Hehehehe nasikia mahabusu ndiko kunafanyika maombi na sala kuliko hata makanisaniBoss ulishakaa hata kituo ya police Kwa saa 24
Siku utakapokaa kituo ya police at least Kwa siku 2 utakuja kuandika huu Uzi vizur
Na utatoa hizo unazo andika kuwa" inasemekana"
I stayed in custody for 9 days and I came out as better person with enough characters
mfungwa aje atie neno hapa.Kunayoyote around hapa aliyewahi kula mvua nakwenda kutumikia kifungo?
Atupe mawili matatu, Wafungwa watarajiwa ~ Magufuli voicemfungwa aje atie neno hapa.
Ndo wapi huko mkuu..?TANZANIA BARA
Kuna
*Magereza makuu 12
*Magereza ya wilaya 68
*Magereza ya kilimo 46
Jumla kuu 126
Nenda pale Kasungamile wiki moja TU utaomba poo
Ukiwa mwanaume lazima uwe tayar kwa chochote muda wowote..Kunayoyote around hapa aliyewahi kula mvua nakwenda kutumikia kifungo?
1. Namshukuru Mungu kwa kuwa mpaka sasa sijawahi kuwekwa rumande wala kukaa gerezaniJapo uzi wako umetawaliwa na neno inasemekana ila nikuulize wewe swali rahisi tu,
Sikuombei mabaya ila mfano wewe ukifungwa na ukayakuta hayo mateso huko Jela,je utajirekebisha au utarudia tena kufanya makosa ili urudishwe huko tena?
Leta maneno tuyaskieSijawahi kukaa jela ila kwa ambayo nilisimuliwa na waliokaa naomba sana nisije ingia jela. Jela za Bongo kama huna pesa shughuli yake sio kitoto.
Wilaya ya SengeremaNdo wapi huko mkuu..?
Aisee, balaa sana.Wilaya ya Sengerema
Ni Jambo jema Sanaa sanaaaAisee, balaa sana.
Mungu anisaidie tu ila kuna siku nitatoa msaada gerezani wa mattresses na kupiga rangi gereza zima. Haya ya wilaya yana hali mbaya sana.
Ila uhalifu wanaofanya siyo uhalifu ?Inatakiwa ifanye mtu awe na faragha.
Sasa kulaza watu kama siafu chumba kimoja hata kama ni wahalifu ni ushetani tu.
Yote ayo kasolo muda wa kulala tu vingine vyote Sababu ni umasikini. Magereza yanaidadi kubwa ya wafungwa kuliko uwezo wa gereza.
Weeee lo lazima wanapata funzo bana! Nasikia kule si lelemama
Uyasikie au uyasome?Leta maneno tuyaskie