Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Unadanganywa na kudanganyika,huyo sio muarabu,mavazi yanaonyesha wazi sio ya kiarabu,hayo ni mavazi ya kihindi.Huyo itakuwa wamedhulumiana kwenye biashara ya madawa ya kulevya,wacha watandikeni,wanaharibu vijana wengi,kwa biashara zao hizo.Hakuna nchi ya kiarabu inayolima madawa ya kulevya,ni nchi za whindi ndio wanalima madawa ya kulevya.
Yaani huyu Mwarabu hapo ikipigwa adhana atatoka nduki kuwahi swalaa! Hahahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mue mnatoa information za kweli sio unakurupuka bila tafiti hata ya sauti au lugha na kurukia eti waarabu, huo ni ujinga au kutokusoma wewe unaangalia rangi tu na kulopoka eti waarabu unataja na nchi bila ushahidi wowote ule, kwa taarifa hao sio waarabu kwenye clip, tena midume arabuni hua haiteswi, ungenambia wafanya kazi wa ndani labda nao huteswa kwa yale mambo yao ya kike kike yanayozoeleka kila kona na kwa sababu maalumu, kama umalaya, viburi, uvivu, wizi, umbea mambo yaliozoeleka huku nyumbani.
 
Mkuu hakuna anaekataa kwao, harakati tu za kutafuta maisha ndio zinawafanya watu watoke sehemu moja kwenda kwingine.
Huu unyama hauvumiliki kwa kweli, ila hio mijamaa nayo kama vile ni mifala tu hapo ipo miwili inashindwaje kumshikisha adabu huyo mvaa kanzu.

Maendeleo hayana chama
wacha wapigwe tu wajinga hao na ma njaa njaa yao, una wafuata kwao wacha waku file

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba unaroho ngumu km unaishi jehanamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!
 
Mimi hata siwahurumii ,kila siku wanakatazwa lakini hawasikii,eti kwa vile wote dini moja na wanazungumza lugha moja ndio wanajipeleka, acha wakomeshwe tu
 
Unadanganywa na kudanganyika,huyo sio muarabu,mavazi yanaonyesha wazi sio ya kiarabu,hayo ni mavazi ya kihindi.Huyo itakuwa wamedhulumiana kwenye biashara ya madawa ya kulevya,wacha watandikeni,wanaharibu vijana wengi,kwa biashara zao hizo.Hakuna nchi ya kiarabu inayolima madawa ya kulevya,ni nchi za whindi ndio wanalima madawa ya kulevya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mahali pameandikwa kuhusu Madawa ya kulevya hapa?
 
Mtu wa ajabu sana wewe. Kwahiyo kwakuwa waafrika kusini wanauwa waafrika wenzao na wamarekani weusi wanauwana tusikemee mauwaji ya waafrika au muwaji yoyote yale. Xenophobia ya SA mbona tunaipigia kelele sana kila siku wewe huwa unakuwa wapi. Eti usiwaseme vibaya waarabu...

Na hao wanaong'ania kwenda kufanya kazi huko hawaoni sehemu zingine za kufanya kazi

Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaliopo ndani ya moyo wa mtu hudhihirishwa mdomoni mwake, ila kwa vile hapa watu wanatumia maandishi nawe umewasilisha yaliopo moyoni mwako. Mkuu wanzanzibari ni Watanzania wenzetu au hata wasingekua Watanzania basi bado ni binaadam kama binaadam wengine, by the way walikufanya nini hadi ukawachukia kiasi hichi?
 
Yaliopo ndani ya moyo wa mtu hudhihirishwa mdomoni mwake, ila kwa vile hapa watu wanatumia maandishi nawe umewasilisha yaliopo moyoni mwako. Mkuu wanzanzibari ni Watanzania wenzetu au hata wasingekua Watanzania basi bado ni binaadam kama binaadam wengine, by the way walikufanya nini hadi ukawachukia kiasi hichi?
HII NDIO SABABU WHY WAZANZIBAR WANAUKATAA UDUGU HUU WAKINAFIKI NYOYO ZA WATANGANYIKA WENGI WAO NI MBAYA SANA KWA WAZANZIBAR KWAO WAO BORA HATA WANYARUWANDA WA KINGO NK KULIKO WAZANZIBAR CHOYO HUSDA CHUKI ROHO MBAYA HIZI NI SIFA ZA WATANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app
Siungi mkono ila kama maigizo vile au nimeona vibaya.
 
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi huwa siwaelewagi hawa waarabu na dini Yao ya Kiislam ivi inawafundisha nini. Wanasemaga Wazungu ni racists nikuhakikishie Jamani waarabu na Wahindi ndio wanaongoza Kwa racism. Ni rahisi mzungu kuoana na mwafrika lakini sio waarabu au Wahindi. Ivi dini zao huwa sizielewagi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom