Sheikh Mohammed Allah akulipe kila lakheri!
Ni wachache sana wenye imani na huruma kama wewe, siku hizi waislamu JINA wako wengi tu, utamuona mtu kakuvalia kanzu na kofia kumbe mnafiq mkubwa, ndio ujue wengi wao wako kimaslahi na si kwa ajili ya Allah na kuwasaidia waislam.
Kikwete na Mohamed shein wote hawa ni waislamu, je walishindwa nini kuwatoa hawa masheikh kama ni waumini wakweli na wanamuogopa Allah SW! Viongozi wa bakwata pia kazi kumsifia mkulu tu mpaka anatolewa mfano kwa manabii, huku wamekaa kimya kuhusu masheikh.
Ivyo Waumini ni wachache sana, wengi wao wapo kidunia tu.