Mathalan umekutokea mtihani kama huu utafanya mamuzi gani?


du na husb kajua kama kiumbe sio chake ??
 
mtu akimega mke wangu NIKAPROVE,
i just shoot him,period
inauma eeeh mkuu!, vp na wewe ukimega wa watu, ushutiwe au usamehewe?, hhaaaaaa, ni mtizamo tu mkuu, hata mie nikigundua wangu anamegwa ntafanya unyambisi wa ajabu serikali inilaumu.
 
du na husb kajua kama kiumbe sio chake ??


mami ni mikakati yao hiyo so alikuwa anasubiri mambo ya nyumba, gari na shughuli nzuri ya kufanya then ndio abebe mimba yote kamitmizia so kwasasa anajiachia tu mimba iingie.
 
inauma eeeh mkuu!, vp na wewe ukimega wa watu, ushutiwe au usamehewe?, hhaaaaaa, ni mtizamo tu mkuu, hata mie nikigundua wangu anamegwa ntafanya unyambisi wa ajabu serikali inilaumu.


sasa mbona nyie mnakuwa wakali sana ka wake zenu wakati nyie mnayowafinyia wake zenu kinyume mnaona sawa tu.....
 
sasa mbona nyie mnakuwa wakali sana ka wake zenu wakati nyie mnayowafinyia wake zenu kinyume mnaona sawa tu.....

mkuu wanaume tumeumbwa juu ya wanawake, hata baibo haiwamensheni wanawake!!, so its the nature na uzuri ninyi wenyewe mwajua.
 
sasa mbona nyie mnakuwa wakali sana ka wake zenu wakati nyie mnayowafinyia wake zenu kinyume mnaona sawa tu.....

Nyamayao bana. Kila siku nakuambiaga mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mume mmoja lakini mwanaume ameumbwa kwa ajili ya wanawake wengi. Mbona hunielewagi?
 
tanzania bila ukimwi inawezekana
like this! hahahaaa!!!

Hivi huku kumegana ndani ya ndoa ni noma sana!! hakuna kumegana safe hata kidogo..........si unaona huyo shostito sasa anatafuta mimba? unataka kuniambia mmegaji anamega hapo tu? inawezekana wapo wanne and the chain continues
 
my goodness!! kumbe watu wana uchungu wa kumegewa wake zao hivyo?
 
mwanamme anaependa tigo hachelewi kuukwaa ukimwi......
 

na huwa inakuwaje mpaka mwanamke mtu mzima na akili zake anafikia hapa?? ni kwamba bosi kashindwa au ni nini hasa?

kumega au kutokumega inategemea na wewe mwenyewe unachukuliaje suala zima la kumega mke wa mtu...
 
Akijileta ni kutafuna tu, ya nini kusubiri hadi mambo ya kuchaniana nguo!
 
mimi hata n ikimega nje,mke wangu hawezi kujua.na hata akijua,hana authority juu ya hilo tukio,ni kwamba tunaweza kuongea tukalimaliza,NA ANAJUA HILO.that's human nature

....lakini yeye AKIMEGWa!OOH dear god....!ni topic nyingine kabisa


Tatizo liko wapi hata ufikie kuumshuti mtu? kwani akisha ikosha si inarudi hali yake kama ya kawaida ,kumshuti mtu kutakupelekea kuwekwa ndani hapo ndio watu watamfanya Daladala.
 
wahi!!!!!! mimi nasokota bila shida yeyote kuliko aseme nimembaka itanizushia matatizo mengine nasokota tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…