ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Wakati ule amri ilitolewa na mfalme wa jiji kuwaita wote waliotelekezwa pamoja na watoto wao.
Hata walipofika ndani ya praitorio akainuka Bashite akawaambia, amani iwe kwenu enyi wakina mama kwa kuwa nimeyaona mateso yenu!!hamtahangaika peke yenu tena. Basi wakapaza sauti wakisema "walete,walete!wasulubishe".Naye akawauliza,"niwasulubishe waume zenu?"wakamjibu sisi hatuna mume ila Bashite,kila ajifanyaye kuwa mume wetu humfitini makamu" .
Hata walipofika ndani ya praitorio akainuka Bashite akawaambia, amani iwe kwenu enyi wakina mama kwa kuwa nimeyaona mateso yenu!!hamtahangaika peke yenu tena. Basi wakapaza sauti wakisema "walete,walete!wasulubishe".Naye akawauliza,"niwasulubishe waume zenu?"wakamjibu sisi hatuna mume ila Bashite,kila ajifanyaye kuwa mume wetu humfitini makamu" .