Kwani nyie Mungu wenu kawaagiza kutafuta nini duniani hapa hicho 'ambacho wengine wanakipata' na mtakwenda nacho huko peponi?
HAKI ipi mnaitaka duniani hapa na nani haonewi?
Mzee wangu habari yako.
Naomba kusema kuwa mimi siungi mkono kabisa unyanyasaji huo kama kweli unafanywa dhidi yao.
Pili naomba kukuuliza mzee wangu kuwa hawa mashekhe wakati wanahubiri unadhani walikuwa wanatumia haki ya kikatiba vizuri ?
Bakwata siyo waislamu ni taasisi iliyojichimbia mizizi ndani ya usalama wa nchiSheikh Mohammed Allah akulipe kila lakheri!
Ni wachache sana wenye imani na huruma kama wewe, siku hizi waislamu JINA wako wengi tu, utamuona mtu kakuvalia kanzu na kofia kumbe mnafiq mkubwa, ndio ujue wengi wao wako kimaslahi na si kwa ajili ya Allah na kuwasaidia waislam.
Kikwete na Mohamed shein wote hawa ni waislamu, je walishindwa nini kuwatoa hawa masheikh kama ni waumini wakweli na wanamuogopa Allah SW! Viongozi wa bakwata pia kazi kumsifia mkulu tu mpaka anatolewa mfano kwa manabii, huku wamekaa kimya kuhusu masheikh.
Ivyo Waumini ni wachache sana, wengi wao wapo kidunia tu.
Mwana Ccm kindakindaki uhai wa mtu kwako si kituAmani ya nchi hii ni bora mara mia kuliko uhai wa magaidi wachache. Bado nasisitiza hawa wanyongwe haraka. Wewe mleta mada funga domo kabisa yaani hata usiote tena hoja kama hizi. Msitumie uislamu kama kichaka. Huyo Ponda mwenyewe wanamlea sana angeshatua ahera long time. AMANI YA TANZANIA NI BORA KUKIKO DINI. Povu ruksa.
Kama wana makosa wafungwe hakuna anayesema hawana makosa ama wana makosa lakini wapo ndani kwa miaka 7 kwanini hivyo?Hivi kweli watu wanaweza kuonewa hivi bila hatia?,mwenye kuweza kututhibitishia hawa jamaa hawana makosa afanye hivyo pia atukumbushe nini kilitokea hata wakawa huko waliko.
Hapo nimekuelewa chiefKama wana makosa wafungwe hakuna anayesema hawana makosa ama wana makosa lakini wapo ndani kwa miaka 7 kwanini hivyo?
Kama hakuna ushahidi wowote wa kuwatia hatiani wawaachie huru,
Kama kuna ushahidi wowote wa kuwatia hatiani wafungwe.
Asante kwa kuelewaHapo nimekuelewa chief
Sheikh Mohammed Allah akulipe kila lakheri!
Ni wachache sana wenye imani na huruma kama wewe, siku hizi waislamu JINA wako wengi tu, utamuona mtu kakuvalia kanzu na kofia kumbe mnafiq mkubwa, ndio ujue wengi wao wako kimaslahi na si kwa ajili ya Allah na kuwasaidia waislam.
Kikwete na Mohamed shein wote hawa ni waislamu, je walishindwa nini kuwatoa hawa masheikh kama ni waumini wakweli na wanamuogopa Allah SW! Viongozi wa bakwata pia kazi kumsifia mkulu tu mpaka anatolewa mfano kwa manabii, huku wamekaa kimya kuhusu masheikh.
Ivyo Waumini ni wachache sana, wengi wao wapo kidunia tu.
Amani ya nchi hii ni bora mara mia kuliko uhai wa magaidi wachache. Bado nasisitiza hawa wanyongwe haraka. Wewe mleta mada funga domo kabisa yaani hata usiote tena hoja kama hizi. Msitumie uislamu kama kichaka. Huyo Ponda mwenyewe wanamlea sana angeshatua ahera long time. AMANI YA TANZANIA NI BORA KUKIKO DINI. Povu ruksa.
Kuanzia wamekamatwa hao wahuni magaidi umesikia padre kapigwa risasi ?! Watu wamemwagiwa tindikali hasa watalii na viongozi kama shea wa Tomondo! Makanisa na ofisi za serikali kuchomwa moto. Unguja na Pemba sasa hivi Amani teleee. Waozee humo humo au wauawe kabisa.
Mkuu mbona mimi sijakusudia shari ?Mwaposa alipo sababisha mauaji kule moshi-Kilimanjaro unadhani alitumia haki yake ya kikatiba vizuri?
Mwaposa yupo gerezani?
Gwajima alipotukana uislamu na waislamu unadhani alitumia haki yake kikatiba vizuri?
Gwajima yupo gerezani?
Allah akulipe kwa hayo maneno.Amani ya nchi hii ni bora mara mia kuliko uhai wa magaidi wachache. Bado nasisitiza hawa wanyongwe haraka. Wewe mleta mada funga domo kabisa yaani hata usiote tena hoja kama hizi. Msitumie uislamu kama kichaka. Huyo Ponda mwenyewe wanamlea sana angeshatua ahera long time. AMANI YA TANZANIA NI BORA KUKIKO DINI. Povu ruksa.
Mokaze,Mohamed, ni nani huyo anayekuambia???.