Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Kweli mtu yeyote anayetetea hizi nchi hasa hasa Saudi ajisikie aibu.
Waarabu wenzao wanawajua tu walivowakatili sembuse sisi?
Yaani huko asilimia kubwa ya wanawake wao wanaishi kama sio binadamu kamili sembuse wewe Muafrika.
Na sisi Waafrika tuache kwenda huko. Watu wengine miaka nenda rudi wanazisikia hizi stori lakini hawakomi.
Nawanao compare hii kitu ya South Africa na Saudi mkome. Bora hata viongozi wao wanakemea uovu unaoendelea kwao hawa Waarabu hata hawajigusi ina maana wanaona kinachofanyika ni sawa.
 
Mkuu hata middle east kuna fursa nyingi tu, tatizo ni kuangukia kwa boss wa aina gani.
Kuna watu wametoka huku wako huko lakini ukiwaeleza kuhusu haya mambo wataona kama vile unawasingizia wavaa kanzu.
Ni sawa tu na mtu ambae yupo kijijini analetewa mjini kuja kufanya kazi, wengine huangukia kwa mabosi wapole na wakarimu hivyo maisha kwao yanakua poa, ila kuna wale wanaoangukia kwa mabosi ambao ni makatili kama wanyama hapo ndipo majuto huanza.
Yote kwa yote mabalozi wetu katika nchi nyingi wanazopelekwa hua hawaendi kufanya kazi walizotumwa zaidi wao ni kula bata tu.

Maendeleo hayana chama
Hii ishu ya wafanyakazi wa ndani kuteswa Uarabuni naliona sana, nadhani huu ni uzi wa 5 hivi kuuona hapa JF, inamaanisha wengi wanateswa sana (japo wapo wanaotendewa wema pia)
Suala la haki za binadamu huko Uarabuni lipo chini mno, hata kati ya Waarabu kwa Waarabu wenyewe pengine hata Afrika tuna afadhali pamoja na umasikini wetu
 
Nilipata kuzumgumza na kiongozi mmoja mwenye dhamana na masuala haya akasema tatizo watanzania waliopo huko hawana mikataba suala linalopelekea kutotambulika uwepo wao mahali hapo

Anadai wengi wanaingia kinyemela wakipata matatizo ndio wanaujua ubalozi suala ambalo linauwia vigumu ubalozi kushughulikia masuala hayo kidiplomasia

Upande wa pili watz waishio huko wanasema si kweli mikataba wanayo na uwepo wao unatambulika na ubalozi isipokuwa tu balozi hazina meno huko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
HII MADA YAKO NI YA UONGO NA UDINI HAKUNA MWAFRICA MTANZANIA ANAEUWAWA OMAN AU SAUDI ARABIA, HIVI WEWE KWA AKILI YAKO UMEIONA SERIKALI YA TANZANIA WAMELALA KWELI WATANZANIA WAULIWE WAKAE KIMYA HIVI UNA USHAHIDI KAMA UNAO TAFADHALI FIKA BALOZI YA OMAN NA SAUDI ARABIA ZIPO COCO BEACH WASILISHA RIPOTI YAKO
Kuna makala nyingi sana,uzi nyingi sana hapa JF, hadi Bungeni kumekuwa na mjadalw kuhusu wafanyakazi wanaoteswa huko Uarabuni. Wewe utakuwa Muislam ndio maana ukiona Muarabu akisemwa kwa baya lazima umtetee kwa nguvu zote,

Ila ingia hata Youtube tu seach kwa Kiswahili kuhusu mateso ya wafanyakazi huko Uarabuni
Nimekuwekea chache hapa








 
Nilipata kuzumgumza na kiongozi mmoja mwenye dhamana na masuala haya akasema tatizo watanzania waliopo huko hawana mikataba suala linalopelekea kutotambulika uwepo wao mahali hapo

Anadai wengi wanaingia kinyemela wakipata matatizo ndio wanaujua ubalozi suala ambalo linauwia vigumu ubalozi kushughulikia masuala hayo kidiplomasia

Upande wa pili watz waishio huko wanasema si kweli mikataba wanayo na uwepo wao unatambulika na ubalozi isipokuwa tu balozi hazina meno huko


Sent using Jamii Forums mobile app
Balozi zenyewe zipo kwa ajili ya kuomba msaada sijui uwekezaji, lazima zidharaulike tu,
 
hahaha..wewe jamaa noma mwarabu yuko juu ulimwenguni!? kwanza mwarabu hana akili ya kufanya exploration wala kudevelop technology ya kuchimba hayo mafuta. Mwarabu angejaliwa akili kama mzungu au myahudi huenda hali ingekuwa mbaya zaidi
Kwa nini hali ingekuwa mbaya zaidi?
 
HII MADA YAKO NI YA UONGO NA UDINI HAKUNA MWAFRICA MTANZANIA ANAEUWAWA OMAN AU SAUDI ARABIA, HIVI WEWE KWA AKILI YAKO UMEIONA SERIKALI YA TANZANIA WAMELALA KWELI WATANZANIA WAULIWE WAKAE KIMYA HIVI UNA USHAHIDI KAMA UNAO TAFADHALI FIKA BALOZI YA OMAN NA SAUDI ARABIA ZIPO COCO BEACH WASILISHA RIPOTI YAKO
Asilimia 75 ya wanzanzibar inaingiliana na wa oman.So ni ndugu.Na wewe ni mmoja ya mwarabu mwenye asili ya oman na Zanzibar.Pia baadhi ya maeneo Oman wanazungumza kiswahili safi kabisa.So usijifanye na wewe ni mmoja kati ya watanzania wakati mnawatesa na kuwaua ndugu zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WEWE HUMUWEZI MWARABU HATA USEME MPAKA UNYE MWARABU KATIKA ULIMWENGU YUPO TOP KWA KILA KITU BILA MAFUTA YA MWARABU WEWE USINGEPATA UGALI KWA MAMA LISHE NA KUPAYUKA HAPA WAMERIKANI WANATEGEMEA MAFUTA YA MWARABU KAA UKIJUA HUTAMUWEZA MWARABU ISHIA HUMU HUMU KUPAYUKA
We jamaa ni bonge la fala.Hapa tunaongelea mateso wanayopata raia wetu ughaibuni haswa mashariki ya kati wewe unaleta habari za mafuta.Hata kama huyo anaeadhibu sio mwarabu ila ukweli utabaki kuwa waarabu na wahindi wanaongoza kwa ukatili.POPOMA WEWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia hii ina maajabu sana
Wahindi huko Africa wanatamba kiasi anaweza hata kukufunga kwa nguvu ya hela
Lakini najua hali zao pia huko uarabuni ambapo kazi zao ni za ndani na kusafisha vyombo na kukata garden yaani the worst jobs ndio wanafanya na makofi juu

I was there for many years na nimeshuhudia wakitumiminia kahawa huku wamesimama for hours (wakome)

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Aha haaa haa[emoji16][emoji16]...mbavu zangu mkuu!

Huku wana.mashauzi hao balaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aha haaa haa[emoji16][emoji16]...mbavu zangu mkuu!

Huku wana.mashauzi hao balaa


Sent using Jamii Forums mobile app
I swear, nilikuwa na marafiki zangu wengi ambao nikikaa nao utasikia weeee mimina kahawa na kama unajua kikombe ni kidogo sana kwa hiyo x4 tu kwisha.
Mimina tena na chupa ikiisha kapike tena akichelewa kofi linamhusu
Wakati mwingine nawahurumia lakini hapo ndio utajua hawa kila nchi wanafanya wanavyowekwa

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
hahaha..wewe jamaa noma mwarabu yuko juu ulimwenguni!? kwanza mwarabu hana akili ya kufanya exploration wala kudevelop technology ya kuchimba hayo mafuta. Mwarabu angejaliwa akili kama mzungu au myahudi huenda hali ingekuwa mbaya zaidi
[/QUOT
 
Jamani hiyo ni pakistan huyo kaekwa bond watu hawajapeleka hela za watu za sembe ndio wamefanya hivyo ili hao waliopewa sembe wapeleke hela zao
 
Jamani hiyo ni pakistan huyo kaekwa bond watu hawajapeleka hela za watu za sembe ndio wamefanya hivyo ili hao waliopewa sembe wapeleke hela zao
Kweli lugha hiyo sio kiarabu


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo ...
Unafiki unakuzunguka mwilini pamoja na damu!
Mna shida sana ....mnaomwabudu mzungu...
Wazanzibar hawalazimishi uarabu ila itabaki kuwa hivyo wao ni dam mchanganyiko!

Naona umekurupuka tena hovyo hovyo ...kusema hili... uliza vizuri ..wengi wanaokwenda huko wametoka huko huko na wanaletwa hapa na wenzenu..watanga na watu wa singida jumlisha na wa mombasa ndio waliojaa huko.
Kumbe...Ndio maana mzungu aliwaita washenzi ...moja kati ya tabia za kishenzi ndio kama hii!
Mnyammwezi lake jembe...maana yake unaijua wewe?
Tipu tipu akiwafata huko huko...kuwapeleka kule kule utumwani!

Ulaya na Arabuni! mmesahau sio?

Huko wanaenda watwana ...

Hapo Dar kuna watu maalum wanafanya hiyo biashara ya binadamu.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wabara wapo wengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sana ...

Huku wanakuja wengi sana na wanagombea nagasi za kwenda huko!
Ukatili ni kweli upo lakini uongo wa kusema eti ni wazanzibari watupu waache... maana ipo wazi % kubwa ya waliopo huko wanatoka nje ya zanzibar....
Kuna nyuzi humu iliwahi elezea hayo ...




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom