ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
.....Bwana mkubwa,utalea mwanao!Ndipo Yule kaisari akajibu.....
Kabla ya machweo ya alfajiri kuwia walionekana pia wavaa majoho ya kijani wakiranda randa maeneo ya hekalu la Yule nabii aliyetabiri kuondolewa Kabisa mabusha katika ufalme wake...soma waraka wa kwanza kwa wafuasi wa Yule mtawala Mkuu 2015 Aya ya kumi na mbiliNao wakazi wa mji wakamshangilia mkuu wao wakisema Ubarikiwe ee mkuu sana abarikiwe na baba yako Kipara maana enzi ya enzini ni yake milele.Ndipo wakuu wa wale watumishi majoho meupe wakatahayari wakainamisha nyuso zao wakaondoka vichwa chini kwa huzuni huku wakipiga piga vifua vyao
Je Wewe huna uwezo wa kuwa na mwanao mwenyewe??? Hadi ulee wawafilisti hawa???.....Bwana mkubwa,utalea mwanao!
Je Wewe huna uwezo wa kuwa na mwanao mwenyewe??? Hadi ulee wa wafilisti hawa???
Naye mkuu wa wavaa majoho akapaza sauti akisema hakika kiti changu kimetetemeka! Nao wanamji wakalia kwa sauti kuu wakisema "tumekuchoka"!je haitupasi kulihama jiji hili?Kabla ya machweo ya alfajiri kuwia walionekana pia wavaa majoho ya kijani wakiranda randa maeneo ya hekalu la Yule nabii aliyetabiri kuondolewa Kabisa mabusha katika ufalme wake...soma waraka wa kwanza kwa wafuasi wa Yule mtawala Mkuu 2015 Aya ya kumi na mbili
Ndipo malaika akamtokea katika ndoto nakusema rudi ukanyenyekee chini ya mkono wa huyu kiranja mkuu,je hujui kama yeye anayo mamlaka ya kukuhamisha katika hilo jiji?maana tazama bwana amempa yeye kulimilikiJe Wewe huna uwezo wa kuwa na mwanao mwenyewe??? Hadi ulee wawafilisti hawa???
Ndipo Yule mtoza ushuru maarufu aishie nchi ya ng'ambo akawaandikia barua wanamji wote akipaaza sauti yake akasema....Ndipo malaika akamtokea katika ndoto nakusema rudi ukanyenyekee chini ya mkono wa huyu kiranja mkuu,je hujui kama yeye anayo mamlaka ya kukuhamisha katika hilo jiji?maana tazama bwana amempa yeye kulimiliki
Ninyi hamjui kuwa yapasa mtu mmoja afe kwa ajili ya wengine,ili taifa zima lisiangamie? Basi wakuu wa mafarisayo wakatafuta kumkamata lakini herode mkuu akasema "wewe chapa kazi,mimi nimekuona unafaa hata kama hujui kusoma" .na makutano yote yakainama chini.Ndipo Yule mtoza ushuru maarufu aishie nchi ya ng'ambo akawaandikia barua wanamji wote akipaaza sauti yake akasema....
Changia tu mkuu,ndugu zetu wanateseka sana mpaka kuna mmoja ameapa kwa hasara yake kuwa anaenda kuroga![emoji2] Napita tuu, ila nimependa huu Uzi walahi
Ndipo akatokea Yule kaisari Mkuu wa watoza ushuru akasimama mbele ya baraza na kupaaza sauti kwa nguvu akasema "kuna dinari 1.5 zimeliwa na wevi na wanyanganyi" Ndipo akatokea mmojawapo wa wafuasi wa Yule msamaria jina lake tozibweka na kusema arudisheeee!!!!!Ninyi hamjui kuwa yapasa mtu mmoja afe kwa ajili ya wengine,ili taifa zima lisiangamie? Basi wakuu wa mafarisayo wakatafuta kumkamata lakini herode mkuu akasema "wewe chapa kazi,mimi nimekuona unafaa hata kama hujui kusoma" .na makutano yote yakainama chini.
Ndipo Kaisari akasema niliyotumia nimetumia.Ndipo akatokea Yule kaisari Mkuu wa watoza ushuru akasimama mbele ya baraza na kupaaza sauti kwa nguvu akasema "kuna dinari 1.5 zimeliwa na wevi na wanyanganyi" Ndipo akatokea mmojawapo wa wafuasi wa Yule msamaria jina lake tozibweka na kusema arudisheeee!!!!!
Mara Kabla ya ile siku kuu kubwa ya kuchanganya ardhi na maji kuwadia walionekana wanapunda jamii ya bombadeer wakiranda randa angani Karibia na hekalu la Yule kaisari Mkuu kushinda wote katika hema lileNdipo Kaisari akasema niliyotumia nimetumia.
Nalo jeshi la pilato likatoa tamko kuhusu kukusanyika bila kibali mjini mwa Daudi karibu na bahari ya galilaya....wakasema hii ni nchi niliyompa mwanangu mpendwa wangu iwe urithi wake,mbona mnapanga ghasia na kutafakari ubatili juu yake?Mara Kabla ya ile siku kuu kubwa ya kuchanganya ardhi na maji kuwadia walionekana wanapunda jamii ya bombadeer wakiranda randa angani Karibia na hekalu la Yule kaisari Mkuu kushinda wote katika hema lile
Nalo jeshi la pilato likatoa tamko kuhusu kukusanyika bila kibali mjini mwa Daudi karibu na bahari ya galilaya....wakasema hii ni nchi niliyompa mwanangu mpendwa wangu iwe urithi wake,mbona mnapanga ghasia na kutafakari ubatili juu yake?