda utapona mkuu, fanya bidii kwa unayoambiwa. Huenda pia labda unatarajia kupona mapema na labda unaacha unachoshauriwa na madaktari/washaur kwa kutoona matokeo mapema.

Komaa mkuu lakini usisahau kutafuta pesa ndgu yangu, kama itashindikana kabisa basi tafuta kitu kingine kitakachokupa furaha japo ni ngumu kuachana na ngono ila unaweza tu kupiga siku mojamoja tu.
 
Pole sana ndugu, haya matatizo tunayo wengi sema nini hatuyaweki wazi, kuna kina mimi ambao comfdence ziko chini kiasi kinachopelekea performance kwenye tendo la ndoa kushuka. yalinikuta na najua maumivu unayopitia ndugu yangu hii hali inatesa sana sio siri.

Ushauri jaribu kutongoza na kusex na wanawake ambao sio visu sana yaani chagua wale ambao hawavutii kabisa itakusaidia kujiamini ukishafanikiwa hapo mbinu za kujizuia usifike mshindo mapema zitachukua nafasi, narudia tena chagua wanawake ambao akili zako zinasema hii chapati hata ikifanyaje poa tu.

NB. yalinikuta mimi kwa mke wa ndoa nikawa na shida ya kusimamisha saa zingine sisimamishi kabisa wakati mwingine show haimalizi dakika kumi nikajaa hofu ya kufa mtu na mambo yakazidi kuharibika, nikakaa chini nikasema huu ujinga umetokea wapi sikujiuliza mara mbili nikachepuka na kupiga show matata sana sikuamini,nikarudi kwa mke hali ile ile mmh, nikabadili mwanamke nikaperform kwa kiwango cha kutisha nikagundua kimbe shida iko hapa kwa mwenzangu namwogopa na ananitia presha ndo nashughulikia kwa sasa na matokeo angalau yanaanza kuonekana.
 
Hofu imekutawala. Anza kwanza na hili halafu kisha fanya mazoezi sana. Yaani fanya mazoezi makali mfano kimbia km15 kila siku. Kisha tafuta mwanamke mwingine kabisa na sio ulie nae kwenye mahusiano ulale nae baada ya kuhakiki magonjwa na pia ujue siku zake kuepuka mimba.

Utapona kabisa tatizo lako.
 
Mkuu kwanza pole sana ila nikutoe wasiwasi kwakuwa baada ya kukojoa huwa una uwezo wa kurudia gemu basi tatizo si kubwa.

Kwanza mi si Daktari ila natumia uzoefu kukushauri.

Umekiri Huna hofu na wanawake na pia huioni mbususu kama kitu adhimu. Hii ni nzuri sana na inatuacha na dhana mbili tu kueleza tatizo lako.

Moja, Ngozi ya Uume wako ni laini sana, ina’sense’ kila athari ya msuguano.
Mbili, Ubongo wako unapokea taarifa za utamu ulozidi.
AU ZOTE KWA PAMOJA.

Hapo tatizo ni Utamu kaka😂 yaani unausikia utamu wenyewe kabisa sababu ngozi ya uume bado laini haijaguswa kwa kuchukua sheria mkononi wala haijasugua sana kuta za uke, chochote kinachohusika na utamu pale Uumeni kinafanya kazi kwa ubora wa hali ya juu sana.

Cha kushauri,

1. Piga Puli-tiba.
Yes, puli lina madhara, na ukweli ni kwamba ‘an excess of anything is harmful’. Sukari tamu ila ukiila sana utaumwa, vivyo hivyo kwa puli... mara moja moja ni sawa. Na hii itasaidia walau kuikomaza kidogo ngozi ya uume ili ishindwe kuwa ‘sensitive’ sana kiasi isikie kila utamu.... zoezi hili likifanikiwa mzee utaanza chelewa kojoa.

Lakini Puli hili mkuu usipige kwa kutazama Video zetu zile, laa, lipige kwa ‘imagination’ tu. Maana ukitumia zile video utasababisha matatizo mengine.

2. Badili ‘psychology’
Hapa mkuu wakati wa kuiteketeza amri ya sita jitahidi mawazo yako uyaweke mbali na mchezo. Yani upo juu ya kifua ila kichwani waza watu wanaokudai au unaowadai, waza mpira, waza kazi au biashara au chochote tofauti na ‘moment’ ile ya maraha ulokuwa nayo.
Hii itasaidia ku-distract ubongo kutoka kwenye kuchakata taarifa za mautamu zinazopokewa toka uumeni hivyo kuufanya uchelewe kutuma amri ya kumwaga.

Konfidensi Konfidensi Konfidensi... mbali na tatizo lako hii silaha muhimu usiiache. Namna nzuri ya kuitumia ni kusex na msichana unaemuamini na muelewa maana upo ktk kipindi cha mpito.

All the best mkuu.
 
Mkuu kwanza pole sana ila nikutoe wasiwasi kwakuwa baada ya kukojoa huwa una uwezo wa kurudia gemu basi tatizo si kubwa.

Kwanza mi si Daktari ila natumia uzoefu kukushauri.

Umekiri Huna hofu na wanawake na pia huioni mbususu kama kitu adhimu. Hii ni nzuri sana na inatuacha na dhana mbili tu kueleza tatizo lako.

Moja, Ngozi ya Uume wako ni laini sana, ina’sense’ kila athari ya msuguano.
Mbili, Ubongo wako unapokea taarifa za utamu ulozidi.
AU ZOTE KWA PAMOJA.

Hapo tatizo ni Utamu kaka[emoji23] yaani unausikia utamu wenyewe kabisa sababu ngozi ya uume bado laini haijaguswa kwa kuchukua sheria mkononi wala haijasugua sana kuta za uke, chochote kinachohusika na utamu pale Uumeni kinafanya kazi kwa ubora wa hali ya juu sana.

Cha kushauri,

1. Piga Puli-tiba.
Yes, puli lina madhara, na ukweli ni kwamba ‘an excess of anything is harmful’. Sukari tamu ila ukiila sana utaumwa, vivyo hivyo kwa puli... mara moja moja ni sawa. Na hii itasaidia walau kuikomaza kidogo ngozi ya uume ili ishindwe kuwa ‘sensitive’ sana kiasi isikie kila utamu.... zoezi hili likifanikiwa mzee utaanza chelewa kojoa.

Lakini Puli hili mkuu usipige kwa kutazama Video zetu zile, laa, lipige kwa ‘imagination’ tu. Maana ukitumia zile video utasababisha matatizo mengine.

2. Badili ‘psychology’
Hapa mkuu wakati wa kuiteketeza amri ya sita jitahidi mawazo yako uyaweke mbali na mchezo. Yani upo juu ya kifua ila kichwani waza watu wanaokudai au unaowadai, waza mpira, waza kazi au biashara au chochote tofauti na ‘moment’ ile ya maraha ulokuwa nayo.
Hii itasaidia ku-distract ubongo kutoka kwenye kuchakata taarifa za mautamu zinazopokewa toka uumeni hivyo kuufanya uchelewe kutuma amri ya kumwaga.

Konfidensi Konfidensi Konfidensi... mbali na tatizo lako hii silaha muhimu usiiache. Namna nzuri ya kuitumia ni kusex na msichana unaemuamini na muelewa maana upo ktk kipindi cha mpito.

All the best mkuu.
Nje ya mada hujasoma bwiru boys kweli wewe??

Puli tumepiga sana kule mombassa
 
Salaam wakuu

Hii ni stori yangu ya kweli kuhusu jambo linalonitesa na kuniumiza kwa muda wa mrefu sasa. Nitaweka kila kitu wazi katika angle zote ili niweze kupata msaada. Tafadhali sana, naomba kwa yeyote atakayeweza kunipa mawazo ya kunisaidia asisite kufanya hivyo. Natanguliza shukrani zangu za dhati. Sasa twende moja kwa moja kwenye Mada. Tatizo langu hasa ni UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka chini ya 30. Mkasa wangu unaanzia mbali sana wakati nasoma shule ya sekondari. Mimi ni mmoja wa wale vijana ambao aibu ilikuwa inatutawala na tulichelewa sana kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi licha ya mara kwa mara kuwa na tamaa za kimwili kama binadamu wengine.

Kama nilivosema awali, nilichelewa kujihusisha na mapenzi sio kwamba sikuwa na matamanio, bali ni uamuzi wangu binafsi niliokuwa nao. Katika kipindi chote hicho, kuna mambo yaliyokuwa yananitokea ambayo nilikuwa nayaona ni kawaida tu. Mfano, unajikuta labda uko kwenye mziki unacheza na binti yupo mbele yako. Katika hali ya kucheza nae unashangaa umepata msisimko wa ajabu na kujikuta ukijipiga bao. Hii hali ilikuwa ikinitokea lakini sikushituka kwasababu nilihisi kabisa labda kwakuwa sijawahi kushiriki tendo la ndoa, basi vile vitu vinakuwa vimejaa sana. Nilikuwa nachukulia kawaida. Mfano wa pili ni ile hali inakutokea upo kwenye mtihani au unafanya shughuli yoyote ya haraka na muhimu. Mara ghafla unaambiwa muda umekaribia kuisha. Unajikuta napata msisimko wa hatari na kujipiga bao. Hii ilinitokea huko nyuma wala sikujali kwa sababu niliamini chupa kimejaa kwa sababu sijawahi shiriki tendo la ndoa.

Lini sasa niligundua kuwa nina tatizo?

Baada ya kumaliza kidato cha sita nikiwa na miaka 22, hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kushiriki tendo la ndoa. Kabla ya hapo sikuwahi kushiriki tendo hilo na wala sikuwahi kuwa na hofu yoyote juu ya tendo hilo wala upungufu wa nguvu kwasababu sikuwahi kuona weakness yoyote kwenye mwili wangu.

Naikumbuka jioni moja ya mwezi Mei miaka 7 iliyopita. Nilikuwa na miadi na mtoto ambaye nilikuwa kwenye mahusiano naye. Ile tumefika guest, shauku ikawa juu sana na katika kuandaana pale pale nikajikuta namwaga...kabla hata sija penetrate. Ile hali ilinishangaza sana kuona uumea umesinyaa na kuwa kama wa mtoto. Nikajiuliza kwa kupanic hiki ni nini? Kwasababu sikuwahi kuelewa chochote kuhusu kujamiiana na wala sikujua kama halia ya kusinyaa uume huwa inatokea kwahiyo nilipanic. Mtoto alikuwa mzoefu hivyo alinituliza pale na kuniambia ni hali ya kawaida. Basi shughuli ikawa imeishia pale. 15k yangu ya chumba ikapotea.

Nakumbuka siku ile sikulala vizuri. Nilikuwa na mawazo sana na niliwaza maisha yangu yatakuwaje kama niko vile. Mtoto aliendelea kunifariji na kunipa moyo na maisha yakaendelea.

Baada ya pale niliendelea na mahusiano na yule binti. Na tulikutana kimwili mara kwa mara. Lakini katika mara zote nilizokutana nae bado bao la kwanza lilikuwa linanitoka hata kabla sijamuingia. Ni ile katika kupeana romance na maandalizi najikuta nimemwaga. Nakaa muda wa dakika kadhaa uume unasimama na najaribu kupenetrate ila simalizi dakika namwaga. Sio kwa raundi ya pili au ya tatu. Sijawahi kuzidi sekunde 30. Siujui huo utamu na inaniumiza sana

Kama walivyowanaume wengi, matamanio ni maisha yetu. Hivyo nilikuwa na mahusiano na mabinti wengine pia. Lakini kote huko niliishia kuumbuka. Nikijitahidi sana basi lile bao la kwanza litakuja baada ya kupiga takle mbili tatu. Na hapo nafanya bila kumuandaa mwenza wangu maana nikisema nimuandae tu namwaga hata kabla sijavua nguo. Ni mateso sana. Naumia na inaitesa sana hii hali.

Kiufupi sijawahi kufurahia sex. Kwangu mimi kwenda dakika moja bila kumwaga ni muujiza sana achilia mbali kwenda nusu saa. Sijawahi kuzidi sekunde 30. Sio kwa bao la kwanza, la pili au mia moja. Inaniumiza sana.

Napata hamu ya ngono ila sina uwezo wa kufanya ngono. Huniumiza sana kimoyomoyo nikikaa na wenzangu wakiwa wanafurahia faragha zao. Natamani wangejua mateso ninayopitia kijana mwenzao. Nina kila kitu ila sina furaha ya mapenzi. Na kinachoniumiza zaidi ni kuwa nipo katika age anbayo natakiwa kuwa na familia. Kuna binti nampenda sana, nayeye ameonesha kunipenda ila huwa namkimbia. Sitaki kuaibika. Hata kununua malaya siwezi kwasababu nisawa na nitapoteza hela yangu bure. Kuperform chini ya nusu dakika ni zaidi ya showtime. Ni fedheha na maumivu makubwa sana.

NB:
1. Asilimia kubwa ya maisha yangu nimekulia mkoani ambako vyakula vya asili ndio vyakula vyetu. Maisha yangu hayana uzungu kusema labda aina ya vyakula ninavyokula.

2. Katika maisha yangu sijawahi kujichua.

3. Mi ni kijana ninaecheza soka. Kwahiyo mazoezi yamekuwa ni sehemu ya maisha yangu toka enzi hizo.

4. Sidhani kama ni swala la kisaikolojia maana kama confidence ninayo. Siku ya kwanza nakutana na mwanamke nilikuwa niko sawa kimwili na kiakili. Sikuwa na hofu yoyote. Hata baada ya yaliyotokea. Yalinitesa mwanzoni ila badae nikajijenga kisaikolojia na kujiamini lakini bado.

5. Katika kukua kwangu nimesumbuliwa sana na gesi tumboni. Nimekuwa mbovu wa tumbo toka enzi za utoto.

6. Kipindi fulani cha maisha yangu nilikuwa na fungus sehemu za siri kwa muda mrefu sana.

7. Hadi leo bado nateswa na wet dreams, kuna muda hata bila kuota naamka najikuta nimechafuka.

8. Kuna muda uume wangu unasinyaaa na kuwa mdogo sana kama wa mtoto wa primary. Ila kikawaida nikiwa katika full erection, uume wangu ni inch 6.

9. Nina hisia zote za kimwili. Inshu kubwa ni perforamce. Naweza nikiwa nimekutana na mwanamke namtongoza au mtoto yeyote mzuri ambaye sijamuweka katika kundi la marafiki. Basi huwa nasimamisha uume. Niko active sana. Mtu akiniona anaweza sema huyu jamaa hatari maana uume unasimama active sana ila kimbembe nikifika room. Nusu dakika haizidi. Hiyo ni kwa kila round.

10. Sijawahi tumia mkongo wala viagra.

Nimeweka NB hapo juu ili kwa mtu mwenye nia ya dhati ya kunishauri aweze kujua kila kitu na kuondoa assumptions. Niliwahi kumfungukia baba yangu mzazi ambae hadi leo anaumia kwa ajili yangu. Amepambana sana kwa ajili yangu lakini bado. Anaumia sana kama mzazi.

Imefikia hatua nimekata tamaa ya kupona. Sielewi tatizo ni nini. Mateso ninayopitia ni zaidi ya kusimulia. Najua kwa mwanamme yeyote anajua thamani ya uanaume wake. Kwangu mimi ni tofauti.

Naumia, nateseka na ninahangaika sana. Nimekuja kwenu nikiamini kwenye wengi kuna mengi. Naomba kwa yeyote mwenye kuwa na mawazo namkaribisha sana.

Mimi ni binadamu ambaye sijapenda kuwa hivi. Kwa yeyote atakaekuja na comments za kejeli na dharau ajue kabisa kuwa zitaniumiza na kunipa machungu sana kwasababu sikuchagua kuwa katika hii hali. Najua watu wa aina hiyo hawakosekani ila ni vema tu ukihisi unataka kunikejeli ufikirie mara mbili kabla ya kuniumiza kwa maneno ya dhihaka. Mpaka nakuja hapa nimefikia kiwango cha mwisho cha kukata tamaa. Sihitaji kingine zaidi ya msaada na faraja. Nitawasamehe wote watakaonidhihaki ila sitawasahau kwa jinsi watakavyokuwa wameniumiza sana.

Ndugu zanguni, hili tatizo lisikie kwa mwingine. Ni tatizo kubwa sana. Linatesa na kuumiza sana. Watu wana familia zao, wana mademu zao na wanaenjoy maisha yao ila nipo mimi ambaye kwa nje ni furaha ila kwa ndani ni huzuni kubwa sana. Sio uongo, ni kweli nakimbia wanawake. Nakimbia kuficha aibu yangu. Sifurahii hii hali ila nitafanyaje???

Naamini panapo uhai nitarudi na ushuhuda wa kupona hapa mbele yenu. Imani hiyo ni kubwa sana. Karibuni sana kwa msaada ndugu zangu.
Nenda hospitali chief. Uongee na a certified professional. Huku watakupanikisha tu
 
Mkuuu ipo hivi ww ni mzima na huna tatizo ndo maana unaweza bambia dem ukadindisha tatizo lako ukiona dem presha juuu hasa kitandani maone wa kawaida na unapokutana,nae,usinywe pombe ww ni mzima kapige show leo
 
Nimejaribu kusoma sehemu zote sijaona kasoro isipokuwa hapa nambari 7 nimejikuta napata mawazo tu, isijekuwa una ile kitu waamini waliodeep kwenye mambo ya kiroho wanaita "spiritual wife"...

Ambayo kuna watu wa kike na kiume imekuwa inawasumbua kwenye maisha yao ya kingono na wenzi wao kiasi kwamba wanajikuta wanaishi wenyewe tu bila mahusiano au ndoa...
I support you on this
 
Asante sana ndugu yangu kwa kuyahisi maumvi yangu. Bahati mbaya huo mtulatula siufahamu. Pengine naufahamu kwa jina jingine na nitashukuru ukinifafanulia zaidi au hata picha.
Mutulatula ni mmea wenye matunda madogo ya mviringo yamekuwa yakiiva yamekuwa na rangi ya njano, unapatikana kwenye vichaka ambavyo Vina udongo wa mfinyanzi,hata maeneo ya vichaka pale magufuli Stend upoo
 
Pole sana Kaka,niliwahi kupata tatizo linalofanana na hili,na Mimi nimekulia katika situation Kama ya kwako.... Yaan nilichelewa kuingia kwenye mahusiano.

Baada ya kuoa tu,mkuu uume ulishindwa kusimamaa kwa miez mitatu lkn badae nilisolve

Now, Niko vizr
 
Salaam wakuu

Hii ni stori yangu ya kweli kuhusu jambo linalonitesa na kuniumiza kwa muda wa mrefu sasa. Nitaweka kila kitu wazi katika angle zote ili niweze kupata msaada. Tafadhali sana, naomba kwa yeyote atakayeweza kunipa mawazo ya kunisaidia asisite kufanya hivyo. Natanguliza shukrani zangu za dhati. Sasa twende moja kwa moja kwenye Mada. Tatizo langu hasa ni UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka chini ya 30. Mkasa wangu unaanzia mbali sana wakati nasoma shule ya sekondari. Mimi ni mmoja wa wale vijana ambao aibu ilikuwa inatutawala na tulichelewa sana kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi licha ya mara kwa mara kuwa na tamaa za kimwili kama binadamu wengine.

Kama nilivosema awali, nilichelewa kujihusisha na mapenzi sio kwamba sikuwa na matamanio, bali ni uamuzi wangu binafsi niliokuwa nao. Katika kipindi chote hicho, kuna mambo yaliyokuwa yananitokea ambayo nilikuwa nayaona ni kawaida tu. Mfano, unajikuta labda uko kwenye mziki unacheza na binti yupo mbele yako. Katika hali ya kucheza nae unashangaa umepata msisimko wa ajabu na kujikuta ukijipiga bao. Hii hali ilikuwa ikinitokea lakini sikushituka kwasababu nilihisi kabisa labda kwakuwa sijawahi kushiriki tendo la ndoa, basi vile vitu vinakuwa vimejaa sana. Nilikuwa nachukulia kawaida. Mfano wa pili ni ile hali inakutokea upo kwenye mtihani au unafanya shughuli yoyote ya haraka na muhimu. Mara ghafla unaambiwa muda umekaribia kuisha. Unajikuta napata msisimko wa hatari na kujipiga bao. Hii ilinitokea huko nyuma wala sikujali kwa sababu niliamini chupa kimejaa kwa sababu sijawahi shiriki tendo la ndoa.

Lini sasa niligundua kuwa nina tatizo?

Baada ya kumaliza kidato cha sita nikiwa na miaka 22, hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kushiriki tendo la ndoa. Kabla ya hapo sikuwahi kushiriki tendo hilo na wala sikuwahi kuwa na hofu yoyote juu ya tendo hilo wala upungufu wa nguvu kwasababu sikuwahi kuona weakness yoyote kwenye mwili wangu.

Naikumbuka jioni moja ya mwezi Mei miaka 7 iliyopita. Nilikuwa na miadi na mtoto ambaye nilikuwa kwenye mahusiano naye. Ile tumefika guest, shauku ikawa juu sana na katika kuandaana pale pale nikajikuta namwaga...kabla hata sija penetrate. Ile hali ilinishangaza sana kuona uumea umesinyaa na kuwa kama wa mtoto. Nikajiuliza kwa kupanic hiki ni nini? Kwasababu sikuwahi kuelewa chochote kuhusu kujamiiana na wala sikujua kama halia ya kusinyaa uume huwa inatokea kwahiyo nilipanic. Mtoto alikuwa mzoefu hivyo alinituliza pale na kuniambia ni hali ya kawaida. Basi shughuli ikawa imeishia pale. 15k yangu ya chumba ikapotea.

Nakumbuka siku ile sikulala vizuri. Nilikuwa na mawazo sana na niliwaza maisha yangu yatakuwaje kama niko vile. Mtoto aliendelea kunifariji na kunipa moyo na maisha yakaendelea.

Baada ya pale niliendelea na mahusiano na yule binti. Na tulikutana kimwili mara kwa mara. Lakini katika mara zote nilizokutana nae bado bao la kwanza lilikuwa linanitoka hata kabla sijamuingia. Ni ile katika kupeana romance na maandalizi najikuta nimemwaga. Nakaa muda wa dakika kadhaa uume unasimama na najaribu kupenetrate ila simalizi dakika namwaga. Sio kwa raundi ya pili au ya tatu. Sijawahi kuzidi sekunde 30. Siujui huo utamu na inaniumiza sana

Kama walivyowanaume wengi, matamanio ni maisha yetu. Hivyo nilikuwa na mahusiano na mabinti wengine pia. Lakini kote huko niliishia kuumbuka. Nikijitahidi sana basi lile bao la kwanza litakuja baada ya kupiga takle mbili tatu. Na hapo nafanya bila kumuandaa mwenza wangu maana nikisema nimuandae tu namwaga hata kabla sijavua nguo. Ni mateso sana. Naumia na inaitesa sana hii hali.

Kiufupi sijawahi kufurahia sex. Kwangu mimi kwenda dakika moja bila kumwaga ni muujiza sana achilia mbali kwenda nusu saa. Sijawahi kuzidi sekunde 30. Sio kwa bao la kwanza, la pili au mia moja. Inaniumiza sana.

Napata hamu ya ngono ila sina uwezo wa kufanya ngono. Huniumiza sana kimoyomoyo nikikaa na wenzangu wakiwa wanafurahia faragha zao. Natamani wangejua mateso ninayopitia kijana mwenzao. Nina kila kitu ila sina furaha ya mapenzi. Na kinachoniumiza zaidi ni kuwa nipo katika age anbayo natakiwa kuwa na familia. Kuna binti nampenda sana, nayeye ameonesha kunipenda ila huwa namkimbia. Sitaki kuaibika. Hata kununua malaya siwezi kwasababu nisawa na nitapoteza hela yangu bure. Kuperform chini ya nusu dakika ni zaidi ya showtime. Ni fedheha na maumivu makubwa sana.

NB:
1. Asilimia kubwa ya maisha yangu nimekulia mkoani ambako vyakula vya asili ndio vyakula vyetu. Maisha yangu hayana uzungu kusema labda aina ya vyakula ninavyokula.

2. Katika maisha yangu sijawahi kujichua.

3. Mi ni kijana ninaecheza soka. Kwahiyo mazoezi yamekuwa ni sehemu ya maisha yangu toka enzi hizo.

4. Sidhani kama ni swala la kisaikolojia maana kama confidence ninayo. Siku ya kwanza nakutana na mwanamke nilikuwa niko sawa kimwili na kiakili. Sikuwa na hofu yoyote. Hata baada ya yaliyotokea. Yalinitesa mwanzoni ila badae nikajijenga kisaikolojia na kujiamini lakini bado.

5. Katika kukua kwangu nimesumbuliwa sana na gesi tumboni. Nimekuwa mbovu wa tumbo toka enzi za utoto.

6. Kipindi fulani cha maisha yangu nilikuwa na fungus sehemu za siri kwa muda mrefu sana.

7. Hadi leo bado nateswa na wet dreams, kuna muda hata bila kuota naamka najikuta nimechafuka.

8. Kuna muda uume wangu unasinyaaa na kuwa mdogo sana kama wa mtoto wa primary. Ila kikawaida nikiwa katika full erection, uume wangu ni inch 6.

9. Nina hisia zote za kimwili. Inshu kubwa ni perforamce. Naweza nikiwa nimekutana na mwanamke namtongoza au mtoto yeyote mzuri ambaye sijamuweka katika kundi la marafiki. Basi huwa nasimamisha uume. Niko active sana. Mtu akiniona anaweza sema huyu jamaa hatari maana uume unasimama active sana ila kimbembe nikifika room. Nusu dakika haizidi. Hiyo ni kwa kila round.

10. Sijawahi tumia mkongo wala viagra.

Nimeweka NB hapo juu ili kwa mtu mwenye nia ya dhati ya kunishauri aweze kujua kila kitu na kuondoa assumptions. Niliwahi kumfungukia baba yangu mzazi ambae hadi leo anaumia kwa ajili yangu. Amepambana sana kwa ajili yangu lakini bado. Anaumia sana kama mzazi.

Imefikia hatua nimekata tamaa ya kupona. Sielewi tatizo ni nini. Mateso ninayopitia ni zaidi ya kusimulia. Najua kwa mwanamme yeyote anajua thamani ya uanaume wake. Kwangu mimi ni tofauti.

Naumia, nateseka na ninahangaika sana. Nimekuja kwenu nikiamini kwenye wengi kuna mengi. Naomba kwa yeyote mwenye kuwa na mawazo namkaribisha sana.

Mimi ni binadamu ambaye sijapenda kuwa hivi. Kwa yeyote atakaekuja na comments za kejeli na dharau ajue kabisa kuwa zitaniumiza na kunipa machungu sana kwasababu sikuchagua kuwa katika hii hali. Najua watu wa aina hiyo hawakosekani ila ni vema tu ukihisi unataka kunikejeli ufikirie mara mbili kabla ya kuniumiza kwa maneno ya dhihaka. Mpaka nakuja hapa nimefikia kiwango cha mwisho cha kukata tamaa. Sihitaji kingine zaidi ya msaada na faraja. Nitawasamehe wote watakaonidhihaki ila sitawasahau kwa jinsi watakavyokuwa wameniumiza sana.

Ndugu zanguni, hili tatizo lisikie kwa mwingine. Ni tatizo kubwa sana. Linatesa na kuumiza sana. Watu wana familia zao, wana mademu zao na wanaenjoy maisha yao ila nipo mimi ambaye kwa nje ni furaha ila kwa ndani ni huzuni kubwa sana. Sio uongo, ni kweli nakimbia wanawake. Nakimbia kuficha aibu yangu. Sifurahii hii hali ila nitafanyaje???

Naamini panapo uhai nitarudi na ushuhuda wa kupona hapa mbele yenu. Imani hiyo ni kubwa sana. Karibuni sana kwa msaada ndugu zangu.
Poleee Sanaa mwambaaaa je bado una hyo Hari? Ilaa najua hofu hyo kitu inasumbua Sanaa wanaume wengi naukisha get tu hyo mala yakwanza bas ndo unapotea kbs . Stress hzo ombaaa yasikukute inaumaaa sanaaaa Ila tiba nimwanamke yaan mpenzi wako ata usiogope mchane tu ulivyo. Naongeaa iv ishawahig nitokeamimi
 
pole sana ndugu, haya matatizo tunayo wengi sema nini hatuyaweki wazi, kuna kina mimi ambao comfdence ziko chini kiasi kinachopelekea performance kwenye tendo la ndoa kushuka. yalinikuta na najua maumivu unayopitia ndugu yangu hii hali inatesa sana sio siri.

ushauri jaribu kutongoza na kusex na wanawake ambao sio visu sana yaani chagua wale ambao hawavutii kabisa itakusaidia kujiamini ukishafanikiwa hapo mbinu za kujizuia usifike mshindo mapema zitachukua nafasi, narudia tena chagua wanawake ambao akili zako zinasema hii chapati hata ikifanyaje poa tu.

NB. yalinikuta mimi kwa mke wa ndoa nikawa na shida ya kusimamisha saa zingine sisimamishi kabisa wakati mwingine show haimalizi dakika kumi nikajaa hofu ya kufa mtu na mambo yakazidi kuharibika, nikakaa chini nikasema huu ujinga umetokea wapi sikujiuliza mara mbili nikachepuka na kupiga show matata sana sikuamini,nikarudi kwa mke hali ile ile mmh, nikabadili mwanamke nikaperform kwa kiwango cha kutisha nikagundua kimbe shida iko hapa kwa mwenzangu namwogopa na ananitia presha ndo nashughulikia kwa sasa na matokeo angalau yanaanza kuonekana.
Kbsaaa %100 tupo wengi mungu atusaidie aisee.
 
Usually sichangii mada kama hizi lakini ngoja nitoe hypothesis ambayo ni provable scientifically kwa asilimia kadhaa.

Kwenye maisha yako ulifanya kosa moja tu ambalo ni kutotumia au kuseize opportunity pale inapopatikana bila kupoteza muda.
Kipindi kile ambacho unaanza kukua na kuanza kuwa na hisia za kibinadamu ndicho kipindi hichohicho ulichotakiwa kuanza hizo shughuli.
Sababu pale ndio unakuwa unaanza hivyo unakuwa in your prime and get used to it.

Ulichokifanya ni kama kusubiri ufike miaka 70 kama biden alafu uanze kuingia gym kunyanyua vyuma na kujenga mwili alafu utegemee upate matokeo sawasawa na kijana mwenye miaka 18.

Mkuu hata kama kipindi hicho ulikuwa huna access na natural flowers, hukutakiwa kuacha kutumia hiyo opportunity kivyovyote vile sababu huo ndio ulikuwa muda sahihi wa kuanza kuzoea na kuona kitu cha kawaida kisicho na maajabu yoyote.
Achana na kwamba hujazoea wanawake, hili sio tatizo hapa.

Mimi siamini kama kuna mwanaume kamili ambaye hajawahi pita huko hata kwa mwaka badala kusubiria wet dreams zimsaidie.
Ubongo wako umezoea na kuwa wired kumaliza kazi mentally sababu hakuna namna yoyote ya kumaliza kazi physical, hivyo umekuwa wired namna hiyo.
Namba mbili ingeondoa kabisa hizo wet dreams na wala usingekuwa unatishika ukiona natural flower kwa mbali, well sababu ulishazoea kufanya kazi physical.

Naturally binadamu hatakiwi kuwa na nocturnal emission au wet dreams sababu lengo kuu la sex ni kufanya reproduction. bali wet dreams ni kama dharula tu ili kupunguza wingi wa sperms zisizo na kazi lakini biologically unatakiwa kuondoa sperms kwa kufanya sex physical sababu hiyo ndio njia pekee ya kufanya reproduction.

Nimeandika kwa fasihi lakini kosa ulilofanya ni namba mbili, hapo ndipo ulipokosea kama una mengine sawa lakini hapo panachangia pakubwa.
This is a psychological problem you should rewire your brain again.
[emoji817][emoji817][emoji817]
 
Pole sana kwa hilo tatizo mkuu, labda nijaribu kushauri, kama kwa sasa uko kwenye mahusiano basi fanya siku moja moja mkae wote tu ndani (wewe unaweza kuvaa boxer tu na yeye kanga moja) bila kufanya tendo.

Unaweza ukaweka movie mkaangalia wote au mkafanya usafi, kupika etc kama ratiba za kila siku. Point yangu ni hii: nahisi akili/saikoloji yako inahitaji mazoea ya kuona mwili wa mwanamke kama ni kitu cha kawaida na wala sio kitu hadimu.

Ukishakuwa na "chemistry" wewe na mwanamke especially huyo ambae uko nae kwenye mahusiano naamini confidence ya tendo itaongezeka na utakuwa sawa kwake na hata kwa wanawake wengine.

Experience ya kutokuwa na wanawake huko nyuma inaweza ikawa ndo sababu.
Fact
 
Back
Top Bottom