Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Ivi huwa siwaelewagi hawa waarabu na dini Yao ya Kiislam ivi inawafundisha nini. Wanasemaga Wazungu ni racists nikuhakikishie Jamani waarabu na Wahindi ndio wanaongoza Kwa racism. Ni rahisi mzungu kuoana na mwafrika lakini sio waarabu au Wahindi. Ivi dini zao huwa sizielewagi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said, tena ukimpa mimba mdada wa kiarabu au kihindi wanatoa mimba au katoto kakizaliwa wanakaua kakiwa na siku moja, So sad!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli inafaa awatumbu hawa mabalozi wa Oman na Saud Arabia. Rais akiingila Kati utasikia unawaonea waislam. Kuna watu mazwazwa hapa dunian ni waislam wenye rangi nyeusi .
Itawafikia tu wote, TAARIFA ZA UHAKIKA KWA MARA YA MWISHO UBALOZI WA TANZANIA KUFANYA KIKAO NA WATANZANIA OMAN ILIKUWA NI MWAKA JANA MWEZI WA 3, HADI LEO HAWANA MREJESHO WOWOTE WA KILICHOTOKEA KWA WATU WAO KWA MWAKA NA ZAIDI.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazanzibar Wana nini mpaka watanganyika wawapapatikie. Hakuna ujinga kama huo. Wazanzibar wanakitu gani mpaka watanganyika wawapapatikie. Hakuna kitu kama hicho
Write your reply...Kuna watu hapa wanaingiza Uzanzibar ...siku ukijua huyo aliefanyiwa unyama huo ni mtanganyika mwenzako utakuja hapa kuomba msamaha ...sawa hatukatai tunawapapatikia waarabu ujue pia Watanganyika wanawapapatikia Wazanzibari na mnatuona kama waungu wenu ....kumbuka dunia hii ya Sasa sio kama ile ya Nyerere ukiyajua ya Wazanzibari nasi tunayajua ya Watanganyika ...Inapokuja mada uijadili kwa fikra huru kama una chuki zako peleka sehemu stahiki ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pakistan hao ndio waislam pure. Basi pia Pakistan ni Islamic state
Vijana Punguzeni chuki zenu, Mana hapa kuna watu wamevamia dini ya watu, waarabu, wazanzibari. Wakuu mbona mnakua na roho mbaya kiasi hiko. Huko SA watu wanauliwa mbona mumekaa kimya mnatoa tovu kwa mtu anaepigwa mikwaju?

Na pia siku ya pili mujue kutafautisha hao si waarabu hao ni wahindi. Inaonekanwa hilo tukio kama ni Pakistan. Na mara nyingi kesi za pakistan usikute jamaa aliekwa bondi wenziwe wameingia mitiini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unachanganya mambo? UISLAM na UARABU ni vitu viwili tofauti kuna Waarabu ni Wakristo na Kuna Waislamu wasio waarabu( ambao ni wengi zaid)
Ivi huwa siwaelewagi hawa waarabu na dini Yao ya Kiislam ivi inawafundisha nini. Wanasemaga Wazungu ni racists nikuhakikishie Jamani waarabu na Wahindi ndio wanaongoza Kwa racism. Ni rahisi mzungu kuoana na mwafrika lakini sio waarabu au Wahindi. Ivi dini zao huwa sizielewagi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msenge wewe Marekani hautegemei mafuta ya mwarabu. Marekani ndio nchi inayoongoza kwa kuwa na visima vingi kuliko nchi yoyote duniani. Marekani inaongoza Kwa uzalishaji wa mafuta duniani. Na nchi yenye mafuta Mengi sio uarabuni ni Venezuela ndugu yangu. Mafuta yapo distributed nchi mbalimbali Duniani. Uwe unatafuta data ndio uongee. Ni kwamba mafuta ya Saudi Arabia na nchi nyingi za kiarabu ni joint venture Kati ya Marekani na waarabu. Saudi Aramco campuni kubwa ya Mafuta Saudi Arabia inaitwa Saud Arabia American company. Ni kwamba Marekani ndio anatumia mafuta ya Uarabuni kuongeza utajiri wake . Wale wabishi anawavamia au anawaweka vikwazo . Marekani akishawawekea vikwazo huwezi uza mafuta pepote pale dunia. Mafuta huuzwa kwa mfumo wa Petrodollar. Venezuela Hali imekuwa mbaya kwasababu ya vikwazo manayake hataweza kuuza mafuta mahali popote duniani. Wale waarabu ni vibaraka wa Marekani. Achaga ushamba. Unajua kifo cha Gaddafi kilisababishwa kuchallenge mfumo wa Petrodollar.
WEWE HUMUWEZI MWARABU HATA USEME MPAKA UNYE MWARABU KATIKA ULIMWENGU YUPO TOP KWA KILA KITU BILA MAFUTA YA MWARABU WEWE USINGEPATA UGALI KWA MAMA LISHE NA KUPAYUKA HAPA WAMERIKANI WANATEGEMEA MAFUTA YA MWARABU KAA UKIJUA HUTAMUWEZA MWARABU ISHIA HUMU HUMU KUPAYUKA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo ...
Unafiki unakuzunguka mwilini pamoja na damu!
Mna shida sana ....mnaomwabudu mzungu...
Wazanzibar hawalazimishi uarabu ila itabaki kuwa hivyo wao ni dam mchanganyiko!

Naona umekurupuka tena hovyo hovyo ...kusema hili... uliza vizuri ..wengi wanaokwenda huko wametoka huko huko na wanaletwa hapa na wenzenu..watanga na watu wa singida jumlisha na wa mombasa ndio waliojaa huko.
Kumbe...Ndio maana mzungu aliwaita washenzi ...moja kati ya tabia za kishenzi ndio kama hii!
Mnyammwezi lake jembe...maana yake unaijua wewe?
Tipu tipu akiwafata huko huko...kuwapeleka kule kule utumwani!

Ulaya na Arabuni! mmesahau sio?

Huko wanaenda watwana ...

Hapo Dar kuna watu maalum wanafanya hiyo biashara ya binadamu.





Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya utumwa na uislam vina uhusiano itakuwa. Kwasababu umejaribu kutetea lakini hao mawakala ni waarabu pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waarabu wakatili sana,wanastahili vipigo the same,watumiwe clip kama wanavyotufanyia.
Shwain kabisa hawa
 
Yaliopo ndani ya moyo wa mtu hudhihirishwa mdomoni mwake, ila kwa vile hapa watu wanatumia maandishi nawe umewasilisha yaliopo moyoni mwako. Mkuu wanzanzibari ni Watanzania wenzetu au hata wasingekua Watanzania basi bado ni binaadam kama binaadam wengine, by the way walikufanya nini hadi ukawachukia kiasi hichi?
suala la uelewa tu mkuu. Hizi kesi tumeshasikia mara kibao hawa watu kunyanyaswa huko Arabia na kama haitoshi kila siku nenda airport ndo utaelewa watu wanafurika huko kama nyugu na wengi wao ni hao Wazenji. Na nyongeza tu ni kuwa ukitaka ukosane na mzenji mtukane Mwarabu. Sasa watu kama hawa wanahitaji mental liberation. Ukweli ni kuwa wenzetu kule upande wa pili bado wanafikiri mwarabu ni mtu pekee anayeweza iendeleza Zenj na sio nguvu zao wenyewe.
 
Tujue kwanza huyo mmatumbi alifanya kosa gani, kama ni ushoga alitakiwa kukatwa shingo tena hadhani,
 
Hilo mjiulize nyinyi kwa nini hamuiachii???

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya kiCCM achaga kusema Watanganyika wote yaani muungano unafaida Kwa CCM sio watanganyika. Ungejua wale viongozi wa CCM Zanzibar wanategemea muungano ili waendelee kubaki madarakani sio watanganyika. Dr Shein bila muungano angekuwa Rais wa Zanzibar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao nao wanafataga nini manchi ya kiarabu hayo.

Yaani jitu linakaa kabisa linafikiri eti mwarabu atakutoa kimaisha.

Mti wenye matunda.
 
Tumia akili,
1:Wengi walioko Oman ni waswahili,ambao wewe ukiwaona huku unawaita waarabu(ni damu mchanganyiko)ambao wengi ni watanzania,ukifika Oman utafikiri uko Tanzania,wengi ni wa Tanzania,na lugha zote za makabila ya Tanzania zinazungumzwa,kiswahili ndio kabisa,utafikiri ndio lugha ya taifa.Hao waswahili,ndio wanaochukuwa wafanyakazi wa nyumbani kutoka Afrika mashariki,na hawachukui wafanyakazi wa nyumbani wanaume.Na ukisema ni mfanyakazi wa kazi za nje(wanaume) pia sio kweli,kwasababu wao wenyewe wana matatizo ya ajira,kazi zinatakiwa zifanywe na wenyeji wa nchi hiyo.
Kuna mahali pameandikwa kuhusu Madawa ya kulevya hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wameoana sana,Ukienda Oman,ni damu mchanganyiko,mpaka mawaziri wanatoka Tanzania,na kiswahili na lugha za makabila ya Tanzania,yanaongelewa huko,kama uko Tanzania.Hata kama hujafika huko Oman,nenda airport Dar,uone abiria wanaoshuka kwenye ndege,ni watanzania wa damu mchanganyiko.
Ivi huwa siwaelewagi hawa waarabu na dini Yao ya Kiislam ivi inawafundisha nini. Wanasemaga Wazungu ni racists nikuhakikishie Jamani waarabu na Wahindi ndio wanaongoza Kwa racism. Ni rahisi mzungu kuoana na mwafrika lakini sio waarabu au Wahindi. Ivi dini zao huwa sizielewagi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli,kwanza hapa kwetu Tanzania hakuna "pure Arab",wote unaowaona ni damu mchanganyiko,machotara,ila sisi kwa kutojuwa tunawaita waarabu,ni waswahili tu.
Well said, tena ukimpa mimba mdada wa kiarabu au kihindi wanatoa mimba au katoto kakizaliwa wanakaua kakiwa na siku moja, So sad!.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wameoana sana,Ukienda Oman,ni damu mchanganyiko,mpaka mawaziri wanatoka Tanzania,na kiswahili na lugha za makabila ya Tanzania,yanaongelewa huko,kama uko Tanzania.Hata kama hujafika huko Oman,nenda airport Dar,uone abiria wanaoshuka kwenye ndege,ni watanzania wa damu mchanganyiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok nmekuelewa Ila yaweza kuwa hata ndugu zetu Wana viburi Sana. Umeenda kufanya kazi but unataka uamshwe asubuhi, ukumbushwe kufanya kazi na mambo kama hayo. Ishu za kubakwa ndio shida. Yote maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia akili,
1:Wengi walioko Oman ni waswahili,ambao wewe ukiwaona huku unawaita waarabu(ni damu mchanganyiko)ambao wengi ni watanzania,ukifika Oman utafikiri uko Tanzania,wengi ni wa Tanzania,na lugha zote za makabila ya Tanzania zinazungumzwa,kiswahili ndio kabisa,utafikiri ndio lugha ya taifa.Hao waswahili,ndio wanaochukuwa wafanyakazi wa nyumbani kutoka Afrika mashariki,na hawachukui wafanyakazi wa nyumbani wanaume.Na ukisema ni mfanyakazi wa kazi za nje(wanaume) pia sio kweli,kwasababu wao wenyewe wana matatizo ya ajira,kazi zinatakiwa zifanywe na wenyeji wa nchi hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo mengi ambayo hayajibu swali, I wish ningekuwa nasahihisha mtihani hapa.
 
Back
Top Bottom