Naomba kuuliza alivyopigwa hizo picha alikuwa amelala? ? Maana sitaki kum judge kwa hilo kwanzaInaweza ikatokea siku moja na wewe ukapigwa hizo picha na usigome kupigwa...!
bi dada kitandani kuna mambo mengi yanayoendelea tena ni invicible, we huoni mwenzako anayaona na kuyafanya pasipo wewe kujielewa.,. Ukishakuwa celeb kuwa makini na mambo ya faragha..!Naomba kuuliza alivyopigwa hizo picha alikuwa amelala? ? Maana sitaki kum judge kwa hilo kwanza
dah..! nimecheka sana,.Atulie apige kazi ipi sasa wakati hiyo ndio kazi ya bongo movie wa kike. We unadhani kuna sanaa gani ya kuwalipa kiasi cha kuishi maisha wanayoishi? Harmonize ni fursa, apendwe kwa sura ipi.
fanya kugoogle .Picha tafadhali mimi simjui huyo wolper wala harmonize!!
Haaaaaaa olivia mbavu zangu...aibu mpk katia huruma sikumuelewaMchaga mwenzake Wolper hivi umegundua kama Jana mchaga mwenzako alikua amelewa?
Habari,
Nimekua mda mrefu nikiwachukia wanawake wa bongo movie au mastaa wengi wa kike hapa nchini kutokana na tabia zao zenye ishara ya ukahaba.
Kwani mtoto wa kimakonde hastahili kutoka na Wolper!? Mwache mdogo wangu, tang'una limbende mwana mati anevo valume va dar vavena malove muchi vamahe!
Jack Wolper nae ametokea kunifanya nimwone ovyo baada ya kuanza kutoka na mtoto mdogo Harmonize wakati ametoka kuchumbiwa hivi karibuni, mbaya zaidi kujiachia na mambo ya chumbani adhara na yule mtoto wa kimakonde ambaye ni mdogo wake na wala hawaendani.
Lakini jana nilipokua nachek take one ya Zamaradi ndipo nilipo muelewa Jack na kuona amepitia mateso makali sana kisaikolojia kupitia yule mchumba wake ambaye anaitwa mkongo, alikua too deeper kihisia kuonesha ni kiasi gani alimpenda yule jamaa na mbaya zaidi akimvumilia na kugombana na watu wake wa karibu kwa ajili yake, mwisho wa siku jamaa kumbe ni mme wa mtu na mtoto, tena bado yupo karibu na familia yake lakini nia yake amharibie maisha mtoto wa watu dada yangu mchaga mwenzangu.
Vitendo vya aibu kumpiga picha za uchi pengine hata kumrekodi na mengine mengi inaonekana amefanyiwa huyu dada na jamaa mkongo.
Jacky naye baada ya kuchanganywa mkongo akaona ajitulize kwa dogo Harmonize ili afute kumbukumbu ya x wake wakati kimsingi anajiongezea matatizo kwasababu huyu dogo na kundi lake ni ma womanizer atamtumia nakumdampu huku akiwa kajishushia heshima na kujizidishia mkosi katika maisha yake.Sasa angetulia akapiga kazi kwani kwa mwanamke wa kichaga mapezi si kitu kwake zaidi ya pesa hasa akisha tendwa.
Naomba mtu wake wa karibu amfikishie.
My take:Wadada wa mjini msikurupukie wageni.
Mi nawaunga mkono, watu wazima wengi(sio wote) wametulia na wanajielewa, ukitaka stress toka na watoto wa chuo, halafu kwenye mapenzi muhimu mawelewano kuliko umriWCB hizo ndio kanuni Za Maisha lazima watoke Na watu wazima angazia Daimond vs Zari,Mose lyobo vs Anti Ezakiel na Harmonies vs Jack Wolper
ila huyo jamaa aliyefanya hivyo awekwe ndani ili apate akiliHata mwanamke awe malaya au hajatulia hauna haki ya kupiga picha za uchi.
Umejaribu kupata na hadithi ya huyo mtuhumiwa? My brother ask me about those yellow pigs (sorry to say this)huwafamu bongo movie vizuri they are pretenders and most hated creatures. . . nobody with his nerves can date them...! Namaanisha...[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Habari,
Nimekua mda mrefu nikiwachukia wanawake wa bongo movie au mastaa wengi wa kike hapa nchini kutokana na tabia zao zenye ishara ya ukahaba.
Jack Wolper nae ametokea kunifanya nimwone ovyo baada ya kuanza kutoka na mtoto mdogo Harmonize wakati ametoka kuchumbiwa hivi karibuni, mbaya zaidi kujiachia na mambo ya chumbani adhara na yule mtoto wa kimakonde ambaye ni mdogo wake na wala hawaendani.
Lakini jana nilipokua nachek take one ya Zamaradi ndipo nilipo muelewa Jack na kuona amepitia mateso makali sana kisaikolojia kupitia yule mchumba wake ambaye anaitwa mkongo, alikua too deeper kihisia kuonesha ni kiasi gani alimpenda yule jamaa na mbaya zaidi akimvumilia na kugombana na watu wake wa karibu kwa ajili yake, mwisho wa siku jamaa kumbe ni mme wa mtu na mtoto, tena bado yupo karibu na familia yake lakini nia yake amharibie maisha mtoto wa watu dada yangu mchaga mwenzangu.
Vitendo vya aibu kumpiga picha za uchi pengine hata kumrekodi na mengine mengi inaonekana amefanyiwa huyu dada na jamaa mkongo.
Jacky naye baada ya kuchanganywa mkongo akaona ajitulize kwa dogo Harmonize ili afute kumbukumbu ya x wake wakati kimsingi anajiongezea matatizo kwasababu huyu dogo na kundi lake ni ma womanizer atamtumia nakumdampu huku akiwa kajishushia heshima na kujizidishia mkosi katika maisha yake.Sasa angetulia akapiga kazi kwani kwa mwanamke wa kichaga mapezi si kitu kwake zaidi ya pesa hasa akisha tendwa.
Naomba mtu wake wa karibu amfikishie.
My take:Wadada wa mjini msikurupukie wageni.
huwezi kujuaKwa nilivyoona kipindi cha jana nahisi wolper hayuko sawa kiakili, aidha kwa stress au yanayomtokea katika maisha yake katika kipindi hiki chote. Hata uamuzi wa kuwa na harmonize (rajabu kama anavyomuita mwenyewe) sidhani kama ni sahihi kwake. Watu wake wa karibu wakae nae chini na kumpa ushauri utakaomweka sawa kiakili vinginevyo anaelekea kubaya.
Huoni sababu yake kumpenda rajab , ni sahihi ?Hana lolote hayo machozi ni yakinafki tu, ataka aonewe huruma na watu wayabariki hayo madudu yao na huyo mtoto.
Eti "nampenda Raji(harmonize) coz ana khofu ya Mungu..."
Hahahaha unanifanya nicheke zaidi,huwezi kujua
Huoni sababu yake kumpenda rajab , ni sahihi ?