Mateso ya Masheikh wetu

Status
Not open for further replies.

Mhhh! Ndiomaana ukajiita fisi,,,nadhani akili za fisi unazijua
 
Hao ni magaidi na wafie hukohuko rumande, tangu wawe rumande saivi hali ni shwari.....Nyapala endeleeni kula tundu la hao magaidi huko Jela.
 
Kuanzia wamekamatwa hao wahuni magaidi umesikia padre kapigwa risasi ?! Watu wamemwagiwa tindikali hasa watalii na viongozi kama shea wa Tomondo! Makanisa na ofisi za serikali kuchomwa moto. Unguja na Pemba sasa hivi Amani teleee. Waozee humo humo au wauawe kabisa.
 
Allah akulipe kwa hayo maneno.


Na assume ungekaa wew miaka 7 au ndugu yako.... sio kucoment coment tyuu.

Nawewe assume ndugu yako angevhomewa nyumba au kupigwa hadi kuuawa kwa sababu ni Mkristo au wewe mwenyewe ukauawa. Waacheni wanyee debe tu hiyo ndio dawa yao
 


Dunia inawashughulisha ndio maana wapo kimya mpaka leo, si kikwete wala shein wote lwao moja, wanakula bata na familia zao huku dungu zao wanapata mateso makubwa,,, Allah atawalipa!
 

Maneno yasio na hekma/busara,, Ndio maana ukajiita BOYA
 

Maneno yasio na hekma/busara,, Ndio maana ukajiita BOYA
 
Nakubaliana na wewe kuwa si kosa kuitaadhalisha serikali inapofanya makosa na pia wa kuogopwa ni Allah yes na tukubaliane sasa kuwa hii ni serikali ya kidhalimu kwasababu tayari imekwisha kuwadhulumu watu uhuru wao mchana kweupe.
Pia nadhani hatuna kitu kinacchoitwa bunge nchi hii maana kunawezaje kupitishwa sheria kama ile sijui ya uhujumu uchumi ati unafungwa kwanza kujitetetea au kusikilizwa baadae. Mtanzania kwa sheria ile akizaliwa tu ni guilty till proven innocent yaaani kinyume kabisaaa
 
Mshukuruni JK lasivyo wangeshakua marehemu na kuwasahau.
nasema hivii watatunzwa Hadi pale tutapoona sio kitisho tena

Sheikh Abud rugo wa Mombasa marehem uamsho ndani cost imetulia


Mwaposa alipo sababisha mauaji kule moshi-Kilimanjaro unadhani alitumia haki yake ya kikatiba vizuri?

Mwaposa yupo gerezani?

Gwajima alipotukana uislamu na waislamu unadhani alitumia haki yake kikatiba vizuri?

Gwajima yupo gerezani ?
 

Lini wakutwa na kosa Mahakamani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…