Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Mkuu hata middle east kuna fursa nyingi tu, tatizo ni kuangukia kwa boss wa aina gani.
Kuna watu wametoka huku wako huko lakini ukiwaeleza kuhusu haya mambo wataona kama vile unawasingizia wavaa kanzu.
Ni sawa tu na mtu ambae yupo kijijini analetewa mjini kuja kufanya kazi, wengine huangukia kwa mabosi wapole na wakarimu hivyo maisha kwao yanakua poa, ila kuna wale wanaoangukia kwa mabosi ambao ni makatili kama wanyama hapo ndipo majuto huanza.
Yote kwa yote mabalozi wetu katika nchi nyingi wanazopelekwa hua hawaendi kufanya kazi walizotumwa zaidi wao ni kula bata tu.

Maendeleo hayana chama
Well said , ndio maana nimesema balozi ziwe zinafatilia changamoto mbalimbali za watu wao huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwarabu anatumia physical torture wakati mzungu anatumia psychological torture, wote ni mawakala wa ibilisi
 
Huko nyumbani wanajua kuamrisha watu kuja kuripoti police tu
Lakini huu utaratibu wangeufanya pia kwenye balozi na kuwaambia hao wanaowadhamini na kuwachukua watoto wetu wawe wanawaleta au kuwatuma wafike balozini mara moja kwa mwezi na hiyo iwe kwenye mkataba anaosaini huyo Mwarabu.
Najua ubunifu ni zero kwa watu waliopewa majukumu na Rais yaani wanakula bata tu huko na hata fursa za kuchangamkia hawazioni wamefungwa macho na ufahamu.

Hakuna kusaini mkataba bila hicho kipengele kwani wanaingiza $ ngapi hao ndugu zetu kwa mwaka? Au wanaajiri engineers?
Wanawatumikisha masaa 20 kwa siku halafu na kuwapiga juu na kuwabaka juu halafu mnashindwa kuwa protect
What a shame
Kama mnashindwa kuwaangalia na kuwajali bali msitoe hizo ajira

Kuwaoana kila mwezi itasaidia sana hata kama wakilalamika kuwa wanapigwa au hawawezi kufanya kazi hizo masaa 20 unafuta mkataba with immediate effect
Hakuna kumbeba mfadhili kama anatuingizia mabillion kwetu HELL NO

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Mmeacha kukaza matako hapa nyumbani, mnakwenda kulegeza huko kwa wanaume wenzenu, wacha wawavuruge na malinda kabisa pumbaavu.

Mbaga zaidi unakwenda nchi za watu ukijua kabisa security kwako ni zero, unajichanganya kwenye mitikazi siyi, wizi, utapeli, uvivu nk, unategemea muujiza gani[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app

Uislam ni dini ya HAKI[emoji41]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko nyumbani wanajua kuamrisha watu kuja kuripoti police tu
Lakini huu utaratibu wangeufanya pia kwenye balozi na kuwaambia hao wanaowadhamini na kuwachukua watoto wetu wawe wanawaleta au kuwatuma wafike balozini mara moja kwa mwezi na hiyo iwe kwenye mkataba anaosaini huyo Mwarabu.
Najua ubunifu ni zero kwa watu waliopewa majukumu na Rais yaani wanakula bata tu huko na hata fursa za kuchangamkia hawazioni wamefungwa macho na ufahamu.

Hakuna kusaini mkataba bila hicho kipengele kwani wanaingiza $ ngapi hao ndugu zetu kwa mwaka? Au wanaajiri engineers?
Wanawatumikisha masaa 20 kwa siku halafu na kuwapiga juu na kuwabaka juu halafu mnashindwa kuwa protect
What a shame
Kama mnashindwa kuwaangalia na kuwajali bali msitoe hizo ajira

Kuwaoana kila mwezi itasaidia sana hata kama wakilalamika kuwa wanapigwa au hawawezi kufanya kazi hizo masaa 20 unafuta mkataba with immediate effect
Hakuna kumbeba mfadhili kama anatuingizia mabillion kwetu HELL NO

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Umeongea point sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea point sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaonewa sana mkuu na mabalozi wamekaa kimya
Na serikali haijali raia wake pia
Nchi kama UK hata mwananchi akihukumiwa kifo nchi nyingine watahakikisha mpaka waziri mkuu anaingilia au kwenda kabisa huko kumtoa.

Itakuwa wa kwetu wanaobakwa kila kukicha na hakuna wa kuwatetea
I wish I could be Balozi


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kaka uwe unaandika ukiwa na uhakika. Ramaphosa amekemea vikali sana kuhusu hili lakini kiongozi mkubwa wa upinzani Julius Malema amewaambia Wasouth ni bora hata wasimpe kura uchaguzi wa May kuliko kuendelea kuwaua na kuwaharibia biashara Waafrika wenzao. Fuatilia hotuba hizo YouTube

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo fujo zimestopishwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nieingalia hiyo video clip lakn nimeshindwa kugundua kama anaepewa kichapo anatoka nchi gani.

Mim sijawai kuwaamin waarabu na wahind katika kushirikiana nao kwa kaz yeyote ile.

Nikiwaona nahis kichefuchefu , asilimia kubwa ni watu wa hovyo kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena wahindi ni ovyooo zaidi ya ovyoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unafiki upo wapi?? Hujaona post humj watu wakilalamika kihusu yanayo endelea south??

Na hii post inahusu uarabuni huko,hakuna cha unafiki hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena wahindi ni ovyooo zaidi ya ovyoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia hii ina maajabu sana
Wahindi huko Africa wanatamba kiasi anaweza hata kukufunga kwa nguvu ya hela
Lakini najua hali zao pia huko uarabuni ambapo kazi zao ni za ndani na kusafisha vyombo na kukata garden yaani the worst jobs ndio wanafanya na makofi juu

I was there for many years na nimeshuhudia wakitumiminia kahawa huku wamesimama for hours (wakome)

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Mnalalamika nini hapaa sasa..
Dini mmeletewa..mkaacha zenu mkafuata za muaarabu..

Huwezi dhaminiwa kama ww hujidhamini..acha achapwe zaidii akitoka hapo akili zitakaa sawa..

Yeyote atakae acha vyakwake akaenda kwa mwingine atabaguliwa tuu..yanii wawatandike hata na fimbo za misumari..kuondoa huo Ukumbafu uliootasugu kichwani
 
Tatizo taarifa tunapata na video clip za kutosha ila watu bado wanakuwa wabishi wanataka tu kwenda huko bora tubaki hapa na master wetu CCM kuliko kwenda kuwa na master mwarabu wale wanadharau sana hasa watu wasio wa nchi yao

mpuuzi mpuuzi tu
 
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa asili waarabu ni watesaji mno. Wana silka ya utesaji wanapopata nafasi. Wanaoenda huko ni vizuri wakawa na contacts na balozi zetu. Hata hivyo nakumbuka Rais Magufuli alishapiga marufuku kwenda kufanya kazi uarabuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwarabu anatumia physical torture wakati mzungu anatumia psychological torture, wote ni mawakala wa ibilisi

Ibilisii...ni hao!/sisi weusi tusiotaka/kujikubali na kuendekeza ujinga tulioaminishwa na Hawa makaburu wa Kiarabu na Kizungu, mfano Dini...

Makaburu wanafuata upumbavu wetu tuu..
#ignorance is the worse devil/jini/ibilisi etc
 
Vijana Punguzeni chuki zenu, Mana hapa kuna watu wamevamia dini ya watu, waarabu, wazanzibari. Wakuu mbona mnakua na roho mbaya kiasi hiko. Huko SA watu wanauliwa mbona mumekaa kimya mnatoa tovu kwa mtu anaepigwa mikwaju?

Na pia siku ya pili mujue kutafautisha hao si waarabu hao ni wahindi. Inaonekanwa hilo tukio kama ni Pakistan. Na mara nyingi kesi za pakistan usikute jamaa aliekwa bondi wenziwe wameingia mitiini.
 
Back
Top Bottom