FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
unaweza mpaka ukaingia kaburini ucjue lolote, wacheni bwana nyie yaani nyie mnavyojiona mnajua kucheza game mjue na wanawake wanajua pia, ki ukweli huyu frnd wangu alikuwa namjali/kumpenda sana mr wake lakini tamaa za mr zikampasua nyongo dada wa watu akafanya anayofanya kwa kulipiza kisasi sasa kanogewa na huyo mzee mpya hajali lolote kwa mr wake, sasa mnaona mnavyobadilisha akili ya mtu kutoka kulia kwenda kushoto? hakuna maelezo hapo mr atalea mtoto kama ifuatavyo na baba halic atamtunza mtoto wake pia....mkiambiwa mtulie na wake zenu hamckii ndio mambo kama haya yanawakuta.
inauma eeeh mkuu!, vp na wewe ukimega wa watu, ushutiwe au usamehewe?, hhaaaaaa, ni mtizamo tu mkuu, hata mie nikigundua wangu anamegwa ntafanya unyambisi wa ajabu serikali inilaumu.mtu akimega mke wangu NIKAPROVE,
i just shoot him,period
du na husb kajua kama kiumbe sio chake ??
inauma eeeh mkuu!, vp na wewe ukimega wa watu, ushutiwe au usamehewe?, hhaaaaaa, ni mtizamo tu mkuu, hata mie nikigundua wangu anamegwa ntafanya unyambisi wa ajabu serikali inilaumu.
huh huh huuu! ita polisi kama una hasiramitego mingine lawama tu, no way out nafanya kazi na msisitizo wa Tigo ili kuweka heshima.
sasa mbona nyie mnakuwa wakali sana ka wake zenu wakati nyie mnayowafinyia wake zenu kinyume mnaona sawa tu.....
sasa mbona nyie mnakuwa wakali sana ka wake zenu wakati nyie mnayowafinyia wake zenu kinyume mnaona sawa tu.....
like this! hahahaaa!!!tanzania bila ukimwi inawezekana
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika purukushani za huku na kule umemuweka alama katika mwili wake na nguo imechanika na hilo ndio lilkuwa kusudia lake baada ya hapo akakwambia(kukueleza) leo unifanye au nitasema umenibaka kwa nguvu ,Jee nini utakuwa uwamuzi wako?
mimi hata n ikimega nje,mke wangu hawezi kujua.na hata akijua,hana authority juu ya hilo tukio,ni kwamba tunaweza kuongea tukalimaliza,NA ANAJUA HILO.that's human nature
....lakini yeye AKIMEGWa!OOH dear god....!ni topic nyingine kabisa
haya mambo bwana yasikieni tu hapa watu wanongea kujifurahisha teh teh hamna lolote
huh huh huuu! ita polisi kama una hasira
LOL kumbe una vijimaneno eh! lo umenikumbusha mbali😀
wee mlugulu umehadimika kama jasho la panzi....