Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Acheni kudanganya watu. Huyo ni punda (mbeba unga) na aliwekwa bondi na wenzie Iran wakachukua mzigo halafu wakawa hawapokei simu. Ndio hao wenye mali wakaanza kumdunda na kuchukua video kuwatumia waliomuweka bondi. Hiyo ilikuwa toka January na tayari keshagombolewa na waliomuweka bondi. Ni mtoto wa Ilala huyo anaitwa Kaburu.
 
Kwa asili waarabu ni watesaji mno. Wana silka ya utesaji wanapopata nafasi. Wanaoenda huko ni vizuri wakawa na contacts na balozi zetu. Hata hivyo nakumbuka Rais Magufuli alishapiga marufuku kwenda kufanya kazi uarabuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watz wengi wanafosi kingi kwa kuondokea nchi jirani Malawi na Kenya

East and west home is the best
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Well said Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Undeni hata magruop ya whatsap tu muwe mnajuliana hali. Mbona vibali vya hao watu hasa wafanyakazi wa kazi za ndani vimetoka serikalini?
Mnawajua wote ila hamtaki kuwapa msaada wowote.
Wengine wamenyang'anywa passport na waajiri wao ili wasiweze kutoroka n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wasikimbilie hata ubalozini?
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika ya kusini ni mgongano wa maslahi (uchumi) ambao unaweza tatulika. Ni watu wenye njaa wanaoshambulia wageni wanaodhani wanakula vya wenyeji wenye njaa. Na lengo ni kuwatisha wageni waondoke africa ya kusini.
Uarabuni wao wana silka ya kuona raha kutesa. Mwarabu akipata fursa atakutesa tu maana anafurahia. Na wakikosa wa kumtesa hutesana wao kwa wao. Fikiria Saudia inachifanya Yemen, fikiria walichomfanya Gadafi, Saddam, Ruhani nk. Fikiria IS na boko haram.
Ni mazingira tu yanawazuia vinginevyo. Waarabu waweza kukubanika kwenye moto ukiwa hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha Umbuzi wewe, mnapenda sana kuwatupia kila baya Waarabu. Huyo ni Muhindi sio Muarabu.
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njaa zenu na ujinga ndio zimepelekea kujipeleka. Wahindi, wafilipino,wabangladeshi na mataifa mengi ya Asia watu wapo kwa mamilioni nchi za kiarabu na wamekuwa wakifanya kazi miaka nenda miaka rudi matatizo yapo.
Wavivu wakitanzanua kuanza miaka hii miwili ni malawama kama nyie ndio umnaohitajiwa kumbe ni njaa zenu. Mwarabu akulipie tiketi na vibali gharama zake ni karibu $3000 -$4,000 halafu mwezi wa kwanza tu unaleta gozigozi ni lazima wakufufirishe maanae hamna jinsi
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa. Kuna mmoja hapo Dodoma alipigwa risasi mchana kweupe mwezi wa 9 mwaka 2017. Alimiminiwa na Weusi wenzie.

Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unatetea nini hapo mtizame pale......wewe sisi tunazungumza tatizo lililopo wazi wewe unajifanya wakili wa hao watu wa saudia na oman. Haya mbona upo Tanzania. Kwann usiende ili utuonyeshe huo uzuri wao tusioujua?!

Ama haujui hao wanaodhurika ni watoto wa watu si ng'ombe wa kafara na familia zao zinawahitaji sana na kuwapenda. Hebu kuwa na utu pale unapoona tatizo linajadiliwa acha kuingiza ukinzani usio wa lazima.

Hapa tunazungumzia watu wanaodhurika na kuteseka huko oman na Saudi Arabia na sio watu waliopo South Africa. Hebu kuwa na adabu kidogo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
You're so stupid,kuuawa kwa Waafrika huko SA ndiyo iwe justification ya Waafrika kuwa tortured, tormented, abused and humiliated like the way that short video clip portrays? Are you sane?
Njia sahihi nawe ufungue thread ya abuses za SA na kwingineko na zitachangiwa kama kawaida, two wrongs don't make any shit right.
Huyo kenge hata msihangaike nae anaonekana hana akili sawa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Tatizo taarifa tunapata na video clip za kutosha ila watu bado wanakuwa wabishi wanataka tu kwenda huko bora tubaki hapa na master wetu CCM kuliko kwenda kuwa na master mwarabu wale wanadharau sana hasa watu wasio wa nchi yao

mpuuzi mpuuzi tu
Tatizo ni yale mapichapicha wanayotazama kwenye TV wakidhani kule mambo ni kama peponi, ukiambiwa kenge hasikii hadi atoke damu masikioni ndo kama hii
 
Back
Top Bottom