Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

Unajini mahaba hapo ulipo unamwnamke muda wote Mahal popote fight bro, kwa majaribio tafute demu ambae kila round ya sex anaboost dushemwanantombo kila round, kisha utaelewa, spiritually ukitrace back unaweza kujua mazingira ya hilo tatizo hasa kama ulishawahi kutamaniwa halafu ukawa mgumu na inategemea wewe handsome au niaje ni hayo tu. Usingizi sijamaliza pambana
 
Sijui labda sijaelewa...mbona mi sioni tatizo hapo mkuu...maana kusimama inasimama,kufanya unafanya ila unawahi....kuwahi mbona asilimia kubwa wanaume wengi wapo ivo.Unataka wote wafungue nyuzi hapa?...kuna watu haisimami kabisa na wamekubali kula bata na pesa zao na hawaachi kutafuta pesa ila wameachana na masuala ya mapenzi....mi nahisi shida uliyonayo ni kujikubali tu ....jikubali kamanda ondoa hofu....kama utakaefanya nae anajisemesha kwa kutokuridhika we inuka vaa nguo mpe ya kuoshea mbususu then sepa ......atakutafuta tu....wanawake na pesa ni kilele tosha....uchumi wenyewe huu
Upwiru, huyu hapa anafaa kuwa daktari wako.

Tatizo lako ni la kisaikolojia na matibabu yake upate mwanamke atakayeelewa tatitzo lako na kujua jinsi ya kukusaidia.
 
Daktari mzoefu wacha nikupe prescription na ni muhimu kuzingatia.
Panda mnazi kwa mkono mmoja (nyeto) walau mara Moja au Mbili kwa kipindi cha wiki Moja hadi Mbili. Maana unasumbuliwa na kibululu Plus.
Tools utakazotumia xvideos.com ikipewa sapoti na VPN.
 
Chukua tangawizi saga chukua malimao 6 kamua chemsha au weka ukwju mbichi kwenye maji kikombe kimoja Cha nusu litre Hadi yawe kikombe Cha chai( tafuta na asali Kama unaweza sio lazima lakin weka vijiko vitano kwenye mchanganiko huo) changanya mchanganiko huo kunya kwa muda was sikua 3 asb mchana na jioni nusu glass kwa siku 3 tu uje unipe majibu Hilo ulilonalo ni chango Kama unaweza pia ni dm nkutumie dawa kutoka usambaani za chango
 
Pole mzee..
Nilikua natamani kujua experience yako kwenye kutumia dawa kama Vega nk za kusimamisha mashine, ikoje

Matokeo ya experience iyo tunaweza angalau kujua tatizo lilipo
 
Pole mzee..
Nilikua natamani kujua experience yako kwenye kutumia dawa kama Vega nk za kusimamisha mashine, ikoje

Matokeo ya experience iyo tunaweza angalau kujua tatizo lilipo
🙄🙄Vega mtume
 
Anza kufanya masturbation kama namna ya kucontrol na kuujua mwili wako kimapenzi
Mkuu watu wanaweza wasikuelewe ila hii kitu ina uhalisia.Mimi kwangu nyeto ilikua therapy kuji balance.Sina mengi ya keueleza hapa 😂
 
Pole sana ndugu, nimeumia pia kwa ajili yako hasa nikifikiria kuna wakati napiga show mpaka naamua kuahirisha bila kumwaga,
Jaribu kuwa unatumia mizizi ya mtulatula unatoa maganda ya juu unakwangua na kisu kisha unatafuna,naamini inaweza kukusaidia na pia hata isipotatua tatizo bado haina madhara yoyote kiafya,pole sana
Yeah mtulatula nimewahi kuisoma mahali inasaidia kuimarisha haja ya tendo hasa kwa Me
 
Asante sana ndugu yangu kwa kuyahisi maumvi yangu. Bahati mbaya huo mtulatula siufahamu. Pengine naufahamu kwa jina jingine na nitashukuru ukinifafanulia zaidi au hata picha.
Huu hapa
Screenshot_20220515-152846.jpg
 
Back
Top Bottom