Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

...... Africans hatupendani wenyewe kwa wenyewe.....ila tunajipendekeza sana kwa wazungu na waarabu yani ngozi nyeupe.....Ila wao hawatupendi pia wanapendana wao kwa wao.......labda ss tungekuwa tunapendana labda tusinguwa hapa leo hii....mpende akupendaye asiyekupenda achana nae......kama hakuna anaye kupenda kuwa mbinafsi tu utaishi kwa raha na amani....

....dini yani miungu na mitume yote ya mzungu na mwarabu....waindi wana dini zao wachina wa dini zao.....kila race ina dini zake na vitu vyake.....ila Africans hatuna chetu tunaparamia paramia tu vya watu.....kuanzia dini mpaka vitu vingine na hii ni ishara ya kutojitambua....... Africa sijui ina nini......siku tukijitambua ndio tutaheshimika......acha baadhi ya Africans wateseke kutokana na ujinga wao haijarishi ni muislam au mkristo wote ndo walewale wajinga watupu wanaoparamia vya watu......
 
Mwanaume ameumbwa kuteseka,lakini hicho kichapo si cha mchezo
 
Watu wanafiki Sana...Wanaona binadamu wenzao wabaya...
Hao mahousegeloo nyumbani kwenu mnaishinao vipi?
 
Nao pamoja na kutafuta maisha lakini eneo hatarishi wanaenda kufanya nini? Tulisha choka na hizi habari za watu wanaoteseka huko uarabuni,kwa nini bado wanabebana kwenda huko? Aaaah!
 
Fuatilia watakaotetea hayo mambo aidha kwa kusema hayapo au kusema yapo ila ni kawaida au bora hayo maana hata hapa bongo mateso yapo....wengi kama sio wote wanaosema hizi kauli ni waislam.
Sasa sijui kuna uhusiano gani kati ya uislam na waarabu.
 
Kuna haki ya kufanya uchunguzi.., kupeleleza haki za wanyonge...!! UBAYA HAUNAGA KABILA,TAIFA wala jinsia...
 
Fuatilia watakaotetea hayo mambo aidha kwa kusema hayapo au kusema yapo ila ni kawaida au bora hayo maana hata hapa bongo mateso yapo....wengi kama sio wote wanaosema hizi kauli ni waislam.
Sasa sijui kuna uhusiano gani kati ya uislam na waarabu.

Mkuu acha wapigwe bakora kabisa ili wajifunze,maana wanawaona waarabu kama watakatifu na kuwaita wengine makafiri/kafiri!.
 
Point.
 
Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wadada wa Kenya wako wengi sana Saudi Arabia wanapata shida sana,nasikia Serikali Mpya ya Kenya imezuia raia wake kwenda huko
 
Fuatilia watakaotetea hayo mambo aidha kwa kusema hayapo au kusema yapo ila ni kawaida au bora hayo maana hata hapa bongo mateso yapo....wengi kama sio wote wanaosema hizi kauli ni waislam.
Sasa sijui kuna uhusiano gani kati ya uislam na waarabu.
Kwani hujui kuwa Makka na Madina zipo Saudi Arabia na Mtume Muhammad (S.A.W) kazaliwa huko?

Wabillah Tawfiq,
 
Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huku bingo wezi wanachomwa moto kitaa? Au kwavile kachomwa na mweusi mwenzie haina tatizo?
 
Hata wadada wa Kenya wako wengi sana Saudi Arabia wanapata shida sana,nasikia Serikali Mpya ya Kenya imezuia raia wake kwenda huko
Njaa ndo zitawapeleka Tena baada ya zuio watatumia njia za panya (TZ, Uganda au Somalia).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…