G hapa tunaongelea ishu ya wewe kusema hata akijua umefanya hatakiwi kukuhoji, c ndio? mie ndio nakwambia kuwa kukuhoji nitakuhoji sana tena sana na baada ya hapo ndio nitajua kifuatacho, huyu frnd wangu yeye anasema ameshindwa kusahau kitendo mr wake alichomfanyia pa1 na kumjali kwa namna moja au nyingine lakini matokeo yake ndio kutendwa na yeye akaamua kufata njia anayoiona ni sahihi kwa upande wake, nadhani unaelewa hapo kwamba mr ndio alianza mke kamalizia coz ali prove kabisa na imani kwa mr wake ikamuishia akachagua plan b, sasa ndio hayo mnayoyataka kwenye nyumba zenu? na hapo ujue akibeba mimba mr wake atalea kama wake kumbe sio, unaona game hizo?