Darling umechanganyikiwa nini? nitakasirika sasa hivi! Naomba utoke huko bar counter naona kunakuchanganya!
Ni PM fasta basi dada. Hapa naona tunaenda off topic, wale jamaa wakiamka itakuwa balaa.
mimi huwa simegi.
lakini hata nikimega haruhusiwi kuhoji
Hao tutawamudu tuu wala wasikupe tabu. huyo jamaa kwenye topic atakuwa analazimishwa kufanya so practically atakuwa anabakwa na mwanamama huyo.ushauri nimeshampa hapo juu sijui chini
wewe bado hujapenda!tena hamnaga watu weupe kama type yako.ukiukubali mpini wewe utasahau kwenudu, sio Nyamayao huyo, hao wanawake wenu mnawapa nini mpaka wawe viziwi/vipofu ki hivyo? cruhucwi kuhoji? ohaaa tutakesha walaaah.
wewe bado hujapenda!tena hamnaga watu weupe kama type yako.ukiukubali mpini wewe utasahau kwenu
Mpwa nimeisahau mawani yangu. Hebu nisomee hiyo red na kuidadabua.
wewe bado hujapenda!tena hamnaga watu weupe kama type yako.ukiukubali mpini wewe utasahau kwenu
nampenda sana mr na anajua kuwa nampenda/namjali, lakini upuuzi anajua kwangu hauwezekani kabisa, yaani hauna nafac....upo hapo?
Yani watu wa humu hawajatulia kwa kweli.Mnavyosema mnamega mjue na wake zenu nao wanafanyiwa hayohayo,na msingefanya basi na wako hatafanyiwa.
Mkumbukeni YUSUFU wa Israel enzi hizo.alimkimbia mke wa bosi,akasingiziwa alitaka kubaka lakini siku moja ukweli ulijulikana na heshima yake iliongezeka mara mia kidogo.Na wewe ukifanya na ikigundulika heshima yako yote itapotea.
how do i prove it?
na je,kwa huyo rafiki yako aliyekuja mombasa upuuzi una nafasi kwake?
G hapa tunaongelea ishu ya wewe kusema hata akijua umefanya hatakiwi kukuhoji, c ndio? mie ndio nakwambia kuwa kukuhoji nitakuhoji sana tena sana na baada ya hapo ndio nitajua kifuatacho, huyu frnd wangu yeye anasema ameshindwa kusahau kitendo mr wake alichomfanyia pa1 na kumjali kwa namna moja au nyingine lakini matokeo yake ndio kutendwa na yeye akaamua kufata njia anayoiona ni sahihi kwa upande wake, nadhani unaelewa hapo kwamba mr ndio alianza mke kamalizia coz ali prove kabisa na imani kwa mr wake ikamuishia akachagua plan b, sasa ndio hayo mnayoyataka kwenye nyumba zenu? na hapo ujue akibeba mimba mr wake atalea kama wake kumbe sio, unaona game hizo?
no no no no no no no no!
GOD FORBID!nikifanyiwa hili i gotta shoot a woman
Ki vp bibie inamaana kitu ka hii haitokei huko maofisini?haya mambo bwana yasikieni tu hapa watu wanongea kujifurahisha teh teh hamna lolote
Naomba nifafanulie hiyo red.
Du mpenzi usiniangushe jamani, i thought you are different😕
Ki vp bibie inamaana kitu ka hii haitokei huko maofisini?
Watu hamuogopi magonjwa?Hata kama ni free pussy, hebu kuweni na ubinadamu basiiiiii!!!!